×

Habari

Sven Aweka Hesabu Kali Dakika 540 Bongo

KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck, amebainisha kuwa licha ya kwamba wamepata sare kwenye mechi yao na Mtibwa Sugar, hesabu...

READ MORE

Mgombea Urais Ndege Kila Mkoa

Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimezindua Ilani na kampeni zake kwa ajili uchaguzi unaotarajia kufanyika Oktoba 28, mwaka huu,...

READ MORE

TikTok Yaikataa Microsoft, Yaungana na Oracle

  WASHINGTON: Kampuni ya Marekani ya Oracle imeikataa Kampuni ya Microsoft na kuingia makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara (Business Partner)...

READ MORE

Majaliwa Aongoza Maziko ya Jaji Bomani – Pichaz

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza maziko ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hayati Mark Bomani kwa niaba ya Rais Dkt....

READ MORE

CHADEMA Yaandika Barua NEC

KATIBU  Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),  John Mnyika,  amesema chama hicho kimeiandikia barua Tume ya Uchaguzi ya...

READ MORE

Bodi ya Ligi Kuvifungia Viwanja

MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu nchini Tanzania (TPLB), Almasi Kasongo,  amewataka wamiliki wa viwanja vinavyochezewa Ligi Kuu soka...

READ MORE

Kilichotokea Mahakamni Kesi ya Lissu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo Septemba 14, 2020, imeahirisha kesi inayowakabili Tundu Lissu na wenzake...

READ MORE

DC Vincent wa Musoma Azindua Duka la Vodacom Akiimarisha Mawasiliano

Mkuu wa wilaya ya Musoma (DC) , Dk. Vincent Anney Naano (wapili kushoto) akikata utepe kuzindua duka jipya la kisasa...

READ MORE

JPM: Airport ya Chato Nitakwenda Nayo Kaburini? – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (CCM), Dkt. John  Magufuli amewaponda baadhi ya viongozi na wagombea wanaotoka vyama...

READ MORE

Idris Sultan Alamba Shavu KISS Condom

Mchekeshaji maarufu hapa nchini amelamba shavu la ubalozi katika kondom mpya ya Kiss ambayo ni maalum kwa ajili ya kuzuia...

READ MORE

Kisa Lockdown, Mgahawa Unaofanana na Ndege Watengenezwa

WAKATI nchi nyingine zikiwa chini ya lock-down kupisha janga la homa inayoambukizwa na virusi vya corona — Covid-19 —  nchini...

READ MORE

Magufuli: Nimealikwa Kwenda Ulaya, Siendi – Video

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa kazi ya urais si nyepesi,...

READ MORE

Amshitaki Mkewe kwa Kumzalia Watoto Wenye Sura Mbaya

GAZETI la mtandaoni la KINEDA limeripoti habari yenye msisimko wa kipekee, ambapo mwanamme mmoja aitwaye Jian Feng, amemshitaki mkewe kwa...

READ MORE

Breaking: Watoto 10 Wafariki Shule ya Byamungu Islamic Ikiteketea

BWENI la wavulana wa Shule ya Msingi Byamungu Islamic English Medium iliyopo Itera, Kyerwa, mkoani Kagera limeteketea kwa moto usiku...

READ MORE

Watu 50 Wahofiwa Kufa kwa Kufukiwa na Kifusi Machimboni

Zaidi ya watu 50 wanahofiwa kupoteza maisha, baada ya kufukiwa na kifusi wakiwa kwenye machimbo ya dhahabu katika eneo la...

READ MORE

NEC: Rufaa Za Wagombea Ubunge Na Udiwani Leo

Tume ya Taifa Uchaguzi imepitia, kuzichambua na kuzifanyia uamuzi rufaa za wagombea Ubunge na Udiwani zilizowasilishwa na wagombea kupitia kwa...

READ MORE

Wanahisa Waongeza Mtaji Mkombozi Commercial Bank, Wateja Waula

Benki ya Mkombozi Commercial  inayomilikiwa na Kanisa Katoliki pamoja na wanahisa yenye Makao Makuu Msimbazi Center Jijini Dar, jana Septemba...

READ MORE

Majaliwa: Chagueni Kiongozi Atakayelinda Amani

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wanaTanga na Watanzania kwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashauri Hospitali zinazotibu Saratani kuwa na Wodi Maalum

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameziagiza hospitali zote za rufaa ambazo zinatoa matibabu ya ugonjwa wa saratani kwa watoto...

READ MORE

Mgombea Ubunge Mmoja Na Madiwani 34 Wapitishwa Kugombea Na NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) katika kikao chake cha Septemba 10, 2020 imepitia, kuchambua na kuzifanyia uamuzi rufaa za...

READ MORE

OFM Yanasa Siri Bifu la Wema, Batuli

UNAJUA bifu la msanii Wema Sepetu na Yobnesh Yusuph Hassan ‘Batuli’, lililoteka mitandao ya kijamii mwishoni mwa wiki iliyopita, limetokana...

READ MORE

Zari Yamfika Mazito Kutoka Kwa Wananzengo

Mwanamama mjasiriamali, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye ni mzazi mwenza wa staa wa muziki barani afrika, Nasibu abdul...

READ MORE

Raia 7 wa Kigeni Mbaroni kwa Utapeli Mtandaoni -Video

JESHI la Polisi nchini  leo, Septemba 12, 2020,  limesema linawashikilia watu saba ambao ni raia wa nchi za kigeni kutokana...

READ MORE

Video: Dkt Mwinyi Azindua Kampeni Za CCM Zanzibar

DAKTARI Hussein Ali Mwinyi, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametaja mambo atakayotekeleza endapo atafanikiwa kuchaguliwa katika...

READ MORE

Kocha Simba Ashtuka, Fasta Awabadilishia Mfumo Mtibwa

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, ameuangalia Uwanja wa Jamhuri wa mkoani Morogoro na fasta akachukua maamuzi ya kubadili...

READ MORE

NEC Yatoa Uamuzi Wa Rufaa 60 Za Wagombea Ubunge Na Udiwani -Video

Tume ya Taifa Uchaguzi imepitia, kuzichambua na kuzifanyia uamuzi rufaa za wagombea Ubunge na Udiwani zilizowasilishwa na wagombea kupitia kwa...

READ MORE

Mama Cookie Aapa Kuzaa Mpaka Baasi!

Mwanamama mkali kunano Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson Jujuman ‘Mama Cookie’, ameapa kuzaa mpaka baasi, huku akitanabaisha kuwa, kikubwa anachoangalia...

READ MORE

Lissu Amuweka Njia Panda Bernard Membe

Mbio kuelekea Uchaguzi Mkuu, unaotarajiwa kufanyika oktoba 28, mwaka huu, zinazidi kushika kasi, huku mgombea urais kupitia Chama cha Chadema,...

READ MORE

Benki ya NMB yadhamini CDF Trophy Cup 2020 kwa Sh. Mil. 40

  Benki ya NMB imetangaza kudhamini Michuano ya Gofu – Kombe la Mkuu wa Majeshi ‘CDF Trophy Cup 2020’, inayotarajia...

READ MORE

Kumekuchaaa… Askofu Gwajima Kuzindulia Kampeni Bunju A, Jumapili

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia CCM, Askofu Josepaht Gwajima anatarajia kuzindua kampeni zake keshokutwa Jumapili kwenye viwanja vya...

READ MORE

ZEC Yamteua Maalim Seif Kugombea Urais

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imemteua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Wasafi FM Yafungiwa siku 7 na TCRA

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kusitisha utoaji huduma za utangazaji kwa Wasafi FM kwa muda wa siku saba baada...

READ MORE

Samia Apokea Wapinzani 150 Tandahimba

MGOMBEA mwenza wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia...

READ MORE

Septemba 11, Ni Mungu Pekee ndiye Anajua Kilichotokea!

HABARI nyingi kupita kiasi, husumbua ubongo wa mwanadamu.Lakini kwa kutazama mambo kwa uangalifu, ni bora zaidi kuwa na habari nyingi...

READ MORE

Corona Yachangia Ongezeko La Watu Kujiua

Kujiua (Suicide) ni mojawapo ya vyanzo vya kifo kwa watu wenye matatizo ya kisaikolojia au matatizo ya akili. Jaribio la...

READ MORE

Mgombea Urais Adaiwa Kuondoka Nchini – Video

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, amedai kuwa mmoja wa wagombea urais wa Jamhuri...

READ MORE

Uchaguzi Ukifanyika Leo JPM Anashinda Kwa Asilimia 88-Polepole

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Humphrey Polepole amesema kwa namna ambavyo mgombea wa nafasi...

READ MORE

Polepole: Magufuli Anashinda Asilimia 85, Upinzani Watauza Madini – Video

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema kwa tafiti walizofanya kutokana na kampeni za...

READ MORE

Tanzia: Jaji Bomani Afariki Dunia

Jaji Mstaafu Mark Bomani ambaye alikuwa Mwanasheria Mkuu wa kwanza wa Tanzania amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Septemba 11,...

READ MORE