×

Habari

Video: MAISHA Halisi ya Bilionea LAIZER; Ana watoto 30, WAKE Wanne

 Exclusive na Saniniu Laizer, moja ya wachimbaji wadogo wadogo wa madini Mirerani mkoani Manyara, ambaye ametangazwa bilione baada ya...

READ MORE

Kinondoni Yapongezwa Kwa Kujenga Uwanja Wa Mpira wa Kisasa

Manispaa ya Kinondoni imepongezwa kwa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu wenye uwezo wa kuchukua takriban idadi...

READ MORE

Wasomaji Spoti Xtra Wachangamkia Ndinga ya ‘Baba Lao’

GARI  la wasomaji wa Championi na Spoti Xtra hilooo… Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia gari hilo kumpata mwenyewe Julai mosi...

READ MORE

Mufti Mkuu: Hakutokuwa na Ibada ya Hijja Mwaka Huu

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar Zubeir bin Ally kwa niaba ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), ametangaza...

READ MORE

Mtoto Auawa na Fisi Wilayani Kwimba

MTOTO mmoja aliyetambulika kwa jina la Dalaile Milambo (6) mwanafunzi wa chekechea, wilayani Kwimba, mkoani Mwanza amefariki baada ya kushambuliwa...

READ MORE

Azam yazindua Tamthilia Nne Kurushwa Chanel ya Sinema Zetu

AZAM Media kupitia kwa mkurugenzi wake, Tido Mhando, jana walizindua tamthilia nne ambazo zitarushwa kwenye Chanel 103 ya Sinema Zetu...

READ MORE

Serikali Itashughulikia Changamoto za Watanzania Wote Bila ya Ubaguzi-Majaliwa                                                             

  WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli itaendelea kushughulikia...

READ MORE

Viongozi Wa Arusha Waliosamehewa Na JPM Wahamishwa

VIONGOZI  wa Mkoa wa Arusha waliosamehewa na Rais John Magufuli wakati alipotengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya...

READ MORE

DC Mpya Wa Arusha Afungua Mafunzo Ya Madaktari Yanayoratibiwa na WCF

MKUU mpya wa Wilaya ya Arusha, Mhe. Kenan Laban Kihongosi amewaambia madaktari na watoa huduma ya afya wanaoshiriki mafunzo ya...

READ MORE

Samia Ziarani CCM Wilaya ya Ilala

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu...

READ MORE

Tigo Yazindua Huduma Mpya ya Kununua Muda wa Maongezi

Kampuni ya mawasiliano inayoongoza kwa kutoa huduma za kidigitali nchini, Tigo Tanzania leo imezindua huduma mpya iliyoboreshwa inayomuwezesha mteja wa...

READ MORE

EXCLUSIVE: MORRISON Afunguka MKATABA Wake YANGA -Video

  UMESIKIAmengi kuhusiana na kiungo mwenye kasi wa Yanga, Bernard Morrison kutoka Ghana. Kwamba kuna fedha dola 5,000 alipelekewa na...

READ MORE

Sekta ya Mawasiliano ya Simu Inavyoweza Kuboresha Ubunifu wa Kiteknolojia

Katika miaka ya hivi karibuni serikali ya Tanzania ikishirikiana na sekta binafsi imechukua hatua mbalimbali kuimarisha uchumi. Nyingi ya juhudi...

READ MORE

Mshindi wa Kwanza Kipindi cha Darasa Akabidhiwa Simu (Picha +Video)

MSHINDI wa Shindano la Jishindie Simu Janja  (Smart Phone), Richard Boniphace, wa Tunduma Mbeya amepokelewa zawadi yake ya Simu janja...

READ MORE

Wanahisa 7,000 Wa DCB kuweka historia Jumamosi

  Takriban wanahisa 7,000 wa Benki ya DCB wanatarajiwa kufanya Mkutano Mkuu wa Mwaka Jumamosi ya Juni 27 mwaka huu...

READ MORE

Breaking News: Serikali Yalifungia Gazeti la ‘Tanzania Daima’

Serikali imesitisha leseni ya uchapishaji na usambazaji wa Gazeti la Tanzania Daima kuanzia Juni 24, 2020 kwa kukithiri, kujirudia makosa...

READ MORE

Samia Akutana na Viongozi wa CCM Temeke

  MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam,...

READ MORE

Gambo Ampongeza Mrithi Wake Arusha

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, ametoa pongezi kwa Mkuu wa Mkoa mpya wa Arusha, Iddy Kimanta, kupitia...

READ MORE

Safari ya Kessy Kurudi Yanga Yaiva

UONGOZI wa Yanga, upo kwenye harakati za mwisho za kumrejesha kikosini beki wao wa zamani, Hassan Kessy, baada ya kuzungumza...

READ MORE

Siri Ya Mondi, Poshy Queen Yafichuka, Poshy Adaiwa Kubeba Ujauzito

NYUMA ya madai kwamba, mwanamitindo maarufu Bongo, Jacqueline Obeid ‘Poshy Queen’ amebeba ujauzito wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond...

READ MORE

Malawi warudia kura ya urais baada ya kufutwa na mahakama

RAIA wa Malawi wanapiga kura leo katika awamu ya pili ya uchaguzi wa urais, miezi mitano baada ya mahakama ya...

READ MORE

Wafanyakazi wa Benki ya NMB Waisaidia Hospitali ya Ocean Road

  Benki ya NMB wakati wote inaamini katika kugusa na kubadili maisha ya wanajamii, ushiriki wa Wafanyakazi  katika programu za...

READ MORE

Magufuli Akemea Viongozi Wasiotekeleza Majukumu Yao -Video

RAIS John Magufuli amesema huwa anasikitishwa kuona watu ambao amewapa nafasi na kuwaamini wanashindwa kutekeleza yale ambayo amewatuma kwenda kufanya...

READ MORE

Masauni Achukua Fomu Ya Kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais Zanzibar

Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni leo Juni 22,...

READ MORE

Watakaojihusisha Na Rushwa Kipindi Cha Uchaguzi Wakamatwe – Waziri Mkuu

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imewaagiza Makamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) nchini wahakikishe wanawakamata...

READ MORE

Aliyekuwa Waziri Wa Habari, Rashid Juma Achukua Fomu Ya Urais

Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utalii na Utamaduni Zanzibar, Rashid Ali Juma amekuwa Mgombea wa 16 kuchukua Fomu ya kuwania nafasi...

READ MORE

Sinon Institute Of Education: Taasisi Inayoongoza Kwa Utoaji Wa Elimu

Hapa Kazi Tu na Tanzania ya Viwanda ndiyo kauli mbiu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John...

READ MORE

Corona Yaleta Baraka Kwenye Sekta Ya Afya – Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto amesema ugonjwa wa Corona umeleta fursa ya kuboresha huduma za...

READ MORE

Majaliwa: Watu Wote Watakaojihusisha na Vitendo Vya Rushwa Wakamatwe

  WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imewaagiza Makamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) nchini wahakikishe...

READ MORE

Congo: Msaidizi Wa Rais Jela Miaka 20 Kwa Ufisadi

Kwa mara ya kwanza Kongo inashuhudia vigogo wakipewa adhabu zinazowastahili kwa makosa waliofanya, na Vital Kamerhe ambaye ni msaidizi mkuu...

READ MORE

Ubunge wa Harmonize Tandahimba Njia Panda

Oktoba 15, 2019, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli ‘JPM’ alitamka kuwa anatamani staa wa...

READ MORE

Waziri Lukuvi: “Rais Magufuli Amenituma Huyu Bibi Apewe Kiwanja Chake”-Video

 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi Juni 21, 2020 amerudisha shamba la Bibi aliyelalamika wiki...

READ MORE

Mkemi wa Yanga Ashikiliwa na TAKUKURU

Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Salum Abdallah Mkemi anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

READ MORE

Jecha ‘Hasimu’ wa Maalim Seif, Ajitosa Mbio za urais Zanzibar

JECHA Salum Jecha, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), leo Juni 20, 2020 amechukua fomu ya kugombea urais...

READ MORE

Shehe Sharief: Magufuli Atavunja Rekodi Kupigiwa Kura – Video

SHEHE Sharifu Majini leo Juni 20,2020 ametabiri kuwa Rais John Magufuli atavunja rekodi kwa kupigiwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu...

READ MORE

Video: Wabunge 21, Madiwani 9 wa CUF Wajiunga ACT-Wazalendo

VITA baina ya Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha ACT-Wazalendo imeanza baada ya wabunge 21 na madiwani tisa wa...

READ MORE

Aliyeendesha Kesi Dhidi ya Washirika wa Trump Ajiuzulu

MWANASHERIA aliyesimamia mashitaka dhidi ya washirika wa karibu wa Rais Donald Trump wa Marekani, na uchunguzi dhidi ya wakili wake...

READ MORE

Rais Shein Avunja Baraza la Wawakilishi la Zanzibar – Video

 Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Ali Mohamed Shein anavunja baraza la wawakilishi wa zanzibar. Akihutubia wakati anavunja shughuli...

READ MORE