×

Habari

Mwalimu Mbaroni Kuishi Unyumba na Mwanafunzi

JESHI la Polisi Wilaya ya Igunga limemkamata mwalimu Keby Aron (32) kwa tuhuma ya kumweka kimada mwanafunzi wa miaka 17....

READ MORE

Mnangagwa Aruhusu Wajawazito Kuendelea na Masomo

RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, amesaini sheria inayozuia shule za serikali kuwatenga wasichana ambao ni wajawazito kuhudhuria masomo.   Chini...

READ MORE

Wamiliki wa Drones Waagizwa Kuzisajili TCAA

MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imewaagiza wamiliki wa ndege ndogo zisizo na rubani (drones) kuhakikisha ndege hizo zimesajiliwa...

READ MORE

JPM Awasilisha Michango Ujenzi Msikiti Chamwino

RAIS  John Magufuli leo Jumatatu, Agosti 24, 2020, amewasilisha fedha za michango iliyotolewa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa msikiti...

READ MORE

Kigogo MSD Aendelea Kusota Mahakamani

MAPEMA leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu upande wa utetezi katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya...

READ MORE

Maelfu Waandamana Kumtaka Lukashenko Aachie Madaraka

KIONGOZI wa upinzani nchini Belarus, Svetlana Tikhanovskaya, amewataka waandamanaji wanaodai demokrasia kuendelea na juhudi hizo, akisema Rais Alexander Lukashenko hana...

READ MORE

Mali: Jeshi Lataka Serikali ya Mpito Miaka 3

JUMUIYA ya Kiuchumi ya nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) na kundi la wanajeshi waliofanya mapinduzi nchini Mali wamekubaliana kufunga...

READ MORE

Baba Auawa Baada ya Kubaka Maiti ya Mwanawe

AMA kweli duniani kuna mambo! Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 45, ameuawa kutokana na kipigo alichokipata kutoka...

READ MORE

Mr Kuku Azidi Kusota Kesi ya Uhujumu Uchumi

KESI  ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara maarufu, Tariq Machibya (29) maarufu Mr Kuku, imeahirishwa hadi Septemba 7, mwaka huu, katika...

READ MORE

LIVE: Kongamano la Maombi Maalum ya Uchaguzi 2020

Kongamano la maombi maalum ya dua na salama kwa ajili wa uchaguzi mkuu 2020 limefanyika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma....

READ MORE

Mwana FA Avunja Rekodi Mapokezi Muheza

MAPOKEZI ya mgombea ubunge Jimbo la Muheza (CCM), Hamisi Mwinjuma maarufu MwanaFA,  jana amevunja rekodi ya umati wa mapokzi katika...

READ MORE

Dada wa Trump Asema Kaka yake ‘Alifanyiwa Mtihani’

DADA wa Rais wa Marekani, Donald Trump,  ambaye pia ni jaji wa zamani nchini humo, Bi. Maryanne Trump Barry,  amesema...

READ MORE

Wahamiaji Haramu 51 Wakamatwa Msata

JESHI la polisi mkoani Pwani, linawashikilia wahamiaji haramu (wanaume) kutoka nchini Ethiopia wapatao 51, kwa kosa la kuingia nchini bila...

READ MORE

Waliorusha Mawe Kwenye Mkutano wa Lissu Wakamatwa

Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro kupitia kwa kamanda wa Polisi Emmanuel Lukula limesema wanawashikilia watu 12 mpka Sasa kufuatia msafara...

READ MORE

JPM Azindua Kanisa Dodoma, Achangisha Pesa za Kujenga Msikiti -( Picha +Video)

Rais Magufuli leo Agosti amehudhuria Misa Takatifu na uzinduzi wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Imakulata, Ikulu Chamwino Mkoani...

READ MORE

Video: Maneno ya Tarimba Kanisani Kwa Gwajima

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni, kupitia Chama cha Mapinduzi, Abbas Tarimba amesema kuwa yeye na Askofu Gwajima, wamejipambanua kwamba...

READ MORE

TIC Yafanikisha Mpango wa Kampuni Kutoka Misri Kuwekeza Kiwanda Kikubwa cha Vifaa vya Umeme Nchini

Mwakilishi wa Kampuni ya kuzalisha vifaa vya umeme ya Elsewedy Electric ambaye ni Mkurugenzi Mkaazi wa Afrika Mashariki wa Kampuni...

READ MORE

Baada ya Kunyweshwa Sumu, Kiongozi wa Upinzani Urusi Awasili Ujerumani Kutibiwa

MSEMAJI wa kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny amesema leo kuwa mwanasiasa huyo ameondolewa kutoka hospitali aliyokuwa anatibiwa katika...

READ MORE

Mgonjwa Amuua Mgonjwa Mwenzake, Ajeruhi Wauguzi

MWANAMME mmoja aliyekuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Nanyuki nchini Kenya amedaiwa kugeuka mbogo na kumuua mgonjwa mwenzake,...

READ MORE

Mr. Championi Agawa Tiketi Simba Day Kwa Wasomaji Wake

  Mapema leo Mr. Championi amewakabihi tiketi za kuingilia uwanjani kushuhudia sherehe za  Kilele cha Simba Day leo Agosti 22,...

READ MORE

Shigongo Achukua Fomu ya Ubunge Buchosa – Video

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Buchosa, Eric James Shigongo amechukua fomu ya kugombea...

READ MORE

Mwanamme Aliyefungiwa Ndani Miaka 30 Aokolewa

POLISI  nchini Nigeria wameumuokoa mwanamme mmoja aliyefahamika kwa jina la Ahmed Aminu mwenye umri wa mika 32 ambaye alifungwa na...

READ MORE

Madaktari Wafanya Mgomo Nairobi

ZAIDI ya madaktari 300 wanaofanya kazi katika hospitali za umma katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, wameanza mgomo wakishinikiza malipo...

READ MORE

Jela Miaka 30 kwa Kumbaka, Kumpa Ujauzito Mwanawe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Mahiwa, Kata ya Nyangao, Maulid Salum (25),  kifungo...

READ MORE

Ujenzi Nyumba za Kisasa Wahimizwa Monduli

  Baada ya serikali kupitia wizara ya ya Afya, maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto kuandaa mwongozo wa uhamasishaji ujenzi wa...

READ MORE

Video: Onyango Afungukia Umri Wake, Amtaja Kagere

BEKI mpya wa Simba, Joash Onyango amefungukia kuhusu umri wake kutokana na baadhi ya mashabiki na wadau kuwa na shaka...

READ MORE

Kocha Yanga: Kwa Bwalya, Simba Wamepata Mwamba

SI unakumbuka jinsi Simba walivyomnasa ‘kimafia’ kiungo matata Larry Bwalya raia wa Zambia ambaye alikuwa anaelekea kwa wapinzani wao Yanga?...

READ MORE

Matokeo Kidato cha Sita 2020 Yapo Hapa

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA)  Agosti 21, 2020, limetangaza matokeo ya kidato cha sita kutokea visiwani Zanzibar ambapo kulikuwa...

READ MORE

Hasunga Achukua Fomu ya Ubunge

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Vwawa Mkoani Songwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

READ MORE

Majaliwa Achukua Fomu ya Ubunge Ruangwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Ruangwa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka kwa Frank...

READ MORE

Lori la Mafuta Lagonga Mti na Kupinduka Shinyanga

WATU wawili wamejeruhiwa baada ya Lori la mafuta gari lenye namba za usajili T674 BAA aina Tanker lenye tela lenye...

READ MORE

Silinde Achukua Fomu Kuwania Ubunge TUNDURU

Mgombea Ubunge Jimbo la Tunduma, David Silinde leo Ijumaa Agosti 21,2020 amechukua Fomu Kugombea Ubunge Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Kuna Tofauti Kubwa Kati ya Resume, Profile, CV, Biography na Autobiography

Kuna swali nimeulizwa na watu wengi sana na nimeona nilifafanue. Swali; Mbona CV yako ni ndefu sana kurasa 51 nani...

READ MORE

Breaking: Wanane Wafariki Ajalini Muleba, Kagera

WATU wanane, akiwemo mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja ambaye mama yake amenusurika, wamepoteza maisha mkoani Kagera na wanne hali...

READ MORE

Masele Aaga Rasmi Bunge la Afrika

MAKAMU wa Rais wa Kwanza wa Bunge la Afrika, Stephen Julius Masele,  ameaga rasmi Bunge la Afrika (Pan-African Parliament –...

READ MORE

Membe Awapa Neno Waliokatwa CCM kwa Ajili Yake

MGOMBEA  urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe, amewakaribisha ndani ya chama hicho...

READ MORE

Hakimu Atuhumiwa Kupokea Rushwa 150,000/=

HAKIMU mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Magugu,  Adeltus Richard Rweyendera, amefikishwa mahakamani na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa...

READ MORE

NEC Yatoa Siku 2 Waliochukua Fomu Bila Kutambulishwa na Vyama

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inafuatilia zoezi la kuchukua fomu za uteuzi na kubaini kuwa kuna changamoto ambazo...

READ MORE