×

Habari

LIVE: Sakata la Kuachia Madaraka, Rais Zuma Ahojiwa na SABC

KUFUATIA vuguvugu la kumung’oa madarakani, Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma mefanya mahojiano ya moja kwa moja na Shirika la...

READ MORE

POLISI YASEMA HAITAMBUI MAITI ALIYEOKOTWA KUWA MWANACHAMA WA CHADEMA

  POLISI Wilaya ya Kinondoni imesema itapambana na watakaovuruga uchaguzi mdogo wa marudio katika Jimbo la Kinondoni unaotarajiwa kufanyika Februari...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Mpya

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 14 Februari,...

READ MORE

Multichoice Tanzania kufadhili ndoa ya Wapendanao

  KAMPUNI ya Multichoice Tanzania, kupitia kipindi chake cha Maisha Magic Bongo, kinachorushwa katika king’amuzi chao cha DSTV, Chanel namba...

READ MORE

MAKONDA: KUNA GAZETI KAZI YAO KUNICHONGANISHA

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kuna gazeti moja nchini limekuwa likiandika habari za kumchonganisha yeye...

READ MORE

JPM Aungana na Waumini Misa ya Majivu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameungana na waumini wa Kanisa Katoliki na wakristo wengine...

READ MORE

Mama Diamond Ajitoa Kwa Zari, Mobeto

DAR ES SALAAM: Mama mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim (pichani) amejitoa kwenye gogoro...

READ MORE

Waziri Mkuu Akizindua Jengo la Huduma, Amana – Video

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo, Februari 14, 2017 amezindua Jengo la Huduma za Mama na Mtoto katika Hospitali ya Amana,...

READ MORE

Kiongozi CHADEMA Auawa, Mbowe Asimulia Alivyotekwa, Mwili Wake Waokotwa Ufukweni

  MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kiongozi wa chama hicho katika Kata ya Hananasif, Daniel John amefariki dunia katika...

READ MORE

HIVI NDIVYO MAKONDA ALIVYOTAKA ‘KUUA’

  DAR ES SALAAM: Mkuu wa Idara ya Ardhi, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, Paul Mbembela, mwishoni mwa...

READ MORE

RUKWA: KITOWEO CHA PANYA CHAZUA BALAA

  RUKWA: Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo amezua balaa kutokana na wananchi mkoani kwake kufanya panya kuwa kitoweo...

READ MORE

Denti Aliyezalishwa na Mchungaji Mwansasu Amtwanga Mama Mchungaji

Mwanafunzi aitwaye Selina aliyezalishwa na Mchungaji Mwansasu amezua timbwili la aina yake baada ya kumpa kichapo kikali Mama Mchungaji. -Nusura...

READ MORE

WANAODAIWA KUMUUA TAJIRI, KAMANDA AFICHUA MIKATE ILIVYOWAPONZA

  MBEYA: kufuatia kuuawa kwa kupigwa risasi kichwani hivi karibuni kwa mfanyabiashara maarufu wa madini wa Kitongoji cha Kasanga Kanyika,...

READ MORE

Hatimaye Rais Zuma Aridhia Kung’oka Madarakani

  RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameridhia kuondoka madarakani, baada ya wito uliotolewa na Chama chake tawala cha ANC...

READ MORE

Z Anto Afungukia Matapeli wa Ardhi Wanaotumia Jina la RC Makonda

  MSANII wa muziki wa Bongo fleva, Z Anto ameweka wazi kuwa wapo watu wanatumika sasa kwa lengo la kutaka kumchafua...

READ MORE

MAKONDA AYAONYA MAKAMPUNI YA UDALALI KUTOTUMIA NGUVU

Baadhi ya wamiliki wa makampuni ya udalali ya jijini Dar es Salaam wakimsikiliza mkuu wa mkoa, Paul Makonda (hayupo pichani)....

READ MORE

Kigwangala kuikarabati nyumba ya Nyerere

  Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla (MB) ambaye amefanya ziara ya kushitukiza katika Makumbusho ya Kumbukizi ya...

READ MORE

Zitto kabwe Amtembelea Samatta Ubelgiji

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemtembelea mchezaji wa Timu ya KRC...

READ MORE

MOBETO: NIMEFURAHIA MAAMUZI YA MAHAKAMA – VIDEO

  MWANAMITINDO Hamisa Mobeto, amesema anaishukuru Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Kitengo cha Watoto kufuatia maamuzi yake ya kuifuta kesi...

READ MORE

KAULI YA DIAMOND BAADA YA UAMUZI WA MAHAKAMA – VIDEO

  KUFUATIA Mahakama ya watoto iliyo ndani ya Hakimu Mkazi Kisutu kuifuta kesi ya madai ya matunzo ya mtoto iliyofunguliwa...

READ MORE

Kisutu: Diamond, Mobeto Wamalizana Mahakamani

MSANII wa Bongo Fleva, Nasbu Abdul ‘Diamond Platinumz’ na mzazi mwenzake Hamisa Mobeto, leo Feb. 13, 2018 wamefika tena katika...

READ MORE

Karani wa Bodi ya Mitihani Adai Nyoka Amekula Milioni 227 Alizokusanya

Karani mmoja wa Bodi ya Mitihani nchini Nigeria, Philomena Chieshe amefukuzwa kazi baada ya kuwaambia wakaguzi wa hesabu kuwa nyoka alikula...

READ MORE

Diwani Mwingine Chadema Atimkia CCM

DIWANI wa Kata ya Hayderer (Chadema) wilayani Mbulu mkoani Manyara, Justin Masuja amejiuzulu nafasi hiyo na kujiunga na Chama Cha...

READ MORE

Ramaphosa Aongoza Jahazi Kumung’oa Zuma Madarakani, Ampa Saa 48

  RAIS wa Afrika Kusini Jacob Zuma amepewa saa 48 kujiuzulu, wadhfa wake huo huku Kiongozi mpya wa ANC, Cyril...

READ MORE

Siku 3 za Kufa na Kupona Chadema vs CCM

  NI siku 3 za kufa na kupona za kampeni za uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni na Siha zinazotarajiwa kumalizika...

READ MORE

MKE WA TRUMP JR AUGUA GHAFLA KWA KUFUNGUA BARUA YENYE UNGA

Mke wa Donald Trump Jr, Vanessa amekimbizwa katika Hospitali ya Manhattan muda mfupi uliopita baada ya kufungua barua ambayo ndani yake...

READ MORE

Tanga: Ajali Mbaya Yaua Sita Papo Hapo

WATU watano wamefariki dunia papo hapo na wengine sita kujeruhiwa vibaya, baada ya basi kubwa kugongana na Hiace katika eneo...

READ MORE

Waziri Awafuta Kazi Watumishi 65 kwa Uvuvi Haramu Kanda ya Ziwa

  WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Mh.Luhaga Mpina amemwagiza katibu Mkuu wa Wizara hiyo anayeshughulikia uvuvi Dk.Yohana Budeba pamoja na...

READ MORE

KISA MNYETI, HECHE ASUBURI KAULI YA JPM

MBUNGE wa Tarime Vijijini, John Heche amedai litakuwa jambo la ajabu kwa Watanzania kunyamazia ubaguzi unaofanywa na Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

SERIKALI IMESEMA ITAENDELEA KUIMARISHA MFUMO WAKE WA UTOAJI DAWA

 Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,  Jinsia, Wazee na Watoto, Dr Faustine Ndungulile akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano ...

READ MORE

JAMBAZI SUGU WA MABENKI NA MAJENEZA AGEUKIA UCHUNGAJI!

John Kibera, raia wa Kenya,  ambaye sasa ni mchungaji alipitia maisha ya uhalifu tangu akiwa mdogo. Alianzia  wizi katika mabenki...

READ MORE

IGP Sirro Amuapisha Kamishina wa Polisi Zanzibar kwa Niaba ya JPM

  MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro leo Februari 12, 2018 amemuapisha Kamishna wa Polisi (CP) Mohamed...

READ MORE

ACT-WAZALENDO KUFANYA ZIARA MIKOANI MWEZI HUU

CHAMA cha  ACT-Wazalendo kimesema viongozi wake wa ngazi za juu watafanya ziara katika mikoa kadhaa nchini kuanzia Februari 12 hadi...

READ MORE

Rais Ellen Sirleaf Johnson Ashinda Tuzo ya Mo Ibrahim

RAIS wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ameshinda tuzo ya mwaka ya Mo Ibrahim kwa Uongozi wa Afrika, ambayo...

READ MORE

WAKATI AKIZIDI AKISOTA… MAPYA YA LULU GEREZANI YAANIKWA!

IKIWA ni takriban siku 85 tangu staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ aswekwe lupango katika Gereza la Segerea, Dar...

READ MORE

SAMIA SULUHU AZINDUA MRADI WA KUIMARISHA USIMAMIZI MALIASILI

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumatatu, Februari 12, 2018 amezindua rasmi Mradi...

READ MORE

ANYIMWA CHAKULA NA KIBABU, ABAKI MIFUPA MITUPU!

MWANAMKE mmoja, raia wa Japan amefichua picha zinazomwonyesha alivyokonda na kubaki na uzito wa kilo 16.8 tu wakati anaokolewa kutoka...

READ MORE

MAAJABU YA KAHABA ALIYESTAAFU BAADA YA KUTEMBEA NA WANAUME 28,000!

Kusoma  habari ya kahaba aliyestaafu baada ya kutembea na maelfu ya wanaume na kuvuna utajiri kupitia kazi hiyo  ingia Global...

READ MORE