×

Habari

SKENDO YA UNGA… SHAMIM AALIVYOMUIBUA JACK PATRICK

DAR ES SALAAM: Skendo mbichi ya unga inamhusu mjasiriamali maarufu jijini Dar es Salaam, Shamim Mwasa na mumewe Abdul Nsembo...

READ MORE

MGAO MALI ZA MENGI SHERIA 2 KUMBEBA K-LYNN ZATAJWA!

BAADA ya mfanyabiashara bilionea, Dk Reginald Abraham Mengi kufariki dunia na kuzikwa, masikio ya wengi yamehamia kwenye mgao wa mali...

READ MORE

DREAMLINER Yapeleka Wapiganaji wa JWTZ Darfur – Video

MAOFISA na Askari wa Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanaoshiriki Ulinzi wa Amani katika Jimbo la Darfur...

READ MORE

BABA ALIYENASWA LAIVU NA MGUU WA MWANAYE UNDANI NI HUU!

MBEYA: Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Tukio la baba aliyefahamika kwa jina la Tatizo Yahya Japhet Nguku (37), mkazi...

READ MORE

Kakolanya Aomba Radhi Yanga SC

SIKU chache baada ya kufanikiwa kuvunja mkataba na Yanga, aliyekuwa kipa namba moja wa timu hiyo, Beno Kakolanya amewaomba radhi...

READ MORE

Mbunge Aliyetuhumiwa Kufumaniwa Abadili Jina

Mbunge wa Segerea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bonnah Kaluwa ametoa taarifa ya kubadilisha jina kufuatia kuingia kwenye mvutano wa...

READ MORE

Magari ya ‘Bure’ Haya Hapa, Njoo Jumamosi Uchuke la Kwako! – Video

Kampuni ya Tambaza Auction Mart and General Brockers Ltd, inakuletea mnada mkubwa wa hadhara utakaotikisa jiji la dar es salaam,...

READ MORE

Spika Ndugai Azungumzia Ofisi ya CAG: “Hakuna Anayebaki”

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameeleza amepokea taarifa ya kufanyiwa ukaguzi kwa ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu...

READ MORE

Wakamatwa kwa kula mfungo wa Ramadhani

  POLISI wa Sharia ya Kiislamu katika jimbo la kaskazini mwa Nigeria la The Islamic Sharia Kano wamewakamata kwa muda...

READ MORE

BREAKING: NDUGAI AMSIMAMISHA UBUNGE MASELE KWA UTOVU WA NIDHAMU – VIDEO

SPIKA Job Ndugai ametangaza kusitisha uwakilishi wa Mbunge Stephen Masele kwenye Bunge la Afrika (PAP) ambaye pia ni Makamu wa...

READ MORE

Hiki Ndicho Kilichoamriwa na Mahakama Kuhusu Mke wa Kisena wa UDART

Florencia Membe ambaye ni mke wa mkurugenzi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam (Udart), Robert Kisena...

READ MORE

Basi, Hiace Yagongana Babati, Mwanafunzi Afariki

  KAMANDA wa Polisi Mkoani Manyara, Augustino Senga amethibitisha kutokea kwa ajali kati ya basi la Kampuni ya Mtei na...

READ MORE

MASHINDANO MAKUBWA YA QUR-AAN TUKUFU KUFANYIKA TAIFA

MASHINDANO makubwa ya Qur-aan Tukufu yanatarajia kufanyika Jumapili hii, Mei 19, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini hapa ambapo...

READ MORE

PM MAJALIWA AWASIMAMISHA KAZI WAKURUGENZI SABA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Wakurugenzi saba wa Tume ya Umwagiliaji akiwemo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa tume hiyo ili...

READ MORE

BREAKING NEWS: KISENA WA UDART AFUTIWA MASHTAKA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisitu, chini ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, leo Jumatano Mei 15, 2019 imewafutia mashtaka Mkurugenzi...

READ MORE

WATALII ZAIDI YA 340 WATUA NCHINI, NMB WATIA NENO

  KATIKA kuhakikisha hali ya uchumi inazidi kuimarika kupitia sekta ya utalii, Tanzania imepokea watalii Zaidi ya 340 kutoka nchini China...

READ MORE

Makonda Ashuhudia Mafuriko, Bil 200 Zapelekwa Mto Msimbazi

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda jana amefanya ziara ya ukaguzi wa athari za mafuriko ambapo amesema...

READ MORE

OVAHIMBA: Wanawake Huwapa Tendo la Ndoa Wageni Kama Heshima

  Kabila la OVAHIMBA ambalo linapatikana kaskazini mwa Namibia katika mikoa ya Kunene na Omusati, bado wana utamaduni wa kuwapokea...

READ MORE

Breakin News: JPM Amtumbua RC Amos Makalla

Rais Magufuli amempandisha hadhi aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Juma Homera kuwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi kuanzia  leo...

READ MORE

ANG’ATWA MKONO NA MWANAMKE, WANYAUKA

MWANAUME mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Saliini Athuman, mkazi wa Mbagala jijini Dar, amepata kilema cha mkono baada ya kung’atwa...

READ MORE

FUNDI ASIYEONA AIBUA MAPYA YA MENGI

K UMBUKUMBU ya maisha aliyoishi mfanyabiashara bilionea marehemu Dk. Reginald Abrahamu Mengi haijatoka miongoni mwa jamii; fundi mlemavu wa macho...

READ MORE

FUNDI WELDING ASEMA ALIMUONA MBOWE AKIONGOZA MAANDAMANO MKWAJUNI

SHAHIDI kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) upande  wa Jamhuri amesema kuwa alimuona...

READ MORE

Wema Ashindwa Kufika Mahakamani Kisa Ugonjwa

Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu, ameshindwa kufika mahakamani kwa ajili ya kuhudhuria kesi inayomkabili ya kusambaza picha za ngono...

READ MORE

IGP SIRRO AFANYA MABADILIKO KTK JESHI LA POLISI

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amemteua aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Msemaji wa Jeshi...

READ MORE

Waandishi wa Habari kuishtaki Mamlaka ya Mawasiliano nchini Uganda

Waandishi habari katika kampuni 13 za vyombo vya habari Uganda, walioagizwa wasitishwe kazi na mamlaka ya mawasiliano nchini, wanawasilisha kesi...

READ MORE

JPM amemteua Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kuwa Mkuu wa Chuo Cha UDOM

Rais Magufuli amemteua Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) kwa kipindi cha pili mfululizo, pia...

READ MORE

BENKI YA DCB YAWASHUKURU WABUNGE, SPIKA KWA MAFANIKIO YA UUZWAJI WA HISA

  Benki ya Biashara ya DCB imetoa shukurani kwa waheshimiwa wabunge pamoja na mheshimiwa spika kwa kufanikisha zoezi la uuzwaji...

READ MORE

Kakolanya: Nakuja Simba, Manula jipange

ALIYEKUWA kipa wa Yanga, Beno Kakolanya amefunguka kwamba anatua Simba kwa msimu ujao huku akichimba biti kwa kipa mwenzake, Aishi...

READ MORE

MFALME AAMURU VIJANA WAOE WAKE WAWILI, UKIKAIDI UNAPELEKWA JELA

  Mfalme wa Eswatini, Mswati wa III amewataka vijana wa nchini kwake waliofikia umri wa kuoa, waoe haraka na kusisitiza...

READ MORE

Tembo Kufungwa Mikanda ya GPS ya Sh. Mil. 800

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangallah jana amezindua mpango kuwafunga mikanda ya mawasiliano ya kijiographia (GPS) Tembo ...

READ MORE

NDUGAI AHOJI ‘KUTOSWA’ MRADI WA BANDARI BAGAMOYO

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameitaka serikali kueleza kwa nini ujenzi wa mradi wa bandari ya Bagamoyo mkoani...

READ MORE

UNAIBA VITI VYA KANISA? ‘SUKUMA NDANI WOTE HAWA’ – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri,  ameshangazwa na watuhumiwa wakiwemo vijana na akina mama waliokamatwa kwa wizi wa vitu...

READ MORE

Sakata la Kukutwa na Madawa: Shamim na Mumewe Wafikishwa Kortini

MFANYABIASHARA Abdul Nsembo ‘Abdukandida’ (45) na mkewe Shamim Mwasha (41) ambao ni wakazi wa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam,...

READ MORE

Licha ya Vifungu Kubatilishwa, Wakurugenzi Kuendelea Kusimamia Uchaguzi

SERIKALI imewasilisha notisi katika Mahakama ya Rufaa kupinga uamuzi ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuhusu kesi ya...

READ MORE

AJIFYATULIA BASTOLA SEHEMU ZA SIRI, AKIONA

UNAWEZA kusikia kitu ukajenga maswali mengi kichwani imekuwaje kikatokea! Polisi wa eneo la Brayan West Campus, Nebraska mjini Lincoln, Uingereza...

READ MORE

Mwanza: Aliyekufa kwa ‘Kujirusha Ghorofani’, RPC Aanika Ukweli – Video

Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limekanusha taarifa ya mtu aliyedaiwa kufariki dunia kwa kujirusha kutoka kwenye ghorofa ya mwisho katika...

READ MORE

MAFURIKO DAR! Hali Ilivyo JANGWANI – VIDEO

MVUA zinazoendelea kunyesha katika jiji la Dar es Salaam, zimesababisha madhara makubwa ikiwemo kuharibu mawasiliano katika maeneo ya Jangwani ambapo...

READ MORE

UDA-RT YASIMAMISHA HUDUMA YA MABASI MWENDOKASI

KAMPUNI ya UDART imesitisha huduma ya usafiri sehemu inayopitia eneo ya Jangwani na kwenda Morocco bonde la Mkwajuni kwa muda...

READ MORE