×

Habari

SERIKALI YAFUTA MKATABA NA KAMPUNI YA KUNUNUA KOROSHO

SERIKALI imeufuta mkataba ilioingia na kampuni ya Kenya ya Indo Power Solutions Ltd iliyopewa jukumu la kununua korosho tani 100,000....

READ MORE

Nape: Dkt. Mengi Alitupa Fedha Kwenye Begi… Mbowe: Ilikuwa Lazima…

MBUNGE wa Mtama (CCM), Nape  Nnauye,  ameeleza namna ambavyo Dkt. Reginald Mengi alivyokisaidia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wakiwa kwenye...

READ MORE

MDUDE CHADEMA APATIKANA AKIWA KATIKA HALI MBAYA‬ – VIDEO

SAA  chache baada ya mawakili watatu kuwafungulia maofisa wa polisi na vikosi vya usalama kuhusu madai ya kutekwa nyara na...

READ MORE

TISHIO MAUAJI WALINZI DAR!

DAR ES SALAAM: SHABAHA ya jambazi kumvizia mlinzi na kumjeruhi au kumuua ni ili aweze kupora mali; inapotokea akafanya hivyo...

READ MORE

40 IMETIMIA! ‘ALIYECHEZEA SHARUBU’ SERIKALI YA JPM ANASWA

40 YAKE IMETIMIA! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia tukio la Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza kumnasa kijana aliyefahamika kwa jina la...

READ MORE

Prince Harry, Meghan Wapata Mtoto Wa Kiume

  MWANA-mfalme wa Uingereza, Prince Harry na mkewe Meghan, Duchess of Sussex, wamemtambulisha mtoto wao wa kiume leo kabla ya...

READ MORE

Safari ya Mwili wa Dkt Mengi Kuelekea Machame – Video

Mwili wa Aliyekuwa mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi, umewasili salama nyumbani kwake Machame, leo Jumatano, Mei 8,...

READ MORE

Mwili wa Dkt Mengi Wawasili Kijijini Kwao Machame – Video

Mwili wa marehemu Dkt. Reginald Mengi tayari umekwishawasili nyumbani kwake, Nkweseko Machame ambapo mwili utalala kabla ya kesho Kwenda ibadani...

READ MORE

VIDEO: “GWAJIMA ATULIE, YEYE SI MTUHUMIWA NI MUATHIRIKA” – MAMBOSASA

KAMANDA wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa,  leo Jumatano Aprili 8, 2019, amezungumzia  sakata...

READ MORE

Betika Latetema Posta DSM

GAZETI la Betika limezidi kutikisa kila kona ya Tanzania kutokana na utofauti wake na leo timu ya maofisa masoko wa...

READ MORE

WANANDOA BONGO WALIONASWA KWA MADAWA YA KULEVYA…MAPYA YAANIKWA!

NYUMA ya matukio ya wanandoa kunaswa kwa tuhuma za biashara ya madawa ya kulevya, kuna mambo mapya yameanikwa, Uwazi limedokezwa. ...

READ MORE

MKURUGENZI WA GLOBAL MARSHA APATA PIGO!

      Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers, Marsha Bukumbi amepata pig0 ya kuondokewa na shemeji yake kipenzi aitwaye...

READ MORE

Breaking News: RCO Ilala Afariki kwa Ajali – Pichaz

Mwanga. Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kugongana na gari jingine...

READ MORE

Breaking: MC Pilipili Apandishwa Kizimbani, Aachiwa kwa Dhamana

Mshereheshaji maarufu nchini, Emanuel Mathias (34) ‘MC Pili Pili’ na mwenzake Heriel Clement (25) wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Mwili wa Dr. Mengi Ulivyoagwa Karimjee Dar (Picha + Video)

MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi, umeagwa leo Mei 7, katika viwanja vya Karimjee...

READ MORE

SHIGONGO, MENEJA WA GLOBAL WALIVYOMUAGA DKT. MENGI

  Viongozi wa Global Group leo walikuwa miongoni mwa waombolezaji waliojitokeza kuuaga mwili wa Dkt. Reginald Mengi kwenye viwanja vya...

READ MORE

‘GUTA’ ZATUMIKA KUVUSHA ABIRIA MAFURIKONI JANGWANI

    WAKATI mvua zikiendelea kunyesha mkoani Dar es Salaam na kwengine, eneo la Jangwani jijini Dar es Salaam, katika...

READ MORE

MWILI WA DKT. MENGI WAAGWA KARIMJEE – VIDEO

MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi, umeagwa leo Mei 7, katika viwanja vya Karimjee...

READ MORE

Rais Magufuli Amwaga Machozi Akiaga Mwili wa Dkt Mengi – Video

RAIS  John Magufuli ameshindwa kujizuia na kujikuta akimwaga machozi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,...

READ MORE

KESI KUPINGA UTEUZI WA RAIS MAGUFULI KUTAJWA LEO

KESI ya Katibu Mwenezi wa chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu,  ya kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali uliofanywa na...

READ MORE

Rais MAGUFULI Alivyowasili KARIMJEE Kumuaga DKT. MENGI – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, wakiwa katika...

READ MORE

Mwili wa Dkt Mengi Ulivyowasili Karimjee – (Pichaz + Video)

MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi,  umewasili  katika Ukumbi wa Karimjee, ulioko Posta jijini Dar...

READ MORE

MC PILIPILI AKAMATWA KWA MAKOSA YA MTANDAO

EMMANUEL MATHIAS,  almaarufu ‘MC Pilipili’,  anashikiliwa katika kituo cha Polisi Mabatini kilichopo Kijitonyama jijini Dar tangu tarehe 2 Mei, 2019...

READ MORE

WANANCHI, VIONGOZI WANAVYOWASILI KARIMJEE KUMUAGA DKT MENGI

                                  MACHOZI YATAKUTOKA: Mwili...

READ MORE

Kisa Mdude Chadema, Mbunge Akamatwa Dodoma

Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga (Chadema), amekamatwa na Jeshi la Polisi jijini Dodoma jana Jumatatu Mei 6, wakati akitoka kuhudhuria...

READ MORE

WAZIRI MKUU AUPONGEZA UONGOZI WA BENKI YA DCB

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameupongeza uongozi benki ya DCB kwa kufanikiwa kubadili muundo kutoka benki ya jamii na kuwa...

READ MORE

Maskini Jacqueline Mengi… Utamwonea Huruma – Video

HUZUNI na majonzi makubwa! Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi ambaye ni mke wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, marehemu Dkt Reginald...

READ MORE

MSAFARA WA MWILI WA DKT MENGI KUELEKEA LUGALO – VIDEO

SIMANZI, vilio na majonzi vimetawala kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakati wakiupokea mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa...

READ MORE

MASTAA WAKABIDHIWA VIWANJA KIGAMBONI

WASANII mbalimbali wamenufaika na mpango wa kupatiwa viwanja na kulipa kidogokigodo kupitia Kundi la  Uzalendo Kwanza katika maeneo ya Kigamboni...

READ MORE

BREAKING: WAZIRI Aagiza MSIGWA Akamatwe Popote Alipo! – Video

  Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, ameliagiza Jeshi la Polisi kumkamata na kumhoji Mbunge wa Iringa Mjini,...

READ MORE

MZEE MWINYI: MENGI Ameondoka Dah! – Video

Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Dkt. Ali Hassan Mwinyi akiwa ameongozana na mkewe wamewasili msibani nyumbani kwa marehemu Dkt....

READ MORE

KABURI LA DKT MENGI LAANDALIWA KIJIJINI KWAO

MAANDALIZI ya kaburi atakamopumzishwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi, yanaendelea nyumbani kwao katika Kijiji cha Nkuu...

READ MORE

Mfungo wa Ramadhani Kuanza Kesho – Mei 07

Kadhi Mkuu wa Tanzania, Abdallah Mnyasi amesema mfungo mtukufu wa ramadhani utaanza kesho Jumanne ya Mei 7, 2019.   Akizungumza...

READ MORE

K-LYIN SIRI NZITO KIFO CHA MENGI

  HAKUNA mtu mwingine wa kumuuliza siri ya kifo cha mfanyabiashara maarufu nchini, bilionea Dk. Reginald Abraham Mengi (75) zaidi...

READ MORE

Ndege Yalipuka Urusi, 41 Wafariki Dunia – Video

WATU 41 wamefariki dunia baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Urusi (Aeroflot) kulipuka moto wakati ikitua kwa dharura...

READ MORE

Watahiniwa 91,442 Kidato cha Sita Waanza Mitihani ya Taifa

Watahiniwa 91,442 wameanza kufanya mitihani yao ya kumaliza kidato cha sita leo Jumatatu, Mei 6, hadi Mi 23, 2019 ambapo...

READ MORE

RATIBA YA SEHEMU UTAKAPOPITA MWILI WA DR. MENGI KESHO HII HAPA

Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dr.Reginald Mengi unatarajiwa kupokelewa kesho, ambapo utaletwa kwa ndege ya Shirika la...

READ MORE