×

Habari

TCAA Yazuia Mashirika 3 ya Ndege Kenya Kufanya Safari TZ

MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imezizuia kampuni tatu za ndege kutoka Kenya, ambazo ni Air Kenya Express, Fly...

READ MORE

Nmb Bima Marathon Yanukia, Kuanzia Mliman City

  Benki ya NMB, imetangaza wadau mbalimbali wa michezo kushiriki katika Mbio za Nmb Bima Marathon zinazotarajiwa kufanyika Septemba 12,...

READ MORE

NEC Yapiga Chini Mapingamizi ya Lissu Dhidi ya JPM – Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema imepokea mapingamizi kutoka kwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

READ MORE

Dkt. Mwinyi Atikisa Zanzibar Akichukua Fomu

      MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Mwinyi leo ameisimamisha Zanzibar na viunga...

READ MORE

Yanga Yampiga Chini Kocha Cedric Kaze

Uongozi wa Klabu ya Yanga Umetangaza kumpiga chini kocha aliyekuwa akitarajiwa kutua nchini kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho cha...

READ MORE

Morrison: Acheni Kelele Tukutane Uwanjani

NYOTA mpya wa klabu ya Simba, Bernard Morrison amesema kuwa wapinzani wao kwa msimu ujao ikiwemo klabu ya Yanga wamekuwa...

READ MORE

TCU Yafungua Maombi Udahili Shahada ya Kwanza

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imefungua dirisha la maombi ya udahili wa Shahada ya Kwanza, mwaka wa masomo 2020/21....

READ MORE

Dodoma: Basi la Ally’s Lateketea kwa Moto – Video

Basi la Kampuni ya Ally’s linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mwanza limeteketea kwa moto eneo la...

READ MORE

DStv yazindua msimu mpya wa soka

Wakongwe wa soka nchini watoa rai Dar es Salaam, 26 August 2020, – SuperSport ambayo ni maarufu kwa kurusha mubashara...

READ MORE

Mgombea Ubunge Avamiwa, Aporwa Fomu

MGOMBEA ubunge wa Morogoro Mjini kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Abeid Mlapakolo, amelishukuru Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kwa...

READ MORE

Lissu Ashindwa Tena Kufika Kortini, Sababu Hii Hapa!

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (CHADEMA), Tundu Lissu, ameshindwa kufika katika...

READ MORE

Mabweni ya Wanafunzi Yatima Lateketea kwa Moto

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari African Muslim iliyopo Moshi Mjini Mkoani Kilimanjaro wamenusurika kifo baada ya kuzuka kwa moto na...

READ MORE

Mwanafunzi Afariki kwa Kula Chakula Harusini, 14 Walazwa

  JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza linachunguza kifo cha mtu mmoja (mwanafunzi) na watu wengine 18 walioathirika kwa kile...

READ MORE

NEC Yafafanua Waliokatwa, ‘Waliopita Bila Kupingwa’ – Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo Agosti 26, 2020,  imezungumza na wanahabari kuhusu masuala mbalimbali yahusuyo uchaguzi, ambapo kubwa...

READ MORE

Lindi: Mgombea Ubunge (Chadema) ‘Akamatwa Kwa Rushwa’

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Lindi imemkamata na inamshikilia mgombea ubunge wa Jimbo la Mtama kupitia...

READ MORE

Mwinyi Achukua Fomu ZEC, Aahidi Zanzibar Mpya – Video

MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein  Mwinyi amechukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea kiti hicho...

READ MORE

Rais Azuiwa Kushiriki Uchaguzi

RAIS wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo, amezuiwa kugombea urais katika uchaguzi ujao baada ya mahakama kuidhinisha uamuzi wa...

READ MORE

Urusi Yaituhumu Ujerumani Kuwa ‘Kimbelembele’

IKULU ya Urusi, Kremlin, imewatuhumu madaktari wa Kijerumani kuwa na ‘kimbelembele’, baada ya kusema kuwa vipimo alivyofanyiwa kiongozi wa upinzani...

READ MORE

Kitilya, Wenzake Wakiri Makosa, Kulipa Faini Bil 1.5

ALIYEKUWA Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA), Harry Kitilya, Shose Sinare, Sioi Solomon, Bedason Shallanda na Alfred Misana wamekiri...

READ MORE

Teknolojia Ya Kidijitali Inavyoweza Kuboresha Elimu Tanzania

Wiki hii serikali imetangaza mpango wa kutekeleza mkakati mpya unaolenga kuboresha elimu ya sekondari nchini Tanzania.   Akizungumza katika mkutano...

READ MORE

Trump Ashtukia Kuibiwa Kura, Akionya Chama Chake!

Rais wa Marekani Donald Trump amewaonya Warepublican wenzake kwamba wapinzani wao huenda “wakaiba” uchaguzi wa Novemba, wakati chama chake kilipomuidhinisha...

READ MORE

NEC Yampitisha Lissu Kugombea Urais wa Tanzania – Video

MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antipas Lissu ameteuliwa na Tume ya Taifa ya...

READ MORE

Wafukua Sarafu za Dhahabu Zenye Miaka 1,100

VIJANA waliojitolea kuchimba katika hazina ya kiikiolojia ya Israel wamebaini sarafu 425 ambazo zilikuwa zimezikwa kwenye chungu cha udongo kwa...

READ MORE

Wanaodaiwa Kumteka Mo Dewji, Kesi Yafikia Hapa – Video

MUSA TWALIBU mkazi wa jijini Dar es Salaam,  anayekabiliwa na kesi ya tuhuma ya kumteka mfanyabiashara, Mohamed Dewji Mo,  ameieleza...

READ MORE

Trump Ateuliwa Kuwania Urais Kupitia Republican

CHAMA  cha Republican nchini Marekani jana kimemuidhinisha Donald Trump kuwa mgombea wake wa kiti cha urais katika uchaguzi wa Novemba...

READ MORE

Dada wa Kazi Mbaroni Akituhumiwa Kuua Mtoto

MTUMISHI wa kazi za ndani Ashura Suka (15) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za mauaji...

READ MORE

Mali: Jeshi Laigomea ECOWAS Kumrudisha Rais Keita

MAZUNGUMZO nchini Mali yanayolenga kutatua mzozo wa kisiasa unaoendelea kufuatia mapinduzi yaliofanyika wiki iliopita yamemalizika bila makubaliano huku viongozi wa...

READ MORE

Shambulio Burundi: Watu 15 Wauawa

TAKRIBAN watu 15 wameripotiwa kuuawa na wakati watu wenye silaha walipofanya mashambulio Kusini mwa Burundi.   Mapigano hayo yaliyotokea katika...

READ MORE

Tanzia: Rais Pascal Lissouba Afariki Dunia

RAIS  wa zamani wa Congo/Brazaville Pascal Lissouba, amefariki dunia nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 88, chama chake kimeliambia...

READ MORE

Mwanza: Kichanga cha Wiki Mbili Chapotea Hospitalini

JESHI la Polisi mkoani Mwanza linachunguza tukio la kupotea katika mazingira ya kutatanisha kichanga cha wiki mbili ndani ya wodi...

READ MORE

JPM Akagua Magari Yaliyotaifishwa, Atoa Maagizo!

RAIS. John  Magufuli amekagua magari yaliyotaifishwa baada ya kuhusika katika matukio ya uhujumu uchumi, na kisha kuhifadhiwa katika kituo cha...

READ MORE

Wagombea Urais NRA Warejesha Fomu NEC, Wateuliwa – Video

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tikeki ya Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA) Janken Kasambala Malik...

READ MORE

Polisi Wakanusha Katibu wa Chadema Ruangwa Kutekwa

  POLISI Mkoa wa Lindi limekanusha taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Treni ya Abiria Yawasili kwa Mara ya Kwanza Baada ya Miaka 30

Mamia ya wananchi wa Jiji la Arusha, wamejitokeza kuipokea treni ya abiria iliyowasili kwa mara ya kwanza ikitokea Moshi Mkoa...

READ MORE

JPM Arudisha Fomu NEC, Ateuliwa Kugombea Urais – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John  Magufuli na mgombea mwenza,  Samia Hassan,  leo Jumanne,...

READ MORE

NMB Yawakomboa Wanachi Mlimba

  Benki ya NMB imefungua tawi jipya la Mlimba katika Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro. Tawil hilo ambalo ni neema...

READ MORE

Wilaya ya Chemba Yaahidi Kutatua Changamoto za Elimu

  SERIKALI wilayani Chemba imeahidi kuzifanyia kazi changamoto za elimu ya msingi na sekondari zilizoibuliwa katika mijadala ya Maadhimisho ya Juma...

READ MORE

Vodacom: Mzalendo na Mlipa Kodi Kinara nchini Tanzania

Ni miongo miwili sasa tangia Vodacom ianze kutoa huduma za mawasiliano nchini Tanzania. Muriel Rukeyser (1913 – 1980), mshairi wa...

READ MORE

Tanzia: Dr Shika Afariki Dunia

Dr Louis Shika maarufu kama Mzee wa 900 Itapendeza amefariki dunia, akiwa nyumbani kwa kaka yake wakati wa uangalizi baada...

READ MORE

Mshauri White House Ajiuzulu

MSHAURIwa Ikulu ya Marekani, Kellyanne Conway, ametangaza kujizulu nafasi hiyo akisema ataacha rasmi kazi mwishoni mwa mwezi huu.   Katika...

READ MORE