×

Habari

Simba SC Yaifunga Yanga SC na Kutinga Fainali

ZANZIBAR: Klabu ya Simba imefanikiwa kuifunga Klabu ya Yanga kwa mikwaju ya penati 4-2 wakati wa mchezo wa Nusu Fainali...

READ MORE

Live Updates: Simba Vs Yanga, Nusu Fainali Kombe la Mapinduzi Zanzibar

Kikosi cha Yanga SC. Kikosi cha Simba Sc. Simba wanashinda kwa penati 4-2. Simba anacheza ni Bukungu….. gooooooal. Yanga anacheza...

READ MORE

CUF Wakanusha Wizi wa Fedha, Wadai Taaifa Hizo ni Kelele

THE CIVIC UNITED FRONT CUF – Chama cha Wananchi CUF – Chama cha Wananchi hakina sababu ya kumjibu Mtatiro na...

READ MORE

Azam Fc Wametinga Fainali ya Michuano ya Mapinduzi Kwa Kuichapa Taifa Jang’ombe bao 1-0

Azam Fc wametinga fainali ya michuano ya Kombe la  Mapinduzi kwa kuichapa Taifa Jang’ombe bao 1-0. Mfungaji wa bao hilo...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Mjumbe Maalum wa Rais wa Nigeria, Chato mkoani Geita

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli (kulia) akisalimiana na kumkaribisha Profesa Ibrahim Gambari ambaye ni...

READ MORE

Rais Museveni Amteua Mwanaye Kuwa Mshauri Wake

RAIS Yoweri Museveni wa Uganda amemteua mwanaye, Meja Jenerali David Muhoozi Kainerugaba, kuwa  mshauri mkuu wake kuhusu operesheni maalum.  Rais...

READ MORE

Meya Kinondoni: Tutaondoa makazi yote holela (Video)

Makala: Elvan Stambuli na Sifael Paul | Gazeti la Uwazi, Toleo la Jumanne Januari 10, 2017 Dar es Salaam: Meya...

READ MORE

Betting…Betting….Betting…..

Watani wa Jadi, Simba na Yanga wanatarajia kukupiga katika Uwanja wa Amaan huko visiwani Zanzibar. Wewe kama shabiki unaweza kushiriki...

READ MORE

Ndoa ya Masele Yampa Wakati Mgumu MC Pilipili

Mc Pilipili. Mchekeshaji na mshereheshaji  (MC) bora wa mwaka 2017 aliyeshinda tuzo ya Instagram Party, Emmanuel Mathias ‘MC Pilipili’, ameshindwa...

READ MORE

Mwanamke Achapwa Viboko Hadharani Mbele ya Rundo la Wanaume

Kupitia mitandao ya kijamii imesambaa video ikionyesha kundi la wanaume wakishirikiana kumchapa viboko mwanamke mmoja ambaye hakufahamika mara moja alikosa...

READ MORE

Yanga Vs Simba Nusu Fainali Mapinduzi Cup, Bashiri Mshindi Uibuke na Zawadi

HISTORIA nyingine kwenye mchezo wa soka inatarajiwa kuandikwa leo kwenye mchezo wa nusu fainali inayosubiriwa kwa hamu kubwa katika Kombe...

READ MORE

Video: Usiku wa Masele cha Pombe na Specioza

Masele  na mkewe wakicheza muziki laini. Mke wa Masele akimlisha keki mumewe. Masele akimlisha mkewe. …wakigonga chears. Mchekeshaji Erick Kisauti...

READ MORE

Mwingine Kortini kwa Kudaiwa Kumtukana Rais Magufuli na Samia Suluhu

DAR ES SALAAM: Mtunza bustani Maganga Masele, amefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es salaam kwa tuhuma...

READ MORE

Trump Amteua Mkwe Wake Kuwa Mshauri Mkuu Ikulu

Rais mteule wa Marekani Donald Trump anayetarajiwa kuapishwa wiki ijayo Januari 20, amemteua mkwe wake Jared Kushner, kuwa mshauri mwandamizi...

READ MORE

Diamond, Drake, Wizkid, Tiwa Sawage Wanyakuwa Net People’s Choice Awards

STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Drake, Wizkid, Tiwa Sawage na wengine wamesinda Tuzo za Net People’s Choice ambazo hutolewa...

READ MORE

Magazeti ya Leo Jumanne Januari 10, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumanne, Januari 10, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Mbowe, Besigya Wakaribishwa Ikulu Ghana

  Rais wa Ghana Akufo- Addo, Kiongozi mwenye umri wa miaka 72, na ambaye ni wakili wa zamani wa kutetea...

READ MORE

Pwani: Jamii ya Wafugaji na Wakulima Yakumbwa na Baa la Njaa

PWANI: Jamii ya wafugaji na wamkulima wa vijiji vya Gumba, Chaua na Gwata mkoani Pwani imekumbwa na baa la njaa...

READ MORE

Nyoka Asababisha Emirates Kuahirisha Safari ya Ndege

Safari ya ndege ya Shirika la Emirates ya kutoka Oman kwenda Dubai imesitishwa baada ya wahudumu wa ndege hiyo kukuta...

READ MORE

Ronaldo Ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia wa FIFA, Awagaragaza Messi na Griezmann

Mshambuliaji wa Real Madrid na Ureno Cristiano Ronaldo ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia wa FIFA Ronaldo, 31, amewafunika...

READ MORE

Kuelekea Mchezo wa Simba SC vs Yanga SC, Haya ni Maneno ya Haji Manara

Salaam wadau, Kesho Jumanne usiku pale Amaan Stadium patachezwa mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi baina ya klabu...

READ MORE

Skaina anaswa akipiga ngumu kumeza

STORI: ANDREW CARLOS, IJUMAA WIKIENDA DAR ES SALAAM: Ama kweli Januari ni mwezi dume! Staa wa sin­ema za Kibongo, Skyner...

READ MORE

Watu Zaidi ya 20 Waaga Dunia kwa Baridi

Watu zaidi ya 20 wamefariki kutokana na baridi kali ambayo imeendelea kukumba maeneo mengi ya Bara la  Ulaya ambapo watu...

READ MORE

JPM Kujenga Vyumba 3 vya Madarasa Shule ya Msingi Chato Ambako Alisoma

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika benchi la kibanda cha kupigia kiwi...

READ MORE

Tabia Hizi 10 za Wanawake Ndani ya Nyumba Hazifai

Katika kuangalia tabia za wanawake, nakuja na orodha ya wanawake ambao kama mwanamume unafaa kuwa chonjo nao kwani watayafanya maisha...

READ MORE

Kesi Inayowakabili Wabunge wa Chadema Yashindwa Kusikilizwa

Kesi inayowakabili wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee wa Kawe, Mwita Waitara wa Segerea na Saed...

READ MORE

Kesi ya Mke wa Bilionea Msuya Kalenda Tena

DAR ES SALAAM: Maombi ya kufutiwa mashtaka yaliyowasilishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini hapa na Miriam Msuya, mke...

READ MORE

Waporaji wa Kim Kardashian Wadakwa

WATU zaidi 15 wanashikiliwa kwa tuhuma za kuhusika na tukio la kumvamia na kumpora nyota wa vipindi vya televisheni huko...

READ MORE

Hawa Ndiyo Vijana 5 Wanaotikisa kwa Mkwanja Duniani

Bado kuna watu hawaamini kama mtu anaweza kuwa bilionea akiwa na miaka midogo. Wanachokiamini ni kwamba ili uwe bilionea, ni...

READ MORE

Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi Awasili Nchini kwa Ziara ya Kikazi

Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi amewasili nchini leo na kupokelewa na Mwenyeji wake, Dk Augustine Mahiga,...

READ MORE

‘Pacha’ wa Harmonize aangua kilio stejini

Stori: Andrew Carlos | Gazeti la Ijumaa Wikienda Toleo la Jumatatu, Januari 9, 2017 HARMORAPA, msanii chipukizi wa Bongo Fleva anayefanana...

READ MORE

Rich Mavoko: Niko Tayari Kufanya Kolabo na Ali Kiba

Musa Mateja na Said Ally, Dar es Salaam | Gazeti la Championi Toleo la Jumatatu, Januari 9, 2017 LEBO ya...

READ MORE

Mkwere Amwaga Machozi Harusi ya Masele Chapombe Siku ya Ndoa Yake

Msanii maarufu wa vichekesho anayetamba na Kundi la Vichekesho la Mizengwe, linalorusha kipindi chao kupitia runinga ya ITV, Hemed Maliyaga...

READ MORE

Askofu Mokiwa Atimuliwa Anglikana kwa Ufisadi, Agoma Kung’oka

Mashitaka  10 yaliyofunguliwa na walei 32 wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam yakiwemo ya ufisadi wa mali...

READ MORE

Pichaz: Ndege Mpya ya Arsenal Usipime, Jionee Mwenyewe!

LONDON, Englang UKISIKIA kufuru ndiyo hizi. Arsenal imetambulisha ndege mpya ambayo itakuwa inaitumia kusafiria kwenda kwenye mechi zake za ugenini...

READ MORE

Mara: Polisi Wakamata Mangariba 11 kwa Tuhuma za Ukeketaji wa Watoto Zaidi ya 800

MARA: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Tarime na Rorya mkoani Mara, limefanikiwa kuwakamata mangariba 11 wilayani Tarime kwa tuhuma...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo Jumatatu, Jan 9, 2017

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumamosi, Januari 7, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Mzee wa Upako Amvaa Lowassa

upakoStori: Na Mwandishi, Wikienda DAR ES SALAAM: Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ ame­tumia ibada...

READ MORE