×

Habari

TCRA Yasisitiza, Laini Ambazo Hazijasajiliwa Zitafungwa Desemba 31

  MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kwamba hakuna laini ya simu itakayofungwa kabla ya tarehe hiyo. Aidha, imesema wananchi...

READ MORE

Breaking: Tito Magoti Achukuliwa na Watu Wasiojulikana

   MFANYAKAZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti,  anadaiwa kachukuliwa na watu wasiojulikana akiwa maeneo...

READ MORE

Aliyetajwa Na Mambosasa Kwa Kumiliki ATM Zaidi Ya 20 Apandishwa Kizimbani

Mwanadada aitwaye, Halima Juma  Ally  (23) mkazi wa Chalinze Mkoa wa Pwani, amepandishwa kizimbani leo katika Mahakama ya Wilaya ya...

READ MORE

Mdhamini Aieleza Mahakama: Lissu Amepona Lakini Anahofia Hili…

  MAHAKAMA ya Kisutu imesisitiza kuwa inamtaka mahakamani aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uchochezi.  ...

READ MORE

Trump Awashambulia Waliopiga Kura ya Kumwondoa Madarakani

  MUDA mfupi baada ya Baraza la Wawakilishi la Marekani kupitisha uamuzi wa kumshitaki Rais Donald Trump, mwenyewe ameitisha mkutano...

READ MORE

Ofisa wa Polisi Auawa Akigombea Bia Baa

  POMBE imemponza askari wa polisi na kusababisha kukatishwa uhai wake kutokana na ugomvi ulioibuka baina yake na wahudumu wa...

READ MORE

Papa Francis Afanya Maamuzi Magumu Kuhusu Unyanyasaji wa Kingono

Papa Francis ametangaza mabadiliko makubwa kwa jinsi Kanisa Katoliki linavyoshughulikia kesi za unyanyasaji wa kingono kwa watoto na kukomesha kanuni...

READ MORE

Wanaume Zanzibar Watoa Talaka kwa Njia ya SMS

WANAUME visiwani Zanzibar wanadaiwa kutoa talaka kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu za mkononi (SMs), kitendo kinachotafsiriwa kuwa ni...

READ MORE

‘Watoto wa Ibilisi’ Wazua Balaa, Ni Mapanga na Visu – Video

  KIKUNDI cha vijana wanaojiita ‘Watoto wa ibilisi’ limekuwa tishio kwa maisha ya watu na mali zao baada ya kudaiwa...

READ MORE

Video: RC Makonda Kutumia Bilioni 2.5 Kujenga Ofisi za CCM Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda amesema atatumia Sh2.5 bilioni kujenga ofisi za Chama cha...

READ MORE

Wanne Watekwa na Al-Shabaab Kenya

Wakandarasi wanne wa Kenya waliokuwa wakifanya kazi zao katika eneo la Wel Garas, kaunti ya Wajir wamearifiwa kutekwa na kundi...

READ MORE

Amshushia Kipigo Mkewe kwa Kuchinja Jogoo la Krismasi Kabla ya Sikukuu

  Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 50 kutoka wilaya ya Budaka mashariki mwa Uganda, amemjeruhi mke wake vibaya baada...

READ MORE

Puma Yang’ara Tuzo  Za Mwajiri Bora Tanzania 2019

  KAMPUNI ya.Mafuta ya Puma Tanzania ambayo ni namba moja katika biashara ya mafuta imeng’ara  kwa kujinyakulia tuzo nne katika...

READ MORE

Nyimbo 10 Zilizotikisa Bongo 2019!

MOJA kati ya mafanikio kwa msanii kwa mwaka mzima ni kutoa nyimbo ambazo zitakuwa kali, zitapigwa na kupendwa na watu...

READ MORE

Polisi Yawaonya Madereva Kipindi cha Sikukuu

KAMANDA wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP, Fortunatus Muslim,  amewataka madereva kuwa waangalifu...

READ MORE

Mbowe Achaguliwa Tena Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa

  MGOMBEA wa nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amechaguliwa tena katika nafasi hiyo...

READ MORE

Kimenuka! Trump Apigiwa Kura Akishtakiwa, Bunge Kumng’oa

  BARAZA la Wawakilishi la Marekani limepiga kura kuridhia kushtakiwa kwa Rais Donald Trump kwa kutumia vibaya madaraka yake na...

READ MORE

NMB MastaBoda Ndani ya Kisarawe!

KAMPENI ya MastaBoda inayoendeshwa na Benki ya NMB kwa ajili ya kuwaunganisha waendesha Bodaboda katika mfumo wa kibenki wa kupokea...

READ MORE

TTCL Yafurahisha Wapenzi Wa Filamu, Sasa ni Movies Bila Intaneti

  WATANZANIA hususan wapenzi wa filamu nchini sasa watanufaika na huduma ya ‘T-Burudani’ toka TTCL  itakayomwezesha mteja kupakua, kuhifadhi pamoja...

READ MORE

Mbowe Apandisha Ada Chadema “Hatutategemea Ruzuku Tena” – Video

  CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimezindua mfumo wake mpya wa Kidigitali wa uendeshaji wa Chama hicho ambapo kitakuwa...

READ MORE

Timu Ya Bunge Ilivyofanya Mazoezi Nchini Uganda

Timu ya Bunge sport Club maarufu Ndugai Boys wakiwa katika mazoezi mepesi leo asubuhi kabla ya kukutana na timu mwenyeji...

READ MORE

Makonda Atembelea Walioathirika Na Mafuriko (Picha +Video)

Mkuu wa mkoa wa Dar es alaam, Paul Makonda leo ametembelea sehemu zilizoathiriwa na mvua kali iliyonyesha jana karibu mji...

READ MORE

Magufuli Kuhusu Mafuriko: Msiishi Mabondeni, Mtailaumu Serikali – Video

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amewataka wananchi kujihadhari kujenga nyumba kwenye maeneo ambayo kuna mkondo wa maji.   Mkuu huyo...

READ MORE

Lissu: Wameshindwa, Nimepona, Narudi Tanzania – Video

  MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu ameuhutubia mkutano mkuu wa chama hicho unaoendelea katika...

READ MORE

Kabendera Kula Krismasi, Mwaka Mpya Lupango – Video

KESI ya uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa habari, Erick Kabendera, imepigwa kalenda hadi Januari 2, 2020,  itakaposikilizwa tena, ambapo upande...

READ MORE

Basi la Abiria Lafeli Breki na Kugonga Magari 7 Moshi – Video

  WATU 15 wamenusurika kifo baada ya breki za basi la abiria la kampuni ya Harambee kushindwa kufanya kazi na...

READ MORE

Madai ya Mikopo: Rais wa Wanafunzi UDSM Asimamishwa Masomo

  VIONGOZI sita wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam – UDSM, (DARUSO), akiwemo rais wao,...

READ MORE

Yaliyojiri Mkutano Mkuu wa Chadema – Video

MKUTANO Mkuu Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)  unafanyika leo Jumatano, Desemba 18, 2019, katika Ukumbi wa Mlimani...

READ MORE

King Limau Na Marhaba Soap Zaweka Rekodi Mitaani (Picha +Video)

Promosheni ya nguvu ya sabuni za unga za King Limau na Marhaba Soap iliyofanyika kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la...

READ MORE

Niyonzima Mali ya Yanga, Kutua Nchini

RASMI uongozi wa Yanga umethibitisha kuwa unakamilisha usajili wa kiungo mchezeshaji fundi wa AS Kigali ya Rwanda, Haruna Niyonzima ambaye...

READ MORE

Wafanyabiashara Kariakoo Waendelea Kulisifu Gazeti La Betika

Ikiwa ni Jumatano, ya Desemba 18, mwaka huu timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Kariakoo na...

READ MORE

Serikali Yasikitishwa na Tamko la Wanafunzi UDSM

  WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, amesema Serikali imesikitishwa mno na tamko la Serikali ya Wanafunzi...

READ MORE

Anaswa Akimiliki Kiwanda cha Noti Bandia, Akutwa na Mabilioni Feki

SERIKALI imesema itaandelea kufanya oparesheni ya uhujumu uchumi ili kudhibiti utengenezaji na upatikanaji wa fedha bandia katika maeneno mengi nchini...

READ MORE

NMB Yaahidi Kushirikiana na Serikali Kukuza Utalii

  BENKI ya NMB imeahidi kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha inasaidia harakati za Serikali kukuza Utalii nchini, ili kuinyanyua...

READ MORE

CHADEMA Yapewa Saa 2 Kuondoa Bendera Zao Dar

  MKURUGENZI wa Manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuipa saa mbili...

READ MORE

Benki ya DCB Yaziasa Familia Kushiriki Mazoezi ya Viungo

    BENKI ya Biashara ya DCB imezihamasisha familia kujenga tabia ya kushikiri mazoezi ya viungo ili kuweza kuwa na...

READ MORE

Mbowe: CHADEMA Imevunja Ndoa Nyingi

  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema amekuwa akishangazwa na watu wanaoohoji kwanini chama hicho...

READ MORE

Urais 2020 Wamponza Membe

WINGU zito limetanda ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ambao sasa umeanza kukitikisa...

READ MORE

Heri Ya Kuzaliwa Papa Francis Amefikisha Miaka 83

PAPA FRANCIS wa leo (Jumanne) anaadhimisha mwaka wa 83 wa kuzaliwa kwake.  Wiki iliyopita aliadhimisha mwaka wa 50 wa upadrisho...

READ MORE