×

Habari

Mshauri wa Papa Ajiuzulu, Kisa Kuwapa Ndugu Fedha ya Kanisa

KADINALI wa ngazi za juu Vatican, Giovanni Angelo Becciu, amejiuzulu ghafla bila kutarajiwa lakini imebainika kuwa aliambiwa na Papa Francis...

READ MORE

Wahitimu Victory Secondary Waaswa Kulinda Maadili Wakifanya Mahafali

Shule ya Sekondari Victory iliyopo Mwandege mkoa wa Pwani imefanya mahafali ya kumi na tatu ya wanafunzi wanaomaliza kidato cha...

READ MORE

Tundu Lissu Aitwa NEC Kujieleza

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya...

READ MORE

Video: CCM Yatangaza Siku 30 Za Kampeni Za Nguvu

MGOMBEA urais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.John Pombe Magufuli kesho...

READ MORE

RC KUNENGE AWATAKA WANAWAKE KUWA MAJASIRI NA KUCHANGAMKIA FURSA.

Mkuu Wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ametoa wito Kwa wanawake nchini kujiamini na kuonyesha uwezo wao...

READ MORE

Shule Nyingine ya Kiislam Yaungua Moto Tabora

Shule ya Awali na Msingi ya Taasisi ya Kiislamu ya Istiqaama iliyopo mkoani Tabora imeungua moto usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Mwili wa Mtoto wa Mfanyakazi wa Global Group Wazikwa Dar

Meneja wa Kampuni ya Global Publishers, Abdallah Mrisho, leo Jumapili ameongoza wafanyakazi wa kampuni hiyo katika kumfariji mfanyakazi mwenzao, Hashim...

READ MORE

Serikali Yakanusha Watendaji Wa Halmashauri Kuitwa Dodoma Na Dkt. Magufuli

Ofisi ya Rais – TAMISEMI imekanusha taarifa iliyotolewa na Mgombea Urais kupitia CHADEMA kwa kusema kuwa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri...

READ MORE

Mashindano ya NCBA Golf Tournament yafana Zanzibar

Mkurugenzi wa Biashara na Huduma za Kidigitali wa Benki ya NCBA, Gift Shoko akipiga mpira kwenye mashindano ya gofu ya...

READ MORE

 Serikali za Majimbo si Suluhisho la Matatizo Ya Watanzania

    KUNA mwanasiasa mmoja ameibuka tena na hoja ya serikali za majimbo. Kwa mtazamo wangu, muundo wa serikali za...

READ MORE

Waliosambaza Video Chafu, za Denti Chuo Kikuu, Jela Miaka 3…

‘CONNECTION’ ndiyo msemo unaotrend (sambaa) kila kona ya jiji la Dar, baada ya video chafu ya mwanadada mmoja anayedaiwa kuwa...

READ MORE

Bibi Miaka 99 Alamba Milioni 99

HAYAWI hayawi sasa yamekuwa! Yule kikongwe Nasi Muruo (99) aliyekuwa akitafuta haki yake kwa zaidi ya miaka 40, sasa amelipwa...

READ MORE

Mussa Sima: Puuzeni Wanaombeza Dk. Magufuli

Mgombea Ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Sima amewataka Watanzania kupuuza wapinzani wanaombeza...

READ MORE

Shigongo: Nimeacha Kila Kitu Niteseke Sababu ya Wana-Buchosa

MBOMBEA ubunge Jimbo la Buchosa kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo James, amesema kuwa ameacha kila kitu...

READ MORE

Panya wa TZ Apewa Nishani ya Dhahabu Uingereza

PANYA mkubwa kutoka Afrika amepewa nishani ya dhahabu kutokana na uwezo wake wa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini.   Panya...

READ MORE

Salim Kikeke: Wanaosema Naihujumu Tanzania, Mungu Atawalipa

MTANGAZAJI wa Shirika la Habari la Uingereza, BBC, Salim Kikeke, ambaye ni raia wa Tanzania ameonyesha kusikitishwa kwake na baadhi...

READ MORE

Shigongo: Dkt. Tizeba Umefanya Jambo la Kishujaa – Video

ERIC SHIGONGO, mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),jana Ijumaa, Septemba 25, 2020, amezindua rasmi kampeni...

READ MORE

Tabasamu Amuombea Kura Shigongo: Kwa Timu Hii, Wamekwisha! – Video

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, jana Ijumaa, Septemba 25, 2020, amezindua rasmi...

READ MORE

Melody Walivyoanza Kufagia Uwanja Kabla ya Kumpisha Mzee Yusuf Dar Live

Kundi la East African Melody usiku huu lilifanya makamuzi si mchezo kabla ya kumpisha Mzee Yusuf ‘Mfalme’ kwenye onesho ndani...

READ MORE

Dkt. Abbas Aichambua SGR

Ujenzi wa Reli ya ya Kisasa (SGR) nchini unalenga kuleta maendeleo ya watu kwa kurahisisha muda wa usafiri wa abiria...

READ MORE

Musukuma: Shigongo Njoo Nikufundishe – Video

MGOMBEA Ubunge wa Ji8mbo la Geita Vijijini, Mhe. Joseph Kasheku kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amemtaka Mgombea Ubunge wa Jimbo...

READ MORE

Mbunge Aliyenaswa Akifanya Ufusika na Mchepuko Bungeni Ajiuzulu

Mbunge wa Argentina, Juan Emilio Ameria amejiuzulu Ubunge ikiwa ni siku chache baada ya kusimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge kutokana...

READ MORE

Wahitimu St Mark’s Waaswa Kutojiingiza Kwenye Utumiaji Dawa za Kulevya

Wazazi na walezi wametakiwa kutokimbilia shule zenye ufaulu  kwa ajili ya kuwapeleka watoto  wao na kuaswa kuwatafutia shule zitakazowajenga kimaadili...

READ MORE

Amber Rutty, Mumewe, James Delicious Jela Miaka 5

MSANII Rutyfiya Abubakary maarufu kama ‘Amber Rutty’ na mpenzi wake, Said Bakary, pamoja na mtuhumiwa mwenzao, James Charles ‘James Delicious’,...

READ MORE

Shigongo Azindua Kampeni, Aahidi Buchosa Mpya

MGOMBEA Ubunge wa jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo leo...

READ MORE

Balaa! Mapokezi ya Shigongo Uzinduzi wa Kampeni Buchosa – Video

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, leo Ijumaa, Septemba 25, 2020, anazindua rasmi...

READ MORE

Afariki kwa Kula Pipi

MWANAMUME mmoja (54) ambaye ni mfanyakazi wa ujenzi nchini Marekani amefariki dunia baada ya kula pipi zilizotengenezwa kwa pombe maarufu...

READ MORE

Wadau wa Korosho Nchini Waazimia Kupandisha Thamani ya Zao Hilo

Bodi ya Korosho nchini kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali ikiwemo TMX, WHI na nyinginezo kutoka ndani na nje ya nchi...

READ MORE

Mwanafunzi Amkata Mapanga Mwalimu Wake

MWANAFUNZI wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Kiaga wilayani Butiama, mkoani Mara, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa...

READ MORE

CECIL MWAMBE: Safari yangu kisiasa haikuwa rahisi

Mgombea Ubunge jimbo la Ndanda mkoani Mtwara, Cecil Mwambe amesema safari yake kisiasa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita haikuwa...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni Tuhuma Rushwa ya Ngono kwa Denti Wake

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) Mkoa wa Mbeya, inamshikilia Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nyeregete...

READ MORE

Boniface, Prof. Kitila Wakutana Global Radio; Watifuana – Video

WAGOMBEA ubunge wa Jimbo la Ubungo, Boniface Jacob (Chadema) na Prof. Kitila Mkumbo (CCM) ambao wanachuana vikali katika kinyang’anyiro hicho...

READ MORE

Alichofanyiwa Mama Huyu Utamwaga Machozi

CELINE NJOKI (34), ni mama wa watoto watatu nchini Kenya. Ni vigumu sana kwa mtu kuweka akilini mwake mahangaiko na uchungu...

READ MORE

Jacob: Kama Maji ni Kero Ubungo, Wananchi Waninyime Kura – Video

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amesema kuwa uongozi wa chama...

READ MORE

Mussa Sima Apania Kuigeuza Singida Kuwa Jiji

Mgombea Ubunge jimbo la Singida mjini kupitia CCM, Mussa Sima amewaahidi wananchi wa jimbo hilo kumalizia kutatua changamoto zilizopo katika...

READ MORE

Boniface Jacob Asimamishwa Kufanya Kampeni kwa Siku 7 – Video

MGOMBEA ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  Boniface Jacob, amesimamishwa kuendelea na kampeni, akidaiwa kukiuka...

READ MORE

Majaliwa -“Kiti Cha Urais Siyo Mchezo, Mpeni Kura Dkt. Magufuli”

MJUMBE wa Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM,  Kassim Majaliwa amesema kiti cha urais siyo cha mchezo,...

READ MORE

Msajili, Upinzani Lugha Gongana; Mgombea Urais Asitisha Kampeni – Video

MVUTANO unaendelea kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na vyama viwili vya siasa; Chama cha Demokrasiana Maendeleo...

READ MORE

Amuua Mkewe Kinyama Akidai Penzi!

VILIO na simanzi, imetanda katika kitongoji cha Kwihuri kilichopo Kijiji cha Buturu, kata ya Butiama, Wilaya ya Butiama mkoani Mara,...

READ MORE

Lowassa: Magufuli, Tundu Lissu Asikutishe, Dunia Inajua

KITENDO cha mgombea urais wa Tanzania, kupitia Chadema, Tundu Lissu kuonekana kwenye televisheni na kuzunguka majimboni wakati wa kampeni zake,...

READ MORE