×

Habari

Washtakiwa kwa Kuweka Sumu Kwenye Chakula

  MAMENEJA watatu wa shamba huko Baringo nchini Kenya, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na shtaka la kuweka sumu kwenye chakula na...

READ MORE

DAWASA Yatangaza Upungufu wa Maji Dar kwa Siku 2

  Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) nchini Tanzania imetoa tahadhari ya upungufu wa huduma...

READ MORE

Zambia Yaridhia Biashara ya Bangi

  SERIKALI  ya Zambia imepitisha sheria inayohalalisha kilimo cha zao la bangi kwa sababu za kiuchumi na tiba.   Kwa...

READ MORE

Wanandoa Wajinyonga Kisa Deni la Harusi (Sh 179m)

WANANDOA waliofahamika kwa majina ya Bw. na Bi. Odipo wamejinyonga hadi kufa baada ya kudaiwa pesa walizokopa kwa ajili ya...

READ MORE

Boeing Yasitisha Kutengeneza Ndege za 737 Max

KAMPUNI ya Boeing itasimamisha kwa muda uzalishaji wa ndege zake zilizokumbwa na matatizo za 737 Max mwezi Januari 2020. Utengenezaji...

READ MORE

Serikali Yaingilia Ujenzi Uwanja wa Yanga

  SERIKALI imeipiga ‘stop’ Yanga kuendelea na ujenzi wa uwanja wao wa mazoezi eneo la Jangwani jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Inasikitisha! Watoto Watatu Familia Moja Wafa Baharini – Video

  INASIKITISHA SANA! Vuta picha kama mzazi, umekwenda kwenye mihangaiko yako, unarudi unaambiwa watoto wako wanne wamefariki dunia ghafla, hakika...

READ MORE

T-PESA Waingia Makubaliano Kibiashara Na Halopesa

    SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia kampuni yake tanzu ya T-PESA imeingia makubaliano ya kibiashara na HaloPesa, ambapo...

READ MORE

Kilichojiri Anayedaiwa Kumchoma kwa Magunia ya Mkaa Mkewe – Video

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji inayomkabili Mfanyabiashara Hamis Said (38) umedai kuwa...

READ MORE

NMB Yatambuliwa Kuwa Mwajiri Aliyeidhinishwa na Chama cha Wahasibu ulimwenguni (ACCA)

Benki ya NMB imepokea kibali cha ithibati kuwa mwajiri aliyeidhinishwa na Chama cha Wahasibu cha Kimataifa Association of Chartered Certified...

READ MORE

Breaking: Kisa Tundu Lissu, Kubenea Ajitoa Kugombea Chadema

KAMATI  ya Uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo Jumatatu, Desemba 16, 2019, imetangaza majina ya waliopitishwa kugombea...

READ MORE

Watu 30 Wafa Kwenye Mgodi wa Madini DRC

  Watu 30 wamekufa baada ya kutokea maporomoko ya ardhi katika mgodi wa madini ya Dhahabu wa Ndiyo, eneo la...

READ MORE

Rais JPM: Nimechoka… Kazi Hii ni Mateso – Video

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesisitiza kuwa...

READ MORE

Balozi wa Marekani Afurumushwa Zambia kwa Kusapoti Ushoga

SERIKALI ya Zambia imeielekeza Marekani kumuondoa balozi wake nchini, Daniel Foote humo baada ya balozi huyo kukosoa hukumu ya mahakama...

READ MORE

Vijana wa JKT Wadaiwa Kuua Raia Wakimtuhumu Kuiba Simu

  POLISI mkoani Rukwa inawashikilia vijana watano wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwanakijiji...

READ MORE

Wanafunzi UDSM Wafanya Maamuzi Magumu, Watoa Saa 72

KUFUATIA wanafunzi wengi kukosa mikopo ya elimu ya juu na kudaiwa kuwepo figisu kwa wale wanaopaswa kupewa mikopo hiyo, Serikali...

READ MORE

Wanandoa Wauawa Wakiwa Wamelala

  HOFU, simanzi na majonzi zimetawala kwa wakazi wa Mtaa wa Migazini Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi, baada ya...

READ MORE

Mwalimu Mkuu Mbaroni kwa Rushwa ya Ngono kwa Mwanafunzi

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Dodoma wanamshikilia Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Serengeti iliyopo Serengeti...

READ MORE

Akutwa Ameuawa Ndani, Mwili Umeharibika, Mjumbe Asimulia – Video

MWILI wa mke wa Dickson Ponela, Prisca John Sambu (35) umekutwa umeharibika chumbani ambapo mashuhuda waliouona kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Mamia Wamzika Akilimali wa Yanga Tandale Dar (Picha +Video)

MAZIKO  ya aliyekuwa Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali  yamefanyika leo Desemba 15, katika Msikiti wake wa...

READ MORE

ACB Ilivyofanikisha Kikundi Cha FATA Vicoba Kujizolea Faida

Benki ya Akiba Commencial (ACB) jana iliungana na wanachama wa kikundi cha FATA Vicoba Endelevu kusherehekea kumaliza mwaka ambapo wanachama...

READ MORE

Waziri Ummy Apokea Msaada Kutoka NMB Wa Vitanda 15 Vya Hospitali Za Muhimbili

      Katika kutambua afya ni suala muhimu sana kwa maendeleo ya jamii, Benki ya NMB imekabidhi vitanda 15...

READ MORE

Shule za St. MARY’S Zatangaza Ofa Msimu wa Masomo 2020

KWA wazazi, inapofika Desemba kuelekea Januari kila mwaka, huwa ni kipindi kigumu sana! Ugumu wake ni majukumu yaliyopo mbele yao...

READ MORE

Nabii Natasha Aongeza Upako Shilo 2019 -Video

MTUMISHI wa Mungu, Nabii Natasha leo amenogesha tamasha la Shilo lililofanyika katika Kanisa la Mlima wa Moto lililopo Mikocheni ‘A’...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Sudan Ahukumiwa Jela

Aliyekuwa Rais wa zamani wa Sudan, Omary Al Bashir amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, na Mahakama  ya Mjini Kartoum...

READ MORE

Tanzia: Mzee Akilimali wa Yanga Afariki Dunia

ALIYEKUWA Katibu wa Baraza la Wazee la Klabu ya Young Africans (Yanga), Mzee Ibrahim Akilimali amefariki dunia leo asubuhi, Jumamosi,...

READ MORE

Watatu Mbaroni Mauaji ya Bodaboda

MANYARA: Jeshi la Polisi Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, limewatia mbaroni watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva wa...

READ MORE

Rais Amtunuku Askari Aliyejitosa Kufundisha Wanafunzi na Bunduki

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya amemtuza Ofisa wa Jeshi la Polisi, Jairus Mulumia, ambaye alijitolea kuwafundisha wanafunzi katika Shule ya...

READ MORE

Mama wa Mwandishi Kabendera Amwangukia JPM

VERDIANA Mjwahuzi (81), mama wa mwandishi wa habari za kiuchunguzi, Erick Kabendera,  amemwomba  amsamehe mwanaye wa pekee anayemsaidia katika matibabu....

READ MORE

DC Aanika Sababu ya Kumsweka Ndani Trafiki

MKUU wa Wilaya ya Geita, (DC) Josephat Maganga (pichani) amesema mojawapo ya sababu iliyomlazimu kumsweka rumande askari wa usalama barabarani,...

READ MORE

Vijana Wanaokula Paka… ‘Wanakula Hadi Nyama za Watu’

EEEH bwana eee; upepo wa vijana Stanslaus Luchano ‘Ghost’ (23) na Nicholas Michael ‘Chaupepo’ (28) wakazi wa Kimara jijini Dar...

READ MORE

Kinana, Makamba, Membe Waitwa Kujieleza

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na Watanzania kwamba Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeketi leo...

READ MORE

Boris Johnson Aibuka Kidedea Uchaguzi Mkuu Uingereza

CHAMA  cha Conservative kimeshinda zaidi ya viti 326 vya Ubunge huku Kiongozi wa Chama hicho Boris Johnson akiwashukuru wapiga kura...

READ MORE

DC Chongolo Azindua Maonyesho Bidhaa za Ngozi

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo,  amesema kuwa katika kutatua changamoto ya kupata soko la uhakika la bidhaa za...

READ MORE

Mke Amuua Mumewe kwa Kumzuia Kuondoka Nyumbani

  POLISI katika mji wa Nakuru nchini Kenya wanamshikilia mwanamke mmoja, Rehema Rita Wanjiru, mwenye umri wa miaka 21 kwa...

READ MORE

Obama Ateketeza Bil. 25 Kununua Jumba la Kifahari

RAIS mstaafu wa Marekani, Barack Obama, na mkewe, Michelle Obama wamenunua jumba la kifahari lililopo eneo la Martha Vineyard katika...

READ MORE