×

Habari

Mapigano Kati ya Armenia na Azerbaijan Yapamba Moto

Vikosi vya Armenia na Azerbaijan vimeshambuliana kwa maroketi na makombora wakati ambapo mapigano yanazidi kwenye eneo la Nagorno-Karabach. Armenia imesema...

READ MORE

Hatimaye Hukumu Shambulio la Westgate Kutolewa

MAHAKAMA moja nchini Kenya inatarajiwa kutoa uamuzi wa kesi inayohusisha wanaume watatu walioshtakiwa kwa kuwasaidia wanamgambo wenye silaha kushambulia jengo...

READ MORE

Mwalimu Acharazwa Bakora na Afisa Elimu Kata

UONGOZI wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Mlele umelaani vikali kitendo cha Mwl. Jiyabo Ng’wanzalima kucharazwa viboko na...

READ MORE

Hofu Yatanda Hali ya Trump!

RAIS wa Marekani, Donald Trump, anaendelea kupewa uangalizi wa karibu akiwa hospitali ambako anapokea matibabu ya Covid-19. Kuna tashwishi kuhusu...

READ MORE

Rais JPM Apokea Utambulisho wa Mabalozi – Video

RAIS John Magufuli, leo Jumatatu, Oktoba 5, 2020, amepokea hati za utambulisho wa mabalozi wa Marekani na Vietnam nchini.  ...

READ MORE

Breaking: Watano Wafariki Ajali ya Daladala na Lori Dar – Video

WATU watano wamefariki dunia na wengine 10 wamejeruhiwa vibaya katika ajali ya barabarani iliyohusisha daladala na lori la mchanga katika...

READ MORE

Benki ya NMB Yaja na Huduma Tatu za Kibabe

Benki ya NMB imezindua huduma mpya tatu za kidigitali zenye lengo la kurahisisha mawasiliano kati yao na wateja na kuwapatia...

READ MORE

Fisi Aliyeua Mtoto, Kujeruhi Wawili Auawa

FISI aliyeua mtoto na kujeruhi watu wazima wawili jana, Septemba 4, 2020,  mchana katika Kijiji cha Mbogo, Wilaya ya Itilima...

READ MORE

Breaking: Pata Habari Popote Ulipo, Pakua Global App

  TUMEKURAHISISHIA KUPATA HABARI! Kupitia App etu mpya ya GLOBAL PUBLISHERS, inayopatikana kwenye Android na iOS, tumekurahisishia kupata Habari za...

READ MORE

Akiwa Hoi Anaumwa, Mzee Kiki Aongea kwa Tabu – Video

GLOBAL TV imemtembelea msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini aliyetamba zaidi na kibao chake cha ‘Kitambaa Cheupe’, Mzee King...

READ MORE

Shigongo Asitisha Kampeni Baada ya Msiba Ghafla – Video

Mgombea Ubunge Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi, Eric Shigongo James amesitisha kampeni kwa muda wa saa kadhaa baada...

READ MORE

Sarpong: Mabeki Wananipania Sana

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mghana, Michael Sarpong amekiri kuwa amekuwa akipata wakati mgumu katika kila mchezo wa ligi kuu kutokana kukamiwa...

READ MORE

Nmb Yatoa Msaada Wa Vifaa Vya Shule Vyenye Thamani ya Mil 35

  Benki ya NMB, imeendelea kutatua kero katika Sekta za Elimu na Afya, kwa kutoa misaada yenye thamani ya Sh....

READ MORE

TAMISEMI Yajivunia Msaada wa CAMFED Kwa Wanafunzi

  SERIKARI kupitia TAMISEMI imesema inajivunia na kutambua msaada mkubwa unaotolewa na Shirika la CAMFED kwa wanafunzi wasichana na wana jamii...

READ MORE

Man U Yapigwa Bao 6-1 na Tottenham

KOCHA wa Tottenham Hotspur, Jose Mourinho, akiwa amerudi dimbani Old Trafford kama kocha wa timu pinzani ametoa adhabu kali kwa...

READ MORE

Yanga Yaibua 440m za Morrison

SHIRIKISHO la Soka la Tanzania (TFF) kwa sasa ndilo pekee ambalo linasubiriwa kutoa majibu kuhusu utata wa mkataba wa mshambuliaji...

READ MORE

Wafanyakazi Tanesco Wasimamisha Msafara Wa Shigongo Buchosa

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Buchosa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo akiwa njiani akitokea katika Kijiji...

READ MORE

Chadema: Lissu Hataendelea Na Kampeni -Video

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe leo Oktoba 4, 2020 amesema mgombea wao wa Urais, Tundu Lissu hataendelea na kampeni kwa...

READ MORE

Wahitimu 1191 Don Bosco Wafuzu Mafunzo ya Ufundi Kwa Vitendo

Jumla ya vijana 1191 wamemaliza mafunzo yao ya ufundi stadi ambayo wameyapata katika taasisi ya Don Bosco iliyopo Oysterbay ikishirikiana...

READ MORE

Ishu ya Morrison Yamuibua Rage

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amemtaka Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela aache kuwadanganya mashabiki...

READ MORE

Helikopta Ilivyomshusha Trump Hospitali Baada Ya Kukutwa Na Corona -Video

RAIS wa Marekani, Donald Trump amepelekwa katika Hospitali ya kijeshi ya Water Reed iliyoko Bethesda, Maryland, Ijumaa Oktoba 03, baada...

READ MORE

Shamsa: Sitaki Tena Ndoa, Nilishatoka Huko

MMOJA wa mastaa waliofanya vizuri kupitia Bongo Muvi, ni Shamsa Ford.Mwanadada anajua kuvaa uhusika anaopewa na muongozaji wake kwenye fi...

READ MORE

Chama Tawala Nchini Kenya Chapendekeza Naibu Rais wa Kenya, William Ruto Aondolewe katika nafasi yake

Chama cha Jubilee kimependekeza Naibu Rais wa Kenya, William Ruto kuondolewa katika nafasi yake kama Naibu Kiongozi wa Chama hicho....

READ MORE

‘Nini Sarpong, Bocco ni Hatari Aisee…’

BEKI wa Mtibwa Sugar, Dickson Job, amefunguka kuwa mshambuliaji wa Simba, John Bocco ni hatari zaidi ya Mghana wa Yanga,...

READ MORE

SGA Yapongezwa Kukuza Teknolojia, Yapata Tuzo ya Huduma za Madini

Kampuni ya SGA Tanzania ambayo inajishughulisha na utoaji wa huduma kwenye sekta ya ulinzi imepongezwa kwa kukuza teknolojia, baada ya...

READ MORE

Chama Ameshindikana, Hakabiki Ligi Kuu

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mzambia Clatous Chama amecheza michezo minne mfululizo ya Ligi Kuu Bara huku akicheza nafasi mbili tofauti...

READ MORE

Nafasi za Kazi 6,184: Jimbo la Kibamba, Ubungo Wasimamizi wa Uchaguzi

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kibamba na Ubungo kwa kuzingatia Kanuni ya 14 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais na...

READ MORE

Sarpong: Nawasubiri Simba Waone Moto Wangu

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mghana, Michael Sarpong amefunguka kuwa hana presha yoyote licha ya kushindwa kufunga mabao kwa kuwa anajipanga kuwaonyesha...

READ MORE

Shigongo: Nitaleta Greda Zangu Kutengeneza Barabara Buchosa – Video

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo James, ameendelea kuchanja mbuga kwenye kampeni za...

READ MORE

Shigongo Bega kwa Bega na Wananchi!

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Buchosa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo James ameahidi kushirikiana bega kwa...

READ MORE

Magufuli: Tulikataa Kuwa ‘Dodoki Kavu – Video

MGOMBEA Urais Visiwani Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano, Dkt Magufuli wote kupitia Chama Cha...

READ MORE

Mlinzi Mgodi wa Bilionea Laizer Auawa, Ndugu Wagoma Kuzika!

  JESHI la Polisi Mkoa wa Manyara linawashikilia watu saba kwa ajili ya uchunguzi zaidi kutokana na tukio la mauaji...

READ MORE

Kamati Maadili NEC Yadai Lissu Mwongo – Video

  KAMATI ya Maadili ya Kitaifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa taarifa ya malalamiko ya Tume...

READ MORE

Bumbuli Afunguka Sababu ya Kulipa Faini ya TFF

MKUU wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Hassan Bumbuli amefunguka kuwa kuchelewa kulipwa kwa faini yake kumetokana na...

READ MORE

Jela Miaka 7 kwa Kutumia Jina la Majaliwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Issa Mohhamed (27) miaka saba jela katika makosa 11 likiwemo la kujipatia fedha kwa...

READ MORE

Baba’ke Amber Rutty Amwangukia JPM!

BABA wa msanii anayechipukia Bongo, Rutifya Abubakary ‘Amber Rutty’, Mzee Abubakary Abdul Milenga, amemwangukia laivu Rais Dk John Pombe Magufuli...

READ MORE

Ado Shaibu Apata Ajali Mbaya

KATIBU  Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu,  amepata ajali jimboni Nanyamba mkoani Mtwara ambako alikwenda kumnadi mgombea wa ubunge wa...

READ MORE

Mtatiro Atembea Km 14, Atatua Mgogoro Bonde la Mpunga

MKUU wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, Julius Mtatiro amelazimika kutembea kilomita 14 kwa miguu kwenda na kurudi kwenye bonde...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Oktoba 3, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 3, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

RC Kunenge Azindua Safari ya Kwanza ya Treni Dar – Arusha

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Aboubakar Kunenge, leo Ijumaa, Oktoba 2, 2020, amezindua safari ya kwanza ya...

READ MORE