×

Habari

Ikulu: Hatuna Taarifa na Tuzo ya Rais Magufuli Kutoka Ghana

MKURUGENZI wa Kitengo cha Mawasiliano ya Rais, Gerson Msigwa amesema Ikulu haina taarifa kuhusu tuzo aliyoshinda Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Kikwete, Nape, Profesa Jay Walivyotikisa Bungeni Leo – Video

Mkutano wa 11 wa Bunge la 11, Kikao cha 10, umeendelea leo Aprili 16, 2018 mjini Dodoma, ambapo asubuhi ya...

READ MORE

Musiba Kaibuka Tena, Selasini Atahamia CCM, Mbowe Miaka 200 Jela – Video

Mwanaharakati wa masuala ya siasa, Cyprian Musiba ameibuka na kujibu hoja ya Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini (CHADEMA), aliyoiwasilisha bungeni...

READ MORE

ALIYEDAI NI MTOTO WA LOWASSA AOMBA RADHI -VIDEO

MWANAMKE Fatuma ambaye video yake ilisambaa katika mitandao ya kijamii ikimwonyesha akidai kwamba amekuwa akimtafuta baba yake tangu akiwa darasa...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Majaji 10 wa Mahakama Kuu ya Tanzania

Rais Magufuli leo amefanya uteuzi wa Majaji 10 wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Naibu Mkuu wa Serikali, Naibu Mkurugenzi wa...

READ MORE

Serikali Imepoteza TZS 1.5 Trilioni Mwaka 2016/17 (Video)

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, Prof. Mussa Assad ametoa taarifa yake ya ukaguzi wa mapato na...

READ MORE

Mkurugenzi Halmashauri ya Kongwa Afariki Ajalini -Breaking News

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, Ngusa Izengo, amefariki dunia katika ajali ya gari  iliyotokea usiku wa kuamkia...

READ MORE

KUPATA MATUKIO YOTE PAPO KWA PAPO BOFYA HAPA

KUWA wa kwanza kupata habari zote za michezo wakati wowote zinapotokea, Tuma SPORTS kwenda 15599 utapata habari za kitaifa na...

READ MORE

SHIGONGO AHUDHURIA NDOA YA MPWA WAKE MWANZA

  MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Global Group, Eric Shigongo amehudhuria hafla ya sherehe ya mpwa wake aitwaye, Emmanuel Aron....

READ MORE

Hivi Ndivyo Waethiopia 20 Walivyonaswa Uvunguni mwa Lori

LIVE! Dereva wa lori aina ya FAW Scania (semi trela), Mbaraka Kassim (40), mkazi wa Tabata jijini Dar anashikiliwa na...

READ MORE

Sakata la Wanawake Kutelekezwa Kimewaka!

  SALAAM: Kimewaka! Ndivyo unavyoweza kusema! Siku chache baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kutangaza ‘operesheni’ ya...

READ MORE

BREAKING NEWS: FATMA KARUME ASHINDA URAIS WA TLS

WAKILI wa kujitegemea, Fatma Karume amechaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Lawyers Society – TLS), akichukua mikoba...

READ MORE

MWANZA: MPWA WA SHIGONGO AUVUA UKAPELA

  MPWA Wa Mkurugenzi Mtendaji wa Global Group Ltd aitwaye, Emmanuel Aron, wa Jijini Mwanza leo amefunga pingu za maisha...

READ MORE

Breaking: Polisi Wadaiwa Kupigana Risasi Tanga, Mmoja Afariki Dunia

ASKARI Polisi waliokuwa lindoni katika Benki ya CRDB Tawi la Tanga Mjini wanadaiwa kupigana risasi leo Jumamosi, Aprili 14, 2018...

READ MORE

WINNIE MANDELA AZIKWA SOWETO, AFRIKA KUSINI YASIMAMA – PICHAZ

MAZISHI ya aliyekuwa mpiganaji dhidi ya ubaguzi nchini Afrika Kusini, Winnie Mandela yamefanyika leo nyumbani kwake Soweto ambako aliagwa na...

READ MORE

TANZIA: MWANAMKE ALIYENYONYESHA TEMBO 230 AFARIKI DUNIA

Mhifadhi wa Tembo, Daphne Sheldrick kutoka nchini Kenya amefariki dunia kwa maradhi ya saratani akiwa na umri wa miaka 83,...

READ MORE

Mbunge Amlipua Mkuu wa Mkoa Hadharani – Video

MBUNGE wa Chadema wa Jimbo la Mlimba, Susan Kiwanga, ametoa hoja yake bungeni kuhusu Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dkt...

READ MORE

Polisi Wakamata Watuhumiwa 368, SMG, Pistol, Shotgun na Risasi 145

  JESHI la Polisi nchini limefanikiwa kukamata Silaha mbalimbali na watuhumiwa 368 katika Oparesheni Maalum inayoendelea katika Ukanda wa Kusini...

READ MORE

M-Pesa Yapewa Tuzo Na Kutambuliwa Na Gsma Kwa Huduma Zake

Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania kupitia huduma yake ya M-PESA imetambuliwa na kupatiwa cheti kutambua ubora uliotukuka wa huduma...

READ MORE

WAZIRI WA BIASHARA ZANZIBAR AWASHAURI WAFANYABIASHARA KUWA WAMOJA

WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar, Amina Ally amewashauri wafanyabiashara wa Zanzibar kuwa wabunifu katika biashara zao ili kuongeza...

READ MORE

SAKATA LA DNA: Makonda Awataka Vigogo Hawa Wasimjaribu – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Jumamosi Aprili 14, 2018 amefunguka kuhusu oparesheni yake maalum ya...

READ MORE

Neema Mchau Aibuka Kidedea Jukwaa la Wanawake Dar

Uchaguzi wa kupata Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake umefanyika jana Gongola Mboto jijini Dar, na Neema Mchau kubuka kidedea kwenye...

READ MORE

RABA ZA KIJANJA ZINAZOTRENDI 2018

LEO kwenye fasheni nimea­mua kuwaandikia wa­naume ambapo tutaona raba za kijanja zilizoingia kwenye fasheni 2018, ni raba nzuri ambazo unaweza...

READ MORE

WANANCHI WAKINUKISHA OFISI YA SERIKALI

WANANCHI waishio Mwananyamala Kata ya Mbuyuni jijini Dar, hivi karibuni walikinukisha katika ofisi za serikali ya mtaa wao kufuatia madai...

READ MORE

OPERESHENI YA MAKONDA ILIVYOLITIKISA DAR, WATU WAKESHA

NI wiki ya kitimtim! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutoa wito...

READ MORE

Mfanyabiashara Ateswa, Auawa!

MFANYABIASHARA mmoja aliyetambulika kwa jina la Godfley Charles ameteswa na kuuawa na watu wasiofahamika baada ya kukatwakatwa na mapanga wilayani...

READ MORE

Hussein Bashe Aicharukia Tamisemi Bungeni – Video

MBUNGE wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, ameishutumu Wizara ya Ofisi ya Rais – Tamisemi kwamba inashindwa kuwapa motisha walimu na...

READ MORE

RC Mrisho Gambo Apata Pigo

MAMA mzazi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Mashaka Gambo, Bi. Rehema Paulo Momburi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo,...

READ MORE

ABB Yazindua Huduma Ya Dharula Ya Sekunde 15

KAMPUNI ya ASEA Brown Boveri (ABB) inayohusika na utengenezaji na uuzaji wa vifaa vikubwa vya umeme duniani, imezindua huduma ya...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wawasili Polisi – Video

  Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na wenzanke wameripoti katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es salaam leo ikiwa...

READ MORE

WAZIRI MWAKYEMBE AFANYA UTEUZI

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amemteua Mhandisi Dkt. Richard Joseph kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya...

READ MORE

LIVE: KONGAMANO LA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

IKIWA leo Aprili 13, 2018 ni Kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Kada wa CCM Adaiwa Kumywesha Sumu Mtoto wa Mchepuko!

SHINYANGA: Mtoto wa miezi 2 amenusurika kifo baada ya kunyeshwa sumu ya panya na baba yake, Edson Damian (37) aliyetaka...

READ MORE

MWENYEKITI APOTEA KIGOMA, ZITTO AUWASHA MOTO – VIDEO

MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT -Wazalendo), Zitto Kabwe amemtaka Waziri wa Ofisi ya Rais -Tamisemi kulitafutia ufumbuzi suala la kutoweka...

READ MORE

Familia ya Shehe Yahaya Yagombea Maiti!

DAR ES SALAAM: Hali ya sintofahamu imeibuka katika familia ya marehemu Shehe Yahya Hussein na familia ya Idarusi, baada ya...

READ MORE

SAKATA LA KUTELEKEZA WATOTO, VIGOGO HAWA MATUMBO JOTO!

HII ni aibu ya karne! Mamia ya wanawake waliojitokeza juzi Jumatatu kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

READ MORE

ALIYEZAA NA MCHINA, PAPARAZI WAACHA GUMZO!

DAR ES SALAAM: Wakati Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiendelea na zoezi la kuwasaidia wanawake waliotelekezewa...

READ MORE

CCBRT, TCCO WAENDESHA MAFUNZO YA MATIBABU YA NYAYO ZA KUPINDA

HOSPITALI ya  CCBT ya Jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojishughulisha na kutoa huduma na...

READ MORE

SAKATA LA WATOTO: MAKONDA AKANUSHA ORODHA YA VIGOGO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikiwa na orodha ya majina ya watu...

READ MORE