×

Habari

NEC Yawarejesha Wagombea 45 Ubunge, Udiwani

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) katika kikao chake cha  Septemba 9, 2020 imezipitia, kuchazimbua na kuzifanyia uamuzi jumla ya...

READ MORE

Zanzibar: Maalim Seif Awekewa Pingamizi Mbili

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imeshindwa kumteua Maalim Seif Sharif Hamad kugombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT-Wazalendo baada...

READ MORE

TCCA Yakanusha Kuinyima Vibali CHADEMA Kurusha Helikopta

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kilitoa taarifa jana Septemba 10, 2020 kwamba ratiba ya mikutano mitano ya kampeni...

READ MORE

Aunt Ezekiel: Shamsa Hajitambui

Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amesema kuwa msanii mwenzake Shamsa Ford hajitambui ndio maana anaongea mambo ya familia...

READ MORE

NEC Yamrejesha Meya Jacob Ubunge Ubungo

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekubali rufaa 13 na imewarejesha katika orodha ya wagombea Ubunge wagombea 13 baada ya...

READ MORE

Jamaa Mwenye ‘Sura Mbaya’ Zaidi Duniani, Aoa Mke wa Tatu

Katika njia nyingine ya kuthibitisha kuwa mapenzi ni upofu, Mchekeshaji maarufu nchini Uganda, Godfrey Baguma almaarufu kama ‘Ssebabi’, ambaye hutambulika...

READ MORE

Basi Lapinduka Mbeya, Watu 22 Wajeruhiwa

BASI la abiria lenye namba ya usajili T.629 CQC Scania lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza limeacha njia na kupinduka kisha...

READ MORE

TCRA Yatoa Mwongozo Wa Kurusha Matangazo Mubashara

Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) imesema, Vituo vya Utangazaji ambavyo vitarusha matangazo mubashara vinaelekezwa kufuata mwongozo ili kuwa na ufanisi...

READ MORE

Tabora: Miili ya Watu 8 Yakutwa Imeteketea Hifadhini

WATU wanane, kati yao watatu wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 mpaka 40,  na watoto watano  wanaokadiriwa kuwa na...

READ MORE

Samsung, LG Wasitisha Kuwauzia Huawei Vioo vya Simu

KAMPUNI  za vifaa vya kielektroniki za Samsung na LG zimesitisha rasmi mkataba wa kuiuzia kampuni ya Huawei vioo au ‘screen...

READ MORE

Kansa ya Macho Yamtesa Mtoto wa Mwaka Mmoja

Hujafa hujaumbika! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mtoto Rehema Baraka, mwenye umri wa miezi (11) mkazi wa Kibaha mkoani Pwani,...

READ MORE

Kinachondelea Msiba wa Mama wa P Funk

FAMILIA ya mtayarishaji wa muziki wa Bongo Fleva,  Paul Matthysse ‘P Funk Majani’,  ambao wamempoteza mama yao, Aunt Sheilah, juzi...

READ MORE

Ang’atwa na Nyoka Sehemu za Siri Akijisaidia

SIRAPHOP MASUKARAT  (18), raia wa Thailand, majuzi aling’atwa na nyoka sehemu za siri wakati akijisaidia chooni. Amesema nyoka huyo alitokea...

READ MORE

Aliyeua Mwalimu, Afariki

FRANK Galimoshi (30), mkazi wa kata ya Chala wilayani Nkasi mkoani Rukwa, amefariki dunia usiku wa kuamkia Septemba 3 mwaka...

READ MORE

Mama Mbaroni kwa Tuhuma za Kumchinja Mtoto Wake

Mkazi wa mji mdogo wa Ngaramtoni, wilayani Arumeru mkoani Arusha, Anna Maliaki (30) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma...

READ MORE

Tanzia: Mama Mzazi wa P Funk Majani Afariki Dunia

PRODYUZA/mtayarishaji wa muziki,  Paul Matthysse ‘P Funk Majani’,  amefiwa na  mama yake mzazi Aunt Sheilah) kilichotokea Septemba 8, 2020, nje...

READ MORE

Askofu Kilaini Amsamehe Padri Aliyegombea Ubunge

ASKOFU Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amesema kuwa, milango iko wazi ya kurudi kundini kwa Padri...

READ MORE

Wagombea 13 Washinda Rufaa za Ubunge, 21 Watoswa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imechambua rufaa zingine 34 za ubunge kati ya hizo, 13 imewarejesha kugombea...

READ MORE

NEC: Majina ya Wagombea Waliorejeshwa, Waliokatwa!

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzani, imeweka wazi rufaa 55 zilizowasilishwa na wagombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika ...

READ MORE

ATCL Yarudisha Safari za Dar na Hahaya (Comoro)

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imerudisha safari za kawaida kati ya Dar es salaam (Tanzania) na Hahaya (Comoro) kuanzia 8/9/2020....

READ MORE

Mwanamke Mwafrika wa Kwanza Kuajiriwa Shirika la Anga za Juu (NASA)

  FADJI MAINA amekuwa mwanasayansi wa kwanza kutoka nchini Niger kufanya kazi na Shirika la Anga za Juu la Marekani...

READ MORE

Afrika Kusini Yamkemea Trump ‘Kumdharau’ Mandela

CHAMA tawala cha Afrika Kusini, African National Congress (ANC),  kimemuita Rais wa Marekani, Donald Trump kuwa mtu “anayesababisha uhasama, mwenye...

READ MORE

Magufuli Alivyokomesha Fukuza-Fukuza ya Wachimbaji

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt John  Magufuli, amesema kuwa katika kipindi...

READ MORE

Membe: Wanaodhani Nitajiondoa Urais Wanaota

MGOMBEA urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Bernard Membe, ameweka wazi kuwa hatajiondoa kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Makamu wa Rais Anusurika Kuuawa kwa Bomu

MAKAMU wa Rais wa Afghanistan, Amrullah Saleh, amenusurika kifo baada ya watu wanaosadikiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Taleban, kushambulia...

READ MORE

Kauli ya Tizeba Kwa Shigongo Yashangaza -Video

KAULI ya mbunge wa Buchosa aliyemaliza muda wake, Charles Tizeba, akimpigia chapuo mgombea aliyepitishwa mwenzake  Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric...

READ MORE

Airtel Money Yagawa Gawio la Bilioni 3.6 Kwa Wateja Wake

Kampuni ya simu za Mkononi ya Airtel Tanzania kupitia huduma ya Airtel Money leo Jumatano Septemba 9 2020, Dar es Salaam...

READ MORE

Bolt Yazindua Huduma Mpya ya Usafiri Arusha, Mwanza, Dodoma

Kampuni inayoongoza kwa utoaji huduma ya usafiri barani Ulaya na Afrika (BOLT), imezindua huduma mpya, nafuu ya usafiri inayofahamika kwa...

READ MORE

NMB Yafanya Mapinduzi Makubwa ya Malipo Nchini

  Benki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni ya Mastercard imezindua matumizi ya kadi za kisasa zaidi za kieletroniki ambazo...

READ MORE

Wateja wa Vodacom M-Pesa Kunufaika na Gawio la Bilioni 3.5 za Faida ya M-Pesa

Wateja  wa Vodacom M-Pesa takribani milioni 8, kuanzia leo watapata sehemu ya faida ya shilingi bilioni 3.5 ikiwa ni gawio...

READ MORE

TMA Yatabiri Upungufu wa Mvua

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa ushauri wa mvua za vuli na kusema kuwa maeneo mengi nchini yatakuwa...

READ MORE

Rais Aongoza Maombolezo Kifo cha Samaki ‘Mafishi’

ZAMBIA inaomboleza kifo cha samaki wake mkubwa katika Chuo Kikuu cha Umma cha Copperbelt (CBU).  Samaki huyo aliyejulikana kama ameombolezwa...

READ MORE

Wafungwa Wafa Njaa, Kikombe cha Uji kwa Siku 3

WAFUNGWA katika Gereza la Bunia mkoani Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,  wanakabiliwa na baa la njaa, baada...

READ MORE

Maelfu Wafurika Kampeni za Mama Samia Kigamboni

Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameendelea na ziara ya kuomba kura kupitia Chama...

READ MORE

Marekani Yawataka Watanzania Kushiriki Uchaguzi

Balozi wa Marekani hapa nchini Mhe. Dkt. Donald Wright amewataka Watanzania kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba mwaka huu...

READ MORE

Msako wa Walioiba Kombe Waanza Misri

UCHUNGUZI umeanzishwa na Shirikisho la soka nchini Misri (EFA) baada ya kubaini kuwa vikombe kadhaa vimepotea kutoka Makao Makuu yake...

READ MORE

Kubenea Apandishwa Kizimbani, Arudishwa Rumande

Mbunge wa Jimbo la Ubungo aliyemaliza muda wake Saed Kubenea amepandishwa kizimbani mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya wilaya...

READ MORE

Lipumba: Nitakuwa Rais wa Kwanza Kupata Tuzo

LEO Septemba 7, 2020, Chama cha Wananchi CUF kimezindua rasmi kampeni zake katika viwanja vya Sabasaba mkoani Mtwara, ambapo mgombea...

READ MORE

Afungwa na Miaka 18, Aachiwa Akiwa na Miaka 100

BABU mwenye umri wa miaka 100 aliyekuwa anatumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la mauaji nchini Nigeria ameachiwa huru...

READ MORE