×

Habari

Lowassa Ammwagia Sifa Rais Magufuli

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa,  amepongeza utendaji kazi wa Rais John Magufuli ambapo amesema kampeni ya kutumbua watu ambao...

READ MORE

ALIYOYAFANYA NDUMBARO MIEZI 18 TOKA AWE MBUNGE

ALIYOYAFANYA Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Damas Ndumbaro na Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

READ MORE

Rubani Anusurika Kufa Akidondokea Nyanya za Umeme

RUBANI wa ndege ya kijeshi nchini Ufaransa amenusurika kufa baada ya kudondokea nyaya za umeme wakati ndege hiyo inaanguka.  ...

READ MORE

Wanawake wawili Kenya wabadilishana waume zao

  WANAWAKE wawili kutoka kaunti ya Busia, magharibi mwa Kenya, wamewaacha watu na bumbuwazi mara baada ya kubadilishana waume zao...

READ MORE

Tuwaambie Kiba, Diamond Warudi Nyumbani Kumenoga au?

SIKU za hivi karibuni upepo wa mastaa wa kiume hususan wa Bongo Fleva kuwa na mahusiano au kuoa wanawake kutoka...

READ MORE

Celine Dion Ampa Onyo Drake

Kwa mujibu wa Billboard, Drake aliwahi kuweka wazi kuhusu mpango wake wa kujichora tattoo yenye sura ya muimbaji  CelineDion. Septemba...

READ MORE

Mtaalam Mpya Ashushwa Yanga

KUELEKEA mchezo wa Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zesco United, mabosi wa Yanga haraka wamepanga...

READ MORE

TADB, NMB  KUPANUA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA KWA WAKULIMA 

Benki Ya Maendeleo Ya Kilimo Tanzania (TADB) ikishirikiana na NMB zatimiza azma ya serikali katika kupanua wigo wa huduma za...

READ MORE

Aveva, Kaburu Wafutiwa Dhamana na Kurejeshwa Mahabusu

Aliyekuwa Rais wa Klabu ya Simba, Evance Aveva na Godfery Nyange (Kaburu) wameshindwa kuachiwa kwa dhamana baada ya Mkurugenzi wa...

READ MORE

Mama Abanwa Madai ya Ndoa ya Kiba Kuvunjika

DAR ES SALAAM: Wakati hali ikiwa si shwari kwenye mitandao ya kijamii kufuatia madai ya staa kunako Bongo Fleva, Ali...

READ MORE

SGR Inavyotusua Kwenye Milima ya Kilosa

Maendeleo ya ujenzi wa reli ya kisasa kwa kipande cha awamu ya pili Morogoro -Makutopora Singida wazidi kunoga umefikia zaidi...

READ MORE

Faftma Karume Asimamishwa Uwakili

MAHAKAMA Kuu imeamuru wakili Fatma Karume asiendelee kuwa wakili kwa muda kutokana na upande wa serikali kulalamikia matamshi yaliyotolewa na...

READ MORE

HAI: Mbunge Chadema na Wenzake Watatu Watiwa Mbaroni

Mkuu wa wilaya ya Hai, Mhe. Lengai Ole Sabaya ameagiza viongozi wanne wa CHADEMA mkoani Kilimanjaro akiwemo Mbunge wa Viti...

READ MORE

JPM Amtumbua RC Kebwe, Ateua Mwingine – Video

RAIS John Magufuli amemteua Lowata Sanare kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na Musa Masele kuwa Mkuu wa Wilaya ya...

READ MORE

Kwanini Trump Anabeba Pesa Mfukoni

Wakati akipanda ndege kuelekea  California, Rais Trump wa Marekani alipigwa picha zikimuonyesha kuwa na noti nyingi za dola 20 zilizoonekana...

READ MORE

Mbrazili wa Simba Aahidi Mabao

KIUNGO wa Simba raia wa Brazil, Gerson Fraga amesema ana imani kubwa na mshambuliaji wa timu hiyo raia mwenzake wa...

READ MORE

Kortini Akijifanya Usalama wa Taifa Amsaidie Malinzi – Video

THOMAS Mgoli (37), mkazi wa Buguruni jijini Dar es Salaam amepandishwa kizimbani katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na...

READ MORE

Banka Amhofia Makame

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Issa Mohammed ‘Banka’, amejiondoa kwenye vita ya namba na Abdulaziz Makame ‘Bui’ huku akisema nyota huyo...

READ MORE

Onyo Kali La Celine Dion Kwa Drake

KWA mujibu wa Billboard, Drake aliwahi kuweka wazi kuhusu mpango wake wa kujichora tatoo yenye sura ya muimbaji  CelineDion. Septemba...

READ MORE

Chama: Yanga Watawafunga Zesco, Wakomae Tu

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama amefunguka kuwa wapinzani wao Yanga wana uwezo mkubwa wa kuwafunga Zesco United kwao lakini...

READ MORE

Rais Ben Ali Afariki Dunia

Rais wa zamani wa Tunisia, Zine Abidine ben Ali aliyeitawala nchi hiyo kwa zaidi ya miongo miwili amefariki dunia uhamishoni...

READ MORE

JPM Aagiza Airbus Nyingine Mbili Mpya

SERIKALI imesaini mkataba wa ununuzi wa ndege mbili aina ya Airbus A220-300 kwa ajili ya Shirika la Ndege la Tanzania...

READ MORE

CHINA YASHEREKEA MIAKA 70 TANGU KUANZISHWA KWA JAMHURI YAO NCHINI TANZANIA

VIONGOZI mbalimbali walihudhuria hafla fupi ya raia wa China kupitia ubalozi wa China nchini Tanzania kwa kusherehekea miaka 70 tangu...

READ MORE

Kocha Stars: Tutawa Furahisha Watanzani

SELEMANI Matola, Kocha Msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa watawafurahisha Watanzania keshokutwa Jumapili kwa kupata...

READ MORE

Mali za Mugabe Kaa la Moto!

SIKU chache baada ya mazishi ya kihistoria ya rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe kufanyika; mali zake zimegeuka kaa...

READ MORE

Denti Apewa Mimba na Bab’ake Mzazi

  HIVI dunia inakwenda wapi? Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mkenyenge wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga, (jina linahifadhiwa), amemtaja baba yake...

READ MORE

Kagera Sugar: Tunamtaka Aishi Manula

KIKOSI cha Simba hivi sasa kipo katika maandalizi kabambe ya kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya...

READ MORE

DIARY ya Shigongo – 42: Umejiandaaje na Baada ya Kustaafu na Kuzeeka?

NI Jumamosi tulivu ninapoandika makala haya, nipo ofisini kwangu nikiendelea na majukumu yangu ya kila siku.   Ijumaa iliyopita, nilipata...

READ MORE

Tigo Tanzania kushirikiana na East African Got Talent (EAGT)

  Dar es Salaam. Septemba 17, 2019. Kampuni ya Tigo Tanzania, leo imetangaza rasmi kuingia ushirikiano na kampuni maarufu ya...

READ MORE

Ahukumiwa Jela Miaka 99 Kwa Makosa 17

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha miaka 99 jela Salma Mntambo baada ya kupatikana na hatia katika mashtaka...

READ MORE

Kiungo Yanga SC Awakataa Juma Balinya, Sibomana

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Abdulazizi Makame amefunguka kuwa kosa lao pekee walilonalo kwa sasa ni kwenye eneo la ushambuliaji na...

READ MORE

Zesco Yabadili Mazoezi Yanga

BAADA ya washambuliaji wa Yanga kushindwa kufanya vizuri kwenye mchezo uliopita dhidi ya Zesco, hatimaye kocha wa timu hiyo Mwinyi...

READ MORE

Makonda Kusaidia Matibabu ya Moyo kwa Watoto 60 – Video

TAASISI ya moyo ya Jakaya Kikwete, imemmwagia pongezi za kutosha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Mkonda kwa...

READ MORE

WIKI NYINGINE YA BETIKA HII HAPA

  GAZETI lako pendwa linalotolewa bure la Betika kama kawaida wiki hii limeingia mtaani. Hii ni wiki ya 32 tangu...

READ MORE

Shule ya Sekondari Old Tanga Yaungua kwa Moto

Shule ya Sekondari Old Tanga imeungua kwa moto ulioanza leo mchana Jumatano Sept. 18, 2019. Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

READ MORE

RECHO ATANGAZA KUWA SINGO NDANI YA 255 GLOBAL RADIO

Mwanamuziki Recho (wa pili kushoto) akiwa na watangazaji wa kipindi cha Bongo 255. MREMBO kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT),...

READ MORE

DODOMA: Watuhumiwa 45 kwa Kuuza Petrol Mtaani

JESHI la Polisi mkoa wa Dodoma limefanya msako mkali katika Wilaya zote mkoani hapa na kufanikiwa kukamata Watuhumiwa 45 kwa...

READ MORE

Mwl. Mkuu Akamatwa Baada Binti Aliyemkana Kukamatwa

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma, ACP Martin Ottieno amesema tayari jana usiku wamemkamata kwa mara nyingine Mwalimu mkuu wa Shule...

READ MORE

IGP Sirro Abadilisha RPC Wanne

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, amefanya mabadiliko ya kikazi kwa makamanda wakuu wa mikoa minne. Taarifa...

READ MORE

Benki Kuu (BoT) Yakanusha Kutoa Sarafu ya Sh. 3,000

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba mwezi Julai, mwaka huu, (2019)  ilitoa sarafu ya kumbukumbu ya...

READ MORE