×

Habari

Ndege ya Ukraine Yaanguka Iran Ikiwa na Abiria 180

NDEGE ya Ukraine iliyokuwa imebeba watu 180  na wafanyakazi wake, imeanguka karibu na mji mkuu wa Iran, Tehran, dakika tatu...

READ MORE

Aliyedai Kutajirishwa na Freemason Anaswa, Aanika Ukweli – Video

  Mwanamke aliyedai kutajirishwa na Freemason amefikwa na mazito ambayo hatoyasahau maishani mwake. Mwanamke huyo ambaye wiki iliyopita alijitambulisha kwa...

READ MORE

Qasem Soleimani: Nyota ya Iran Iliyozimwa na Marekani – Video

Januari 3, 2020, tukio lisilo la kawaida lilitokea nchini Iraq, likimhusisha kiongozi wa ngazi za juu wa jeshi la Iran!...

READ MORE

Full Video: Jengo la Serikali Lilivyoteketea kwa Moto Mwanza – Video

Jengo la ghorofa tatu la shirika la nyumba (NHC) lililopo Isamilo wilayani Nyamagana usiku wa leo limeteketea kwa moto ambapo...

READ MORE

Dodoma: Mwanafunzi Chuo Kikuu Anaswa Akihonga Aongezewe Ufaulu

TAKUKURU mkoani Dodoma inatarajia kumfikisha Mahakamani James Kwangulija, mwanafunzi wa Mwaka wa Tatu wa Shahada ya Kwanza ya Ualimu Chuo...

READ MORE

Mloganzila Yajibu Tuhuma za Wagonjwa Wengi Kufariki Hospitalini Hapo

Hospitali ya Mloganzila leo imejibu tuhuma zilizoenea katika mitandao ya Kijamii ambapo watu wengi walilalamikia vifo vingi vinavyotokea katika Hospitali...

READ MORE

Miguna Miguna Azuiwa Berlin

WAKILI wa Upinzani nchini Kenya, Miguna Miguna ameshindwa kurejea nchini humo baada ya kuzuiliwa kupanda ndege na Mamlaka ya nchini...

READ MORE

Iran Yaitaja Wizara ya Ulinzi Marekani Kama Kundi la Kigaidi

SHIRIKA la habari la Iran limesema, bunge la nchi hiyo leo limeitaja wizara ya ulinzi ya Marekani kuwa ni kundi...

READ MORE

Waziri Mkuu Apendekeza Siku Nne za Kufanya Kazi Kwa Wiki

Waziri Mkuu mpya wa Finland Sanna Marin amependekeza nchi hiyo iwe na siku nne tu za kufanya kazi ili wananchi...

READ MORE

SIMIYU YAPATA UHABA WA CHANJO YA HOMA YA INI

Uongozi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Simiyu, umesema kasi kubwa ya Wananchi wanaojitokeza kupima na kupatiwa chanjo ya ugonjwa...

READ MORE

7 Wakamatwa Mwanza Wakidai Watumishi Ikulu

POLISI mkoani Mwanza wanawashikilia watu saba kwa tuhuma ya kujifanya watumishi kutoka ofisi ya rais (Ikulu) kwa kinachodaiwa kufanya utapeli...

READ MORE

Magoti, Mwenzake Wazidi Kusota Rumande

UPANDE wa Jamhuri umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi inayimkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria...

READ MORE

Hulk Amtosa Mkewe, Aanzisha Mahaba na Ndugu Yake

STRAIKA wa Kibrazil, Hulk, ametoa kali ya kufungia mwaka, baada ya kuamua kuachana na mkewe wa ndoa iliyodumu kwa miaka...

READ MORE

Mauaji ya Jenerali Qasem, Iran Yataka Kichwa cha Trump

MAELFU ya waombolezaji wamekusanyika mitaani nchini Iran ili kuomboleza kifo cha Jenerali Qasem Soleimani aliyeuawa na Jeshi la Marekani katika...

READ MORE

Viongozi, wachezaji Simba wajifungia Taifa

  KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, viongozi na wachezaji wa Simba, walijifungia kwa dakika 30 kwenye vyumba vya kubadilishia nguo...

READ MORE

Mchungaji Amuua Mkewe Kanisani

MCHUNGAJI mmoja nchini Kenya amemuua mkewe, Ann Mghoi,  kwa kumchoma visu, kisha na yeye kujiua. Mchungaji huyo aliyefahamika kwa jina...

READ MORE

Kauli ya Marekani kuhusu Kuondoa Majeshi Yake Iraq

WAZIRI  wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, amekanusha madai kuwa majeshi yake yanataka kuondoka Iraq baada ya barua kutoka kwa...

READ MORE

Safari ya Mwisho ya Mama Kabendera Yawaliza Wengi

SAFARI ya mwisho hapa dunia ya Verdiana Mujwahuzi ambaye ni mama mzazi wa mwandishi wa habari nchini Tanzania, Erick Kabendera...

READ MORE

Kisa Simba, Bilionea Aimwagia Yanga Mamilioni Dar

SARE ya mabao 2-2 waliyoipata Yanga walipocheza na Simba katika mchezo wa watani wa jadi, imewafanya wapate Sh milioni 50...

READ MORE

Unyama! Baba Awakeketa Wanaye, Awajeruhi Sehemu za Siri – Video

Mkazi wa Kivule jijini Dar es Salaam, Cosmas Chacha (45) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka...

READ MORE

Kocha Yanga: Wachezaji Simba ni wavivu

CHARLES Boniface Mkwasa, Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuwa kilichowaponza Simba kushindwa kulinda mabao yao mawili waliyofunga juzi Uwanja...

READ MORE

Kigogo TAKUKURU Ashindwa Kuelewana na DPP

WAKILI wa utetezi Elia Mwingira katika kesi ya Uhujumu uchumi inayomkabili Kuruthumu Mansoor ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kukamilisha...

READ MORE

Askari Polisi Kortini kwa Utakatishaji Fedha

WATUHUMIWA wanne akiwemo Askari Polisi, Emmanuel Mkilia wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu ikiwemo kuisababishia...

READ MORE

Kipindi Kinachogusa Hisia za Jamii Chazinduliwa Global TV

  TELEVISHENI bora ya mtandaoni, Global TV Online imezindua rasmi Kipindi cha Global Jamii, ambacho ni maalum kwa ajili ya...

READ MORE

Manula Aingia Ubaya Bao la Balama

BAO la umbali wa mita 18 alilolifunga kiungo wa Yanga, Mapinduzi Balama katika dakika ya 49, limemtia ubaya kipa namba...

READ MORE

Mfamasia kizimbani kwa kuiba dawa za kufubaza Ukimwi (ARV)

Mfamasia wa Hospitali ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora, Francis Mlesa (33), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa...

READ MORE

Wasiojulikana Watokomea na Mashine za NIDA – Video

IKIWA zimesalia siku 14 tu ili kuzima siku wa wale ambao hawajasajili laini zao za simu kwa mfumo wa alama...

READ MORE

Mzungu Simba Awapa Makavu Nyota Wake

SVEN Vanderbroeck amesema kuwa wachezaji wake walicheza chini ya kiwango kipindi cha pili jambo lililofanya kuruhusu kufungwa mabao mawili kipindi...

READ MORE

UNYAMA; MJAMZITO, WATATU Wauawa Kwa KUKATWA MAPANGA – Video

 Watu wanne wa familia moja wakazi wa Mtaa wa Katandala Kata ya Msambara Halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani...

READ MORE

Mmiliki Mabasi ya Sahara Akutwa Amekufa Gesti

Mfanyabiashara na mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) mkazi wa Usangi Mkoani Kilimanjaro, leo Jumapili Januari 5, 2020...

READ MORE

Al-Shabaab Yashambulia Kambi ya Wanajeshi wa Kenya na Marekani

Kundi la Al-Shabaab limefanya mashambulizi mapema Jumapili, dhidi ya kambi ya kijeshi nchini Kenya, inayotumiwa na wanajeshi wa Marekani na...

READ MORE

Mtoto Miaka 11 Adaiwa Kumuua Baba’ake Kisa Kudokoa Mboga

DAR: Ni simanzi Mwaka Mpya 2020! Baba aliyetamani kuuona Mwaka Mpya ambaye ni mkazi wa Goba- Oysterbay jijini Dar, Durban...

READ MORE

Nafasi za Kazi; AUMS, Boiler Maker- Geita Gold Mine, Geita

Boiler Maker Job Description Key Accountabilities: Complies with all HS&E policies, procedures and instructions. This includes the correct use of...

READ MORE

Mwanahabari wa DW Adaiwa Kulishwa Sumu

Deokaji Makomba ambaye ni Mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya DW amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma...

READ MORE

Kariakoo Derby: Hawa Watu ni wa Kuchunga Sana!

KUELEKEA katika mchezo wa leo pale Uwanja wa Taifa kati ya Simba na Yanga, kuna baadhi ya nyota wa kigeni...

READ MORE

Kijana wa Nyerere, Mbabe wa Idd Amin Atimiza Miaka 100

MKUU wa Majeshi mstaafu nchini Tanzania, Jenerali David Musuguri maarufu ‘Chakaza’ au Mtukula,  ametimiza umri wa karne moja (miaka 100)...

READ MORE

Mama Kabendera Kuzikwa Hapa Jumatatu

MWILI wa marehemu Verdiana Mujwahuzi, mama mzazi wa Erick Kabendera, utawasili Bukoba leo tayari kwa maziko yatakayofanyika kijiji cha Kashenge....

READ MORE

Simba Vs Yanga… Mtu na Mtu

  MAJIGAMBO, mikwara na kejeli za watani wa jadi Simba na Yanga zinamalizika leo wakati timu hizo kongwe zitakapokuwa uwanjani...

READ MORE

Bavicha Wajilipua, “Hakuna Ajira, Wanachukua Elfu 20” – Video

Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) wanazungumza na Umma kupitia waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali yaliyotokea nchini. Moja ya...

READ MORE