×

Habari

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumamosi Januari 7, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumamosi, Januari 7, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Nafasi ya Kazi

Global TV Online, ni Televisheni ya kwenye mtandao inayofuatiliwa na watu wengi duniani, inahitaji kijana mwenye uwezo na ari ya...

READ MORE

Kenya: Madaktari Wakataa Nyongeza ya Mishahara ya Serikali

Madaktari nchini Kenya wamekataa nyongeza ya karibuni zaidi iliyopendekezwa na serikali katika juhudi za kujaribu kumaliza mgomo wa madaktari na...

READ MORE

Serikali Inawajibika Kumtafuta Ben Saanane – Lissu

Tundu Lissu akiwasili kwenye Ofisi za Global Publishers. MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu, amesema...

READ MORE

Mawaziri Wa Magufuli Wafungiwa Kazi, Ripoti Kamili Ipo Hapa

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi. Na Waandishi Wetu, Ijumaa, Januari 6-12, Toleo na 1019...

READ MORE

Video: Penzi la Mayasa kwa Kelvin Laanza Kuota Mizizi, Global Kazini Episode 5

KUANGALIA Global Kazini Episode 1-  5  BONYEZA HAPA  

READ MORE

Lissu: Utafiti Ulionyesha Lowassa Alibeba 18% ya Kura Zote

  Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu katika kitabu cha wageni alipowasili kwenye Ofisi za Global Publishers kwa mahojiano leo....

READ MORE

Bofya Hapa Ujishindie Vocha ya Bure!

Tovuti ya Global Publishers inaendelea kutoa vocha kwa wasomaji wake, zawadi ya vocha kila siku kwa ajili ya kuwasiliana na...

READ MORE

Huyu Nd’o Shishi Mapenzi, Utamtaka!

        Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole.  Na Musa Mateja: Championi Ijumaa, Tarehe 06.01.2017, Toleo namba 1956...

READ MORE

Mistari ya Darassa ni Madongo kwa Diamond?

Darassa. Na Andrew Carlos | Gazeti la Ijumaa, Toleo la Jan. 06, 2017 YASEMWAYO yapo! Ukiusikiliza kwa makini Wimbo wa...

READ MORE

Georgina; Huyu ndiye amemtuliza CR7

Cristiano Ronaldo na mpenzi wake Georgina Rodriguez mwenye kikoti cheusi. MADRID, Hispania| Gazeti la Championi Ijumaa, Toleo la Jan. 06,...

READ MORE

Riyad Mahrez Anyakuwa Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika 2016

Mchezaji Bora wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani ni Denis Onyango kutoka Uganda na klabu ya Mamelodi Sundowns. Shirikisho la Soka Afrika...

READ MORE

Marekani Kumsaka Mtoto wa Osama

Marekani imesema kuwa imemuorodhesha mtoto  wa mwisho wa Osama Bin Laden, Hamza, katika orodha ya magaidi wanaosakwa na taifa hilo....

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Januari 6, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Alhamisi, Januari 6, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Mbeya: Njemba Amuua Mkewe kwa Nyundo Kisa Wivu wa Mapenzi

Mwanamke mmoja mkazi wa Mikumi wilayani Keya, Mbeya aliyefahamika kwa jina la HILDA SIGARA  amefariki dunia akiwa anapelekwa Hospitali kwa...

READ MORE

Dkt. Senkoro Kuzikwa Jumamosi Jijini Dar

Marehemu enzi za uhai wake. Kaka wa marehemu Senkoro aitwaye George Nathaniel akizungumza na wanahabari kuhusu ratiba ya mazishi na...

READ MORE

Kiwanda cha takataka kujengwa Kinondoni

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Samwel Sitta akisaini kwenye kitabu cha wageni cha Ofisi za Global Publishers alipofika kufanya...

READ MORE

Msanii Wa Kidedea Afa Kwa Kipigo, Mumewe Ahojiwa Polisi

Msanii aliyewahi kuwika kwenye Kundi la Sanaa la Kidedea na kupata jina la sanaa la Zamzam, Kijakazi Pazi Shaban akionyesha...

READ MORE

Kigogo Afanya Tukio La Kutisha Dar! Adaiwa Kumfungia Mke Wake Ndani Kwa Miaka 5

    Karani wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Grace Mwakabuta anayedaiwa kufungiwa miaka mitano mmoja ndani na mume wake...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Akiba Ya Mahindi Iliyopo Iendelee Kutunzwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua maghala ya nafaka yanayomilikiwa na Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya...

READ MORE

Gigy: Kama Ukimwi, basi Kiba Lazima…

Video queen matata ambaye pia ni mtangazaji wa kituo cha redio moja jijini hapa, Gift Stanford ‘Gigy Money. Na Imelda...

READ MORE

Wolper Kumwaga Harmonize ni kiki?

Jacqueline Wolper. NGULI wa sanaa ya maigizo wa Bongo ajulikanaye kama Jeniffer Lopez wa Bongo,  mrembo Jacqueline Wolper ‘Gambe’ na...

READ MORE

Wanaowamaliza Chid Benz, Nando Ni Hawa

Picha mbili juu zinamuonyesha Staa wa Bongo Fleva, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, akiandaa madawa kwa ajili ya kuvuta.  Na Waandishi...

READ MORE

Bofya Hapa Ujishindie Vocha ya Bure!

Tovuti ya Global Publishers itakuwa ikiwapa wasomaji wake zawadi ya vocha kila siku kwa ajili ya kuwasiliana na ndugu, jamaa...

READ MORE

Bodi Ya Mikopo Yapokea Mrejesho Wa Wanufaika Zaidi Ya 45,000

Mkurugenzi Mtendaji wa bodi hiyo, Abdul-Razaq Badru (kushoto) akiongea. Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imesema...

READ MORE

Ujauzito Feki wa Nisha Wamsababishia Haya

Nisha Bebee Mcheza filamu maarufu katika soko la filamu Bongo Movie, Salma Jabu, maarufu kama Nisha Bebee amejipotezea uaminifu mtaani...

READ MORE

Jeshi la Polisi Laua Majambazi Watatu Dar

DAR ES SALAAM: Watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi, wameuawa katika tukio la kurushiana risasi na polisi katika eneo la...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Januari 5, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Alhamisi, Januari 5, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Tui la nazi, nyanya, chumvi kutibu vidonda mdomoni

Vidonda vya mdomoni ni miongoni mwa matatizo yanayowasumbua watu wengi. Badala ya kuhangaika kutumia dawa za hospitali, unaweza kutumia tiba...

READ MORE

Diamond Hapaswi Kujiita Simba – Darassa

MKALI wa ngoma ya ‘Muziki’, Darassa ameweka wazi maana ya ule mstari wake wa “sio simba, sio chui, sio mamba”...

READ MORE

Ombaomba Bado Wanatesa Jiji la Makonda

Ombaomba ambao ni wasichana wadogo, wakipita kuomba katika magari yaliyokuwa katika foleni jijini Dar. LICHA ya mara kadhaa Mkuu wa...

READ MORE

Ticha Afa Ajalini Akifuatilia Kadi ya Bima Ya Afya

Wananchi wakimuaga marehemu, Janeth Francis Songo alikuwa mwalimu wa Shule ya Msingi Maluga iliyopo Wilaya ya lramba mkoani Singida. Stori:...

READ MORE

Tanzia: Mwanamke wa Kwanza Kugombea Urais wa Tanzania, Anna Senkoro Afariki Dunia

DAR ES SALAAM: Mwanamke wa kwanza kwenye Historia ya Tanzania kugombea urais, Dkt. Anna Claudia Senkoro ameaga dunia leo Januari...

READ MORE

Kukosa la Kufanya ni Moja ya Chanzo cha Matumizi ya Dawa za Kulevya

Chid Benz Kuna sababu nyingi zinazochangia ongezeko la matumizi ya dawa za kulevya katika jamii. Baadhi ya sababu hizo ni...

READ MORE

Jike Shupa Awaanika Mastaa Anaowauza Kwa Vigogo, Yumo Wolper, Masogange

Zena Abdallah ‘Jike Shupa’. Stori: waandishi Wetu, Risasi Mchanganyiko, Jan 4-6, 2017, Toleo 1388 DAR ES SALAAM: Imefichuka! Wakati mastaa mbalimbali...

READ MORE

Kesi ya Mke wa Bilionea Msuya Yaendelea Kisutu

DAR ES SALAAM: Wakati sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya zikiwa zimemalizika, leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha tena...

READ MORE

Diamond Kufulia, Tutasubiri Sana!

   Mwananmuziki Diamond Platnumz. Makala: Risasi Vibes; Risasi Mchanganyiko, Jan 4-6, 2017, Toleo 1388 EDSON Arantes do Nescemento maarufu kama...

READ MORE

Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Nitajirike – 14

ILIPOISHIA Kiukweli alinichanganya sana, hapohapo nikamuona akitoka katika sura ya Mudi na kurudi katika sura ya moja ya maiti niliyowahi...

READ MORE

Janet Jackson Ajifungua Mtoto wa Uzeeni

Mwanamuziki mashuhuri nchini Marekani Janet Jackson mwenye umri wa miaka 50 sasa, amejifungua mtoto mvulana bila matatizo. Janet na mumewe...

READ MORE