×

Habari

Patricia Hilary alivyoiteka Shoo ya Jide Mlimani City

Mjeshi Mstaafu wa JKT na Muimba mipasho mkongwe, Patricia Hilary usiku wa kuamkia leo ni kama aliiteka shoo ya mkongwe...

READ MORE

Dodoma: Mtoto Aishi na Jiwe Puani Miaka 12

MADAKTARI wa magonjwa ya sikio, pua na koo (E.N.T) katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma wamefanikiwa kumfanyia upasuaji mtoto...

READ MORE

Kemikali nyingine za milipuko zagunduliwa bandari ya Beirut

JESHI la Lebanon limesema limegundua tani zaidi ya nne za madini ya kemikali ya ammonia nitrate karibu na lango la...

READ MORE

Chadema Iringa Yalia na Hujuma za ‘Wasiojulikana’

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa kimelia na hujuma zinazofanywa na watu wasiojulikana kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa...

READ MORE

Mbaroni Akituhumiwa Kumbaka Binti Yake

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Madizini, Kata ya Mtibwa wilayani Mvomero, Shabani Hatibu (50), kwa...

READ MORE

Mmarekani Mwingine Mweusi Auawa na Polisi

MTU mmoja mweusi nchini Marekani, Daniel Prude, amefariki dunia baada ya kundi la polisi nchini humo kumvalisha kofia na kisha...

READ MORE

JPM Aanika Siri ya Chenge, Amwambia Kazi Zipo Nyingi Tu… – Video

  MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Magufuli amemweleza aliyekuwa mbunge wa Bariadi Mkoa wa Simiyu, Andrew...

READ MORE

JPM: Uongozi Haujaribiwi Kama Limao, Nitajenga Airport Simiyu – Video

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Magufuli amewaahidi wananchi wa Mkoa wa Simiyu kujenga uwanja wa ndege...

READ MORE

PM Majaliwa: CCM Haikurupuki

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema hicho hakikurupuki katika kuiwekea...

READ MORE

Simulizi Mwalimu Kuuawa Kikatili Inasikitisha

SIMULIZI ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Chalantai, Kata ya Chala, wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Tabitha Mwanyanje (29) aliyeuawa kwa...

READ MORE

Waumini, Viongozi Wamkimbia Askofu Wao Baada ya Kumuoa ‘Changudoa’

Askofu mmoja wa kanisa la Kipentekoste huko Magharibi mwa Kenya, amewagawanya waumini wake, baada ya kuamua kumuoa mwanamke mmoja ambaye...

READ MORE

Tanzia: Mtangazaji wa ITV Agnes Almas Afariki Dunia

MWANDISHI wa habari na mtangazaji wa kituo cha televisheni cha ITV, Agnes Almas,  amefariki dunia ghafla mchana wa leo Alhamisi,...

READ MORE

Magufuli Ampigia Chapuo Katambi Ubunge – Video

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)  John Magufuli,  leo  Septemba 03, 2020, amewaomba wananchi wa Shinyanga kumpa kura mgombea...

READ MORE

Mume wa Shamimu Mwasha Asahau Neno la Siri Aomba Akabidhiwe CCTV Camera

  Washtakiwa wawili ambao ni Mfanyabiashara, Abdul Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha wanaokabiliwa na mashitaka ya kukutwa na dawa za...

READ MORE

Makada Chadema Wadaiwa Kuchoma Ofisi za Chadema

POLISI Mkoa wa Arusha imewakamata watu watatu, wawili wakiwa ni madereva na ofisa uhamasishaji, wote wa Chama cha Demokrasia na...

READ MORE

Tobi Peanut Butter; Ukianza Kuitumia, Kamwe Hutaiacha!

SIAGI YA TOBI, ni siagi iliyotengenezwa kwa kutumia mashine na teknolojia ya kisasa, huku malighafi yake ikiwa ni karanga halisi...

READ MORE

Rais wa Mali Aliyepinduliwa Alazwa Hospitali

RAIS wa Mali aliyepinduliwa hivi karibuni, Ibrahim Keïta, amelazwa hospitali katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bamako. Hata hivyo bado...

READ MORE

Mbele ya JPM, Kigwangalla Asimulia Alivyouza Vitumbua, Jojo – Video

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Nzega Vijijini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla, amesema kuwa yeye ni...

READ MORE

Bobi Wine Ashitakiwa Akidaiwa Kudanganya Umri Wake

MAHAKAMA nchini Uganda imemtaka mwanasiasa wa upinzani Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine, kufika mbele yake kujibu tuhuma za kutoa taarifa...

READ MORE

Watu 90 Wafariki kwa Mafuriko

TAKRIBAN watu tisini wamefariki na wengine karibu  400,000 kuachwa bila makao kufuatia mafuriko makubwa Sudan.   Umoja wa Mataifa unasema...

READ MORE

Precision Yasitisha Safari Zake Kenya

SHIRIKA  la Ndege la Precision Air limetangaza kusitisha kurejeshwa kwa safari zake za Nairobi nchini Kenya kutokana na uhitaji mdogo....

READ MORE

Magufuli Aahidi Neema Zaidi Singida – Video

  MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amesema shilingi bilioni 470.4 zimetumika katika miradi...

READ MORE

Watu 16 Kortini kwa Mauaji ya Kada wa CCM Songwe

WATU 16 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Songwe juzi, wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya anayedaiwa...

READ MORE

JPM: Matusi Nayotukanwa Nayafurahia, Wanamchukia Kigwangalla kwa Sura – Video

Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe...

READ MORE

Video: Dkt Hussein Mwinyi Anarudisha Fomu Ya Urais Katika Ofisi Za ZEC

 Mgombea wa Urais Visiwani Zanzibar kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt Hussein Mwinyi leo Septemba 2, 2020...

READ MORE

Dkt. Akwilapo Ataka Taasisi za Elimu ya Juu Kuanzisha Programu za Vipaumbele Vya Taifa

    Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Leonard Akwilapo ametoa wito kwa Vyuo Vikuu nchini kuhakikisha...

READ MORE

Shamimu Mwasha na Mumewe Wakutwa na Kesi ya Kujibu

MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa maarufu kama Mafisadi imesema kwamba mfanyabiashara Abdu Nsembo (45) na mke wake...

READ MORE

Wanafunzi 7,586 Wachagulliwa Kujiunga na Kidato cha Tano Awamu ya Pili

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Seikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amesema kuwa wanafunzi 7,586...

READ MORE

JPM: Napenda Nifike Mbinguni, Niwe ‘Waziri wa Malaika’ – Video

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mgombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kupitia chama hicho,  Dkt. John ...

READ MORE

Halopesa na Umoja Switch Wazindua Huduma ya kutoa Fedha Kidijitali

    KUTOKANA na kasi ya ukuaji wa teknolojia na uchumi, Halopesa imeendelea kutanua wigo wa kutoa huduma zake za kifedha...

READ MORE

Kuwatimua TBC! Wanahabari Wamtaka Mbowe Kuomba Radhi

CHAMA cha waandishi wa habari Dar es Salaam (DCPC) kimetoa taarifa inayomtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...

READ MORE

Mgombea Aangua Kilio Kwenye Mkutano wa Kampeni

MGOMBEA udiwani wa Kata ya Mumbaka, Masasi mkoani Mtwara, Salum Mwinyikheri, ameangua kilio mbele ya wananchi wakati akiomba kura.  ...

READ MORE

Watatu Mbaroni Kujiunganishia Umeme wa TANESCO

WATU watatu akiwemo mfanyabiashara, Gaston Masika (58) na wenzake wawili wamepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na kesi...

READ MORE

JPM: Mwambieni ‘Lissu’ Aachane na Urais, Nitampa Kazi Serikalini – Video

  MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amemtaka mgombea wa...

READ MORE

Magufuli: Hakuna Uzazi wa Mpango, Fyatueni Watasoma Bure – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),   Dkt. John  Magufuli leo alikuwa, katika Uwanja...

READ MORE

Kusajili Drone Dola 100 kwa Mwaka, Hizi Zinaweza Kuwa Silaha

Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania SACP David Misime, amesema kuwa Ndege zisizokuwa na Rubani maarufu kama drone, zisiposajiliwa zinaweza...

READ MORE

Tanzania, Ufaransa Zaingia Makubaliano Kufundisha Kifaransa

  Serikali za Tanzania na Ufaransa zimeingia makubaliano ya kutoa mafunzo ya mbinu za kufundishia lugha ya Kifaransa kwa walimu...

READ MORE

Dkt. Semakafu Atoa Mwongozo Ufundishaji wa Elimu Vyuo Vya FDCs

  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. AveMaria Semakafu amevitaka Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDCs)...

READ MORE

Wanne Mbaroni Tuhuma za Mauaji Mwanza – Video

POLISI Mkoa wa Mwanza inawashikilia watu wanne kwa tuhuma za makosa ya kupanga tukio la mauaji ya mtu mmoja wilayani...

READ MORE

Aibu! Askofu Anayetuhumiwa Uzinzi Avamiwa Madhabahuni

ZANZIBAR: Timbwili kuzuka baa si hoja; lakini askofu kuvamiwa madhabahuni, kusukwasukwa mpaka kuvuliwa kofia, ni jambo la aibu kufanywa kanisani....

READ MORE