×

Habari

Samia Azungumza na Wajumbe Tume ya Haki za Binadamu

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Tume ya Haki za Binadamu na...

READ MORE

Wanandoa Waliodumu Zaidi Waingia Rekodi za Guinness

JULIO MORA (110) na Waldramina Quinteros (104)  wenza walioana mwaka 1941, kwa ndoa ya siri baada ya familia zao kutoidhinisha...

READ MORE

Japan Yajaribia Gari Linalopaa Kama Ndege

KAMPUNI la Sky Drive Inc. lilifanya onyesho Agosti 25, 2020, eneo la  Toyota Test Field, ambalo ni moja ya makampuni...

READ MORE

Jimama (42) Mbaroni kwa ‘Kubemenda’ Katoto (14)

MWANAMKE mmoja mwenye umri wa miaka 42 nchini Kenya anashikiliwa na jeshi la polisi nchini humo kwa tuhuma za kwa...

READ MORE

Shule ya Mivumoni Islamic Yaungua kwa Mara ya 3 Ndani ya Miezi 2

Shule ya Sekondari ya Mivumoni Islamic, iliyopo katika eneo la Msikiti wa Mtambani Kinondoni Dar es Salaam, imeteketea kwa moto...

READ MORE

Kigoma: Mtoto Darasa la Pili Alipukiwa na Bomu, Afariki!

MTOTO mwenye mwenye umri wa miaka 9 katika kijiji cha Kasumo Kata ya Kajana wilayani Buhigwe mkoani Kigoma amepoteza maisha...

READ MORE

Waziri Kanyasu: Kuleni Nyama ya Mamba ni Tamu

NAIBU Waziri wa  Maliasili na Utalii, Constantine John Kanyasu,  amesema kuwa mamba ana nyama tamu na ngozi yake ni biashara...

READ MORE

Maharusi 6 Wafunga Ndoa Pamoja Kupunguza Gharama

JANGA la virusi vya corona si tu limeathiri watu kiuchumi, lakini pia kijamii hasa namna watu wanavyoshiriki katika shughuli zinazohusisha...

READ MORE

Tanzania Yatajwa Nchi ya Kwanza kwa Amani Afrika Mashariki

JAMHURI ya Muungano wa Tanzania imetajwa kuwa ndiyo nchi ya kwanza (inayoongoza) kwa kuwa na amani katika Ukanda wa Afrika...

READ MORE

Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania lafunguliwa rasmi kwa Ngao ya Jamii

Mwakilishi wa Vodacom Tanzania PLC, Rehema Kipanga (katikati) akimkabidhi medali ya ushindi wa pili mchezaji wa Namungo, Jamali Issa Dullazi...

READ MORE

FT: Yanga 2-0 Aigle Noir Uwanja Wa Mkapa

MECHI ya kirafiki imemalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Aigle Noir ya Burundi Uwanja wa...

READ MORE

Zanzibar: Maalim Seif Achukua Fomu Za Kugombea Urais

Maalim Seif Sharif Hamad leo Agosti 30, 2020 amefika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa ajili ya kuchukua...

READ MORE

Magufuli Aahidi Kununua Ndege 5 Akishinda Urais 2020

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli ameahidi kuwa endapo atashinda,...

READ MORE

Kampeni za Uchaguzi Sio Mwanya wa Kufanya Ujangili

Simiyu. Kamanda wa polisi mkoa wa Simiyu SACP Henry Mwaibambe, amewatahadharisha wananchi kujihusisha na vitendo vya ujangili kwa kudhani kuwa...

READ MORE

Mchungaji wa KKKT Ashikiliwa na Takukuru kwa Kutoa Mikopo Umiza

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Mkoani Manyara inamshikilia mchungaji kiongozi wakanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)...

READ MORE

Wamepotea, Wanawatafuta Wazazi Wao

  Usiku wa kuamkia leo Agosti 29, 2020 majira ya saa 08:00, Hospitali ya Taifa Muhimbili (UPANGA) imewapokea binti Aurelia...

READ MORE

TANZIA: Mfalme T’Challa wa Black Panther Afariki Dunia

Muigizaji maarufu duniani CHADWICK BOSEMAN amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 43 jijini Los Angeles nchini Marekani kwa matatizo...

READ MORE

NMB Yaweka Mikakati Kukuza Utalii Tanzania

  Benki ya NMB imesema kuwa inathamini sana sekta ya utalii nchini na imeweka mikakati endelevu zaidi katika kuhakikisha shughuli...

READ MORE

Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi Wachangia Milioni 30 Ujenzi wa Msikiti

  Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wamekabidhi Shilingi milioni 30  ujenzi wa msikiti wa kisasa wa  Wilaya ya...

READ MORE

Shinzo Abe Ajiuzulu Uwaziri Mkuu wa Japan

Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe ametangaza kwamba amejiuzulu kutokana na sababu za kiafya.   Amesema kwamba hataki maradhi alionayo...

READ MORE

Tuyisenge Aaga Rasmi Luanda, Yanga Washindwe Wao Tu

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Petro de Luanda anayetajwa kuwindwa na Yanga, Jacques Tuyisenge kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram,...

READ MORE

TCRA Imeipiga Fani ya Bilioni 11.89 Kampuni ya Raha

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeipiga Faini ya Sh.bilioni 11.89 Kampuni ya Raha Limited watoa huduma ya Internet kwa makosa...

READ MORE

Museveni Atangaza Siku ya Maombi Kitaifa Dhidi ya Corona

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ametangaza Jumamosi ya wiki hii kuwa siku ya kitaifa ya maombi kwa ajili ya Covid-19....

READ MORE

Mali: Rais Keita Aachiliwa na Wanajeshi

ALIYEKUWA Rais wa Mali, Ibrahim Boubacar Keita, aliyekamatwa Agosti 18, mwaka huu na kundi la wanajeshi lililofanya mapinduzi, ameachiliwa huru...

READ MORE

Aliyesakwa Miaka 12 na FBI kwa Mauaji ya Watoto Wake Anaswa!

DEREVA wa teksi, Yaser Abdel Said (63),  aliyekuwa akisakwa na Shirika la Upelelezi la Marekani  (FBI) kwa tuhuma za mauaji...

READ MORE

Nyumba Yateketea Kwa Moto Sinza Kumekucha (Picha +Video)

MOTO mkubwa ulizuka usiku wa kuamkia leo Agosti 28, 2020 na teketeza nyumba na mali zilizomo ndani katika maeneo ya...

READ MORE

Mke wa Mtu Auawa na Mchepuko kwa Kufumaniwa na Mchepuko!

JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia kijana mmoja aitwaye Derick Dambuve mwenye umri wa 26 kwa kumuua mke wa mtu,...

READ MORE

Ajali Basi la NBS na Gari Dogo Yaua Watano Shinyanga

WATU watano wamefariki dunia papo hapo katika ajali iliyohusisha gari ndogo lililogongana na basi  la Kampuni ya NBS katika kijiji...

READ MORE

Joash Onyango: Nitawakomesha Wanaoniita Mzee

BEKI wa kati mpya katika kikosi cha Simba, Joash Onyango ambaye ni raia wa Kenya, amesema kuwa amesikia kuna baadhi...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Agosti 28, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 28, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Benki ya NMB Yafungua Tawi Malinyi-Morogoro

  Benki ya NMB imeendelea kupanua wigo wake kwa kufungua tawi ‘NMB Malinyi’ katika wilaya ya Malinyi Mkoani Morogoro. Ufunguzi...

READ MORE

Mastaa wa 5 wa Kiume Wakali wa Pamba Bongo

MWAKA jana mbunifu wa mavazi nchini; Martin Kadinda, aliwahi kusema kuwa, asilimia kubwa ya wasanii wa kiume Bongo, hawajui kuvaa....

READ MORE

Aliyeangukiwa na lori Akilitengeneza “Nimevunjika Mgongo” – Video

Hakika kabla hujafa hujaumbika na hivi ndivyo ambavyo imekuwa kwa kijana Samweli ambaye amelala kitandani kwa miaka 12 baada ya...

READ MORE

Walionaswa Wakijiunganishia Umeme Wapandishwa Kortini – Video

WATU wawili na wafanyabiashara wakazi wa jiji la Dar es Salaam, Nassoro Halfa (40)na Mussa Saidi (49) wamefikishwa katika mahakama...

READ MORE

Kitilya na Wenzake Walipa Bil 1.5, Waachiwa Huru

Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Biswalo Mganga amewafutia Mashtaka yote Mkurugenzi wa Kampuni ya Ushauri wa Uwekezaji na Upatikanaji wa Fedha,...

READ MORE

Jeff Bezos Awa Tajiri wa Kwanza Duniani Kufikisha USD Bil 200

MKURUGENZI wa Kampuni ya Amazon, Jeff Bezos,  amekuwa mtu kwa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola milioni 200. Imeelezwa...

READ MORE

TCRA Yazifungia Clouds TV, Clouds FM Siku 7

MAMLAKA  ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeagiza Clouds TV na Clouds FM (Redio) kusitisha matangazo yao kwa muda wa siku saba...

READ MORE

Wafanyakazi Waandamana Wakidai ‘Nyongeza ya Covid-19’

Wafanyakazi katika sekta ya afya pamoja na elimu jijini Johannesburg nchini afrika kusini wameandamana nje ya makao makuu ya jengo...

READ MORE