×

Habari

Bond Afunguka Kukamatwa Kwake

DAR ES SALAAM: Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Bond Bin Suleiman, amefungukia kukamatwa kwake kwenye ishu ya ujambazi na kudai...

READ MORE

Exclusive: Harmonize Ataja Sababu za Kutoendana na Wolper, Azungumzia Umaarufu wa Harmorapa

  MSANII wa kwanza kusainiwa kwenye Lebo ya Muziki ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platinumz, Harmonize kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Mafuriko Yalivyolikumba Bonde la Mkwajuni, Kinondoni Dar Leo

Taswira ya mafuriko yaliyolikumba eneo la Bonde la Mkwajuni. Taswira ya mafuriko yaliyolikumba eneo la Bonde la Mkwajuni. Taswira ya...

READ MORE

Maskini Jokate; Sasa Moyo Wako Usukume Damu

Na SIFAEL PAUL| IJUMAA WIKIENDA| MAKALA PENZI ni kitendo, kitendo cha kumjali, kumfariji na kumfikiria mwenzi wako. Kuwa mwaminifu, mpole,...

READ MORE

Alichoandika Adam Mchomvu kuhusu Vanessa Mdee…

Baada ya sekeseke la madawa ya kulevya linaloendelea nchini, mwanamuziki Vanessa Mdee ameendelea kushikiliwa na jeshi la polisi jijini Dar...

READ MORE

RC Makonda Azindua Barabara Iliyojengwa na Wazalendo Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amezindua barabara ya Barabara ya Bandari via Kidongo Chekundu, iliyopo Kurasini...

READ MORE

Gwajima Azidi Kukomaa na Vyeti vya Makonda

Na MWANDISHI WETU| IJUMAA WIKIENDA| HABARI DAR ES SALAAM: Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lenye makao yake makuu...

READ MORE

VIDEO: Umeipata Hii Exclusive ya Diamond Kuuza Nyimbo za Wasanii Wote wa Africa?

LEBO ya Muziki hapa Bongo inayomilikiwa na Diamond Platinumz, Wasafi Classic Baby (WCB) imedhamiria kufanya mapinduzi makubwa kwenye tasnia hiyo...

READ MORE

Rose Muhando Asakwa Apelekwe Soba

Na IMELDA MTEMA| IJUMAA WIKIENDA| HABARI DAR ES SALAAM: Taarifa mbaya ya kusikitisha kutoka kwa staa wa nyimbo za Injili,...

READ MORE

EXCLUSIVE VIDEO: Kwa Mara ya Kwanza… Diamond Amfungukia Harmorapa, Kolabo ya Harmonize na Harmorapa…!

EXCLUSIVE Stori ikufikie popote unapoifuatilia tovuti ya Global Publishers na Global TV Online ni kuhusu staa wa Bongo Fleva kutoka...

READ MORE

Wema Ajadiliwa Msikitini

Na MWANDISHI WETU| IJUMAA WIKIENDA| HABARI DAR ES SALAAM: Makubwa! Wema Isaac Sepetu amezua gumzo baada ya kujadiliwa kwenye msikiti...

READ MORE

Lowassa Awaandikia Waraka Waliotimuliwa CCM, Awaita Mashujaa wa Kweli

Kufuatia wanachama 12 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuvuliwa uanachama kutokana na kile walichosema kuwa ni usaliti, Mjumbe wa Kamati...

READ MORE

Msuva Aanza Hesabu za Kusepa Yanga SC

STORI: Wilbert Molandi | CHAMPIONI JUMATATU| Dar es Salaam WINGA machachari na tegemeo wa Yanga, Simon Msuva, amesema ana maisha...

READ MORE

Tuzo za Flora Lauwo Zazua Balaa

MWANZA: Mtangazaji wa Kipindi cha Flora Show ambaye ni mkurugenzi wa taasisi yake ya Nitetee Foundation Tanzania, Flora Lauwo amezua...

READ MORE

Tatizo la Mimba Kutoka Mara kwa Mara

WIKI iliyopita tulieleza sababu ya mimba kuharibika tunamalizia kwa haya: MIMBA KUTOKUA Ikiwa mimba itaacha kuongezeka au kukua ni dalili...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo Jumatatu, Machi 13, 2017, Udaku, Hardnews na Michezo… Yasome Hapa

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Machi 13, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Frank Mgogosi Aibuka Mshindi wa Wikienda Music Search

MSANII wa Bongo Fleva, Frank Mgogosi mkazi wa Kimara jijini Dar jana ameibuka Mshindi wa Shindano la Wikienda Music Search...

READ MORE

Safaree Akiri Kusalitiwa na Nicki Minaj Kisa Meek Mill

  ALIYEKUWA mpenzi wa Mwanamuziki wa Hip Hop, Nicki Minaj, Safaree Samuels amefanya mahojiano na kipindi cha mtangazaji Wendy na...

READ MORE

Tanzia: Sir George Kahama Afariki Dunia

Mwanasiasa, mwanaharakati na mpigania uhuru mahiri nchini Tanzania, Sir George Kahama (88), amefariki dunia leo katika Hospitali ya Taifa ya...

READ MORE

Vigogo Chadema Watimkia CCM (+VIDEO)

DODOMA: Katika mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amepokelewa Moses Machali Mbunge wa zamani wa Kasulu Mjini kwa Tiketi...

READ MORE

Askofu Mkuu Anglikana Ahitimisha Rasmi Utawala wa Askofu Mokiwa

KANISA la Anglikana leo limefanya Ibada kuu ya Kiaskofu ya kutwaa Dayosisi ya Dar es Salaam na kuhitimisha utawala wa...

READ MORE

Bomoa Bomoa Dar, Bakhresa Apewa Siku Tano

BAADA  ya wakazi wa Buguruni jijini Dar es Salaam jana kuachwa na vilio wakati Kampuni ya Rasilimali za Shirika la...

READ MORE

Taarifa Kufungwa kwa Barabara Dar

KUFUNGWA barabara kwa ajili ya kuhamisha Daraja la Chuma (MABEY BRIDGE) na kuliweka kwenye barabara ya muda (DIVERSION ROAD) katika...

READ MORE

Wabunge CCM Wadaiwa Kupanga kuvuruga Mkutano Mkuu Dodoma (+video) Mkutano Leo

MBUNGE Hussein Bashe wa Nzega Mjini na Joseph Kasheku wa Geita wakiwa na aliyewahi kuwa mbunge wa Kisarawe, Adam Malima...

READ MORE

Khloe Adaiwa Kufunga Ndoa ya Siri

DADA wa mwanamitindo Kim Kardashian, Khloe Kardashian na mpenzi wake wa sasa ambaye ni mcheza kikapu wa NBA,   Tristan Thompson...

READ MORE

Mitindo ya Kijanja kwa Wanaopenda Dread

TUNAPOZUNGUMZIA mitindo na fasheni, tunawagusa wanaume na wanawake. Hivyo basi wiki hii kupitia ukurasa huu tutaangalia jinsi nywele za dread...

READ MORE

Magazeti Leo Machi 12, 2017, Udaku, Hardnews na Michezo Soma Hapa…

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Machi 12 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Herieth: Majirani Wanamtenga Kisa Msanii!

        NA IMELDA MTEMA | RISASI JUMAMOSI | MPAKA HOME WIKI hii safu yako uipendayo ya Mpaka Home iliruka hadi...

READ MORE

Yanga Yatoka Suluhu ya 1-1 na Zanaco

  MPIRA UMEKWISHA KADI….Kipa wa Zanaco, Kola analambwa kadi ya njano kwa kuchelewesha muda -Kessy anapiga krosi safi kabisa, Martin...

READ MORE

BREAKING NEWS: Sophia Simba, Madabida Watimuliwa CCM, Nchimbi, Kwirasa Wapewa Onyo Kali

  DODOMA: Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Dodoma, zinaeleza kwamba mwanachama mkongwe wa CCM, Sophia Simba amevuliwa uanachama wa chama...

READ MORE

Machi 17 Yateka Akili ya Wasomaji

Mwandishi wetu | CHAMPIONI|  Dar es Salaam MACHI 17, mwaka huu ambayo ni siku ya kuchezeshwa droo ya pili ya...

READ MORE

Wanene Entertainment Presents: Chin Bees ‘Pepeta’ – (Official Music Video)

Baada ya kuachia audio ya wimbo wake mpya ‘Pepeta’, rapper kutoka Tanzania Chin Bees ameiachia official music video ya wimbo...

READ MORE

BREAKING NEWS: Tazama Bomoabomoa Inavyopitia Nyumba 200 za Wakazi wa Buguruni, Dar

Wakazi wa maeneo ya Buguruni na maeneo mengine wilayani Ilala, waliojenganyumba zao pembezoni mwa reli ya kati (TRL), leo tar....

READ MORE

NEW Music: Itazame ‘Tucheze’ Video Mpya Ya Muimbaji Akothee Kutoka Kenya

Wiki hii kwenye shavu la midundo ninayo mpya kabisa kutoka kwa Akothee. Safari hii anataka wote tuinuke na ‘Tucheze’. Muimbaji...

READ MORE

Hii ni Simulizi ya Maisha ya Godbless Lema Gerezani Miezi 4, Alivyopewa Cheo cha Nyapara Kuwaongoza Wafungwa

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) ameibuka na kueleza mambo mbalimbali, aliyokumbana nayo katika kipindi cha miezi minne akiwa...

READ MORE

Rucky Baby, Mzaz Mwenziye Sasa ni Mapenzi Mubashara

 NA GLADNESS MALLYA | RISASI JUMAMOSI | MIKITO NUSUNUSU BAADA ya hivi karibuni baba mtoto wake anayejulikana kwa jina la...

READ MORE

Q- Chillah Alalamikia Mkataba wa QS

NA ALLY KATALAMBULA | RISASI JUMAMOSI | MIKITO NUSUNUSU MWANAMUZIKI  mkongwe kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Aboubakar Katwila  ‘Q-Chillah’ amefunguka...

READ MORE

#GlobalCelebrities: Nay Wa Mitego: “Vanessa najivunia uwepo wako kwenye game… Don’t Give Up!”

Wakati jeshi la polisi likiwa bado linaendelea na uchunguzi wake juu ya msanii wa Bongo Fleva Vanessa Mdee, msanii wa hip...

READ MORE

Pamoja na Matatizo, Wachezaji Yanga SC Waahidi Kuiua Zanaco

GAWilbert Molandi na Musa Mateja | CHAMPIONI| DAR ES SALAAM LICHA ya wachezaji wa Yanga kutolipwa mishahara ya miezi mitatu,...

READ MORE