×

Habari

KAMISHNA: WAUZA UNGA SASA KUTUPWA JELA MAISHA (Video)

  Mamlaka ya Kuzuia na Kupamba na Madawa ya Kulevya (DCEA) nchini, imetoa ufafanuzi juu ya Marekebisho ya Sheria Namba...

READ MORE

Ruto: Mungu Amelikumbuka Taifa la Kenya

Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto,  ameupokea uamuzi wa mahakama kwa furaha kubwa. Ameandika kwenye Twitter kwamba: “Halleluyah! Atukuzwe...

READ MORE

Rais Kenyatta Kuapishwa Jumanne Wiki Ijayo

Rais Kenyatta sasa anatarajiwa kuapishwa kuwa Rais kwa muhula wa pili baada ya Mahakama ya Juu kufutilia mbali kesi ambazo...

READ MORE

Tume ya Uchaguzi Kenya Yafurahishwa na Uamuzi wa Majaji

Tume ya Uchaguzi imefurahia uamuzi wa Mahakama ya Juu na kusema ni dhihirisho la kujitolea kwa tume hiyo kufanikisha uchaguzi...

READ MORE

Magufuli Aongoza Kikao Cha Kamati Kuu Ya CCM Dar Leo

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo imekutana jijini Dar es Salaam kujadili masuala mbalimbali ya chama hicho chini...

READ MORE

Breaking News: Mahakama Kenya Yaidhinishwa Ushindi wa Kenyatta (Video)

 Ekuru Aukot: Tumefurahishwa na uamuzi wa Mahakama Mmoja wa waliogombea urais nchini Kenya, Ekuru Aukot,  amesema amefurahishwa na uamuzi...

READ MORE

JINSI YA KUTENGENEZA PESA WAKATI ‘VYUMA VIMEKAZA’!

NI wazi kwamba tuko kwenye kipindi ambacho maisha yanataka akili ifanye kazi zaidi ya kawaida (extraordinary thinking). Mambo yamekuwa magumu...

READ MORE

MAKONDA AISAPOTI KAMPUNI YA UKAMATAJI KAZI ZA WASANII

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameipiga jeki Kampuni ya Msama Auction Mart inayojishughulisha na ufuatiliaji na...

READ MORE

Mugabe Ahutubia Taifa, Akataa Kujiuzulu

RAIS Robert Mugabe wa Zimbabwe amekataa shinikizo la kujiuzulu akisisitiza kwamba atauongoza mkutano mkuu wa chama tawala ambao utafanyika mwezi...

READ MORE

MELI YA JESHI LA CHINA KUTOA MATIBABU NCHINI

  MELI ya jeshi la majini kutoka China (Navy) na ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani,   imeingia nchini ili...

READ MORE

WANNE WAUAWA KITONGOJI CHA MATHARE KENYA

Takriban watu wanne wamethibitishwa kuuawa wakati wa mashambulizi kwenye mtaa wa Mathare mjini Nairobi nchini Kenya Wakazi wa mtaa huo...

READ MORE

BREAKING NEWS: MUGABE ANG’OLEWA UENYEKITI WA ZANU-PF

  Chama tawala nchini Zimbabwe, ZANU-PF, kimemtimua Rais Robert Mugabe, kwenye uenyekiti wa chama na kumteua aliyekuwa Makamu wa Rais...

READ MORE

Mugabe Adaiwa Kugoma Kula, Kuzungumza

  INASEMEKANA Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amekuwa akikataa kula na kuzungumza kwa siku kadhaa sasa akiwa amepania ‘kufa kwa...

READ MORE

Watakaovujisha Siri za Takwimu Kutupwa Jela

WADADISI watakaovujisha siri za takwimu watakazokusanya za mapato na matumizi ya kaya binafsi, watashtakiwa mahakamani kwani watakuwa wametenda kosa la...

READ MORE

ZANU-PF WAMTAKA MUGABE AJIUZULU

Matawi ya mkoani ya chama tawala huko Zimbabwe, ZANU-PF , yameungana na kumtaka rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, ajiuzulu....

READ MORE

Dkt. Shika Alipa Dola 100 Atumiwe Mabilioni Yake

Sakata la Dk. Louis Shika, limechukua sura mpya baada ya leo, Novemba 18, 2017 kulipa kiwango cha dola 100 za...

READ MORE

Wafanyabiashara wa Dawa za Kulevya Kuongezewa Kibano

SERIKALI imefanya marekebisho ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kwa kuwabana zaidi wafanyabiashara na watumiaji...

READ MORE

Maya Atoa Sababu Ya Kutomposti Lulu

MUIGIZAJI mkongwe wa Bongo Muvi, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefungukia sababu za kutoposti picha yoyote ya msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’ kipindi...

READ MORE

Utata Kifo Cha Ndikumana…Uwoya Yamkuta Ya Zari!

  WAKATI kifo cha aliyekuwa mume wa staa wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya, Hamad Ndikumana Katauti (39), raia...

READ MORE

MAKONDA ATEMBELEA WAGONJWA WALIOPATA MIGUU BANDIA CCBRT

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo amewatembelea wagonjwa 21 kati ya 35 waliotakiwa kupewa miguu ya...

READ MORE

Mugabe Awaambia Wanajeshi Hatajiuzulu Urais

RAIS Robert Mugabe wa  Zimbabwe ameripotiwa kukataa kuondoka madarakani licha ya kuongezeka kwa wito mbalimbali wa kumtaka ajiuzulu.   Mugabe,...

READ MORE

Tanesco Wapewa Siku 30 Kubomoa Ghorofa Lao Ubungo

MENEJA wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam, Julius Ndyamukama amesema wametoa notisi ya mwezi mmoja...

READ MORE

Lema Afunguka Kinachomuumiza Katika Siasa

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameweka wazi matatizo anayoyapata kama mbunge wa...

READ MORE

Breaking News: Profesa Kitila Mkumbo Arejea Rasmi CCM

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Martha Mlata (Mb) leo amemtangaza Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji...

READ MORE

Mhasibu Takukuru Akutwa na Mashtaka 44 (Video)

  Mhasibu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Godfrey Lugai, jana amefikishwa katika Mahakama ya...

READ MORE

Video: Dkt. Louis Shika Asimulia Maisha Yake – 2

BAADA ya kuwatoroka watekaji wangu, nikakutana na watu walionisaidia na kunipeleka polisi ambao walinipeleka hospitali.  Polisi walifanya kila juhudi kuitafuta...

READ MORE

Waziri Mkuu Ajibu Maswali ya Papo Kwa Papo Bungeni leo …Tazama Video

WAZIRI MKUU wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kukamilisha zoezi la uwekaji wa alama za mipaka...

READ MORE

Live Updates: Hatma Ya Rais Robert Mugabe Bado Haijulikani Zimbabwe

Rais Robert Mugabe bado yuko katika kuzuizi cha nyumbani na hatma yake haijulikani. Alipo mke wake Grace, ambaye alikuwa na...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani Morgan Tsvangirai Arejea Harare

Kiongozi wa chama cha upinzani cha Movement for Democratic Change (MDC) Morgan Tsvangirai amerejea nchini Zimbabwe. Bw Tsvangirai amekwua akipokea...

READ MORE

Uwoya, Ndikumana Walivyopatanishwa Na Global (Tujikumbushe)

  “OYA, acheni mambo yenu, gari liko tayari na dereva anawasubiri nyie tu, tuokoeni muda ili tuweze kufanya majukumu mengine,”...

READ MORE

BREAKING NEWS: 17 WAOKOLEWA KUZAMA ZIWA VICTORIA

  Watu 17 wameokolewa baada ya boti ya MV Julius kuzama katika Ziwa Victoria. Jeshi la Polisi linaendelea kufuatilia kubaini...

READ MORE

Ester Kiama Mapedeshee Wamekuwa Zilipendwa!

MSANII anayekuja vizuri kupitia tansia ya filamu Bongo Ester Kiama amefunguka kuwa, wale waliokuwa wakijinasibu kuwa ni mapedeshee na kuwarubuni...

READ MORE

Breaking News: Mhasibu Mkuu wa Takukuru Afikishwa Mahakamani

  MHASIBU wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Godfrey Gugai,  anayedaiwa kumiliki mali nyingi kuliko kipato chake,...

READ MORE

Mume wa Uwoya Azikwa Nchini Rwanda, Mamia Wajitokeza Kumzika

Wachezaji wa timu ya Rayon Sports Ismailla Diarra (kushoto) na Tidiane Kone (kulia),wakiwa wamebeba mwili wa marehemu  Hamadi  Ndikumana Katauti...

READ MORE

Jeshi la Zimbabwe: Tunawalenga Wahalifu Si Mugabe

  Jeshi  la Zimbabwe limesoma taarifa kwenye kituo cha runinga cha serikali ZBC, likisema kuwa linachukua hatua ya kuwalenga wahalifu...

READ MORE

Rais Magufuli Aagiza Makao Makuu ya TANESCO Kubomolewa

#BREAKING Rais Magufuli baada ya kutoka Airport leo akitokea kijijini Chato Geita amekagua Fly Over TAZARA na kupita pia Ubungo...

READ MORE

Lulu Aibua Balaa Gerezani, Mastaa ni Vilio Tu

  Habari kubwa iliyojiri mapema wiki hii ni kuhusu hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela inayomhusu staa ‘grade one’...

READ MORE

Mtoto wa Chacha Wangwe Anusurika Kifungo, Alipa Faini (Video)

MAHAKAMA ya Kisutu imemhukumu Bobo b Chacha Wangwe kwenda jela mwaka mmoja na nusu au kulipa faini ya Sh. Milioni...

READ MORE