×

Habari

Uamuzi Wa Rais, Aibu Kwa Basata

MSANII Emanuel Elibariki ‘Nay Wa Mitego’ ameibua gumzo kubwa kufuatia kukamatwa kwake na kusafirishwa kutoka Turiani mkoani Morogoro hadi Kituo...

READ MORE

NMB Yafadhili Mkutano wa Maofisa Waandamizi Jeshi la Polisi Dodoma

BENKI ya NMB imekabidhi udhamini wa shilingi Milioni 50 kwa jeshi la polisi kwaajili ya kufanikisha mkutano mkuu wa jeshi...

READ MORE

Bi Mwenda Aukubali Uzee

Na HAMIDA HASSAN| IJUMAA WIKIENDA| FOUR TOWN STORY DAR ES SALAAM: Mwigizaji mkongwe wa sinema za Kibongo, Fatuma Makongoro  ‘Bi...

READ MORE

Unataka Kuwa Kama Mabilionea wa You Tube?

Na NYEMO CHILONGANI| IJUMAA WIKIENDA| MAKALA BILA shaka unaufahamu mtandao wa kuhifadhi na kuangalia video za nyimbo na matukio mbalimbali...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Aagiza Nay wa Mitego Aachiwe, Wimbo Wake Upigwe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameliagiza Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es...

READ MORE

Weusi Kuja na ‘Ya Kulevya’…

KUNDI la wanamuziki wa Bongo Fleva lenye asili ya kaskazini mwa Tanzania, Arusha, limeachia hewani wimbo mpya unaotambulika kwa jina...

READ MORE

Basata ‘Waupiga Pini’ Wimbo wa Ney wa Mitego, Atakaeusambaza Kukiona

Na Walusanga Ndaki/GPL BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) limeufungia wimbo mpya wa msanii mkali wa kuchana, Ney wa Mitego, unaoitwa...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Makamishna Sita wa Uhamiaji

Na Walusanga Ndaki/GPL Rais John Pombe Magufuli amewapandisha vyeo maofisa sita wa uhamiaji kuwa makamishna kuanzia Februari 28 mwaka huu...

READ MORE

Shamsa Ampa Makavu Aliyedukua Akaunti Yake…

DAR ES SALAAM: Staa wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amempa makavu mtu aliyedukua akaunti yake ya Mtandao wa Instagram...

READ MORE

Mainda Adaiwa Kukimbia Kwake, Aishi kwa Muna!

DAR ES SALAAM: Ubuyu mtamu wa Wikienda! Kumeibuka ubuyu matata wa staa wa kitambo wa maigizo Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’...

READ MORE

Muache Achague Mwenye Kumpa Raha!

Na GABRIEL NG`OSHA| IJUMAA WIKIENDA| MAKALA NI Jumatatu nyingine yenye kila neema machoni pa Mungu, zipo changamoto za hapa na...

READ MORE

Shilole Aporomosha Matusi Hadharani!

Na MUSSA MATEJA| IJUMAA WIKIENDA| HABARI DAR ES SALAAM: Hakika neno aibu yake ndilo sahihi unapotaka kuelezea madudu yaliyofanywa na...

READ MORE

Nay wa Mitego Ahamishiwa Sentro Dar, Huenda Akapandishwa Mahakamani!

DAR ES SALAAM: Rapper Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ jana jioni alihamishiwa katika Kituo cha Kikuu cha Polisi (Sentro) jijini...

READ MORE

Mastaa: We Gonna Miss You Nape

Na GLADNESS MALLYA| IJUMAA WIKIENDA| HABARI WE GONNA miss you! Ndivyo baadhi ya mastaa walivyosikika wakisema mara baada ya Rais...

READ MORE

Hapa Nimekuwekea Magazeti Yote Ya Tanzania Leo, Jumatatu, Machi 27, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Machi 27, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Kama Kweli Una Ndoto za Kufanikiwa, Kaa Mbali na Hawa!

WIKI hii msomaji wangu nataka kuwazungumzia baadhi ya watu ambao wao wapowapo tu, wameridhika na maisha yao duni lakini haohao...

READ MORE

Khadija Kopa, Msagasumu, Harmorapa, Nature jukwaa moja Pasaka Dar Live

KONGWE kwenye gemu ya Bongo Fleva, Juma Kassim Ally ‘Nature’ anatarajiwa kumpandisha kwa mara ya kwanza jukwaani msanii ambaye ni...

READ MORE

EFm Yazindua ‘Shika Ndinga’ Kwa Kishindo Kigamboni

Na HilalyDaudi/GPL KITUO cha Redio cha Efm kwa mara nyingine tena kimekuja na shindano la ‘Shika Ndinga’ ambalo litawashindanisha wakazi...

READ MORE

Polepole Azungumzia na Vyombo vya Habari, Atangaza Makatibu wa Mikoa, Wilaya

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepople, amesema uhusiano wa chake chake na vyombo vya...

READ MORE

Spika Ayaona Makontena ya Mchanga Yaliyozuiliwa Bandarini

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Job Ndugai,  leo ametembelea bandari ya Dar es Salaam na kujionea...

READ MORE

Wema Atajwa Majanga Mawili ya Makonda…

DAR ES SALAAM: Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu anatajwa kuhusika na majanga yanayomkumba Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul...

READ MORE

Kukimbia kwa Hamorapa Kwazaa Haya…

MSANII wa Bongo Fleva anayetrendi katika mitandao ya kijamii Bongo, ‘Hamorapa’ anatazamiwa kuwa balozi wa Kinywaji kiitwacho Swala. Akizungumza na...

READ MORE

Filamu ya Kusisimua ‘Mtawala’ Sehemu Ya Pili Leo Saa 12 Jioni Global Tv Pekee

KAMA ilikupita sehemu ya Kwanza ya Filamu hii ya kusisimua, unaweza kuitazama hapa wakati ukiisubiri sehemu ya pili yenye kusisimua...

READ MORE

Musukuma Akumbuka Kikwete Alivyomuibua Kisiasa

MBUNGE wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma, amesema kwamba maneno ‘Utakumbukwa Kikwete’ yaliyobandikwa kwenye baadhi ya mabasi yake ni ishara...

READ MORE

Mussa Kitale: Sisi Sote ni Ndugu…

MSANII wa vichekesho nchini, Mussa Yusuph Mahenge ‘Kitale’,  amesema kuwa Waislamu na Wakristo wote ni ndugu. Akizungumza na waumini wa...

READ MORE

Mashehe, Wasanii Watinga Kanisa la Ufufuo na Uzima Dar

WASANII wa Vichekesho nchini Mussa Kitale na Stan Bakora, wameungana na mashehe leo kwenye ibada katika kanisa la Ufufuo na...

READ MORE

Polisi 40 wakatwakatwa Mapanga DR Congo

Wanamgambo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamewashambulia na kuwaua kwa kuwakatakata wanajeshi takriban 40 baada ya kuwavizia katika mkoa...

READ MORE

Nay wa Mitego Atiwa Mbaroni Morogoro

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva anayefanya sanaa yake tofauti na wasanii wengine, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego‘ inadaiwa amekamatwa na polisi...

READ MORE

Kero ya Maji Kishapu Shinyanga

WAKATI nchi yetu Tanzania ikiadhimisha wiki ya maji, imeelezwa kuwa wanawake wengi wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamekuwa wakitumia muda mwingi...

READ MORE

Hapa Nimekuwekea Magazeti Yote Ya Tanzania Leo, Jumapili, Machi 26, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Machi 26, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

#GlobalTV: Usiikose Movie ya Kiza cha Mdomo Jumatatu, Machi27, Saa 1:30 Usiku

Usiikose #BongoMovie hii ya #KizaChaMdomo Jumatatu, Machi27, saa 1:30 Usiku kupitia #YouTube Channel ya #GlobalTVOnline

READ MORE

Mpinga Afunga Kampeni ya ‘Abiria Paza Sauti’ Ubungo Dar

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishina wa Jeshi la Polisi (DCP), Mohamed Mpinga akizungumza jambo. Mpinga akikabidhi mmoja...

READ MORE

Samatta si wa Mchezo Mchezo, Aibeba Stars, Atupiamo Dakika 3 za Mwanzo na 3 za Mwisho

MSHAMBULIAJI wa anayeiwakilisha Tanzania Kimataifa kutoka Klabu inayocheza Ligi Kuu ya Ubelgiji na Europa League, KRC Genk, Mbwana Ally Samatta...

READ MORE

Pichaz: Nape Nnauye Aamsha Shangwe Uwanaja wa Taifa Wakati Samatta Akitupia 2

MBUNGE wa Mtama, mkoani Lindi kwa Tiketi ya CCM, Nape Nnauye leo Machi 25, 2017 ameamsha shangwe kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Tazama Short Film ya Bongo Movie- MTAWALA- (Part 1)

GLOBAL TV Online inakuletea ‘short film’ ijulikanayo kwa jina la MTAWALA- Part-1 Waigizaji wakuu ni Martin White, Jackob Mkweche, Tausi...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine TRA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Charles Edward Kichere kuwa Kamishna Mkuu Mamlaka...

READ MORE

TPA Yakamata Makontena Mengine 262 Yenye Mchanga wa Madini Bandari Kavu Dar

    Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imebaini makontena mengine 262 yenye mchanga wa dhahabu yaliyokuwa yamehifadhiwa katika bandari...

READ MORE

#GlobalUpdates: Kwa Wale Wanaopenda Kujiachia, Instagram Kuanza Kuficha Picha Na Videos Za Utupu! – (Pichaz)

Instagram wanazidi kuboresha matumizi ya App yao ikiwa ni sehemu ya ahadi waliyoitoa September mwaka jana kuifanya App hiyo ‘sehemu...

READ MORE