×

Habari

Video: Simba Walivyotua Dar Baada ya Kichapo cha Azam FC na Kuzomewa

DAR ES SALAA: TIMU ya Simba SC yenye makao yake makuu Mtaa wa Msimbazi, imerejea leo jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Chadema Yapania Kumtoa Mahabusu Lema

Godbless Lema (wa pili kushoto) akirudishwa mahabusu. CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimejipanga kuhakikisha Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless...

READ MORE

Baada Ya Kuripoti Kombe La Mapinduzi, Mwandishi Afariki Dunia

Amina Athumani enzi za Uhai wake. MWANDISHI wa Habari za michezo wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Amina Athumani...

READ MORE

Mrisho Mpoto Aungana na China Kutokomeza Ujangili Nchini

Mwanamuziki wa Muziki wa Asili Bongo, Mrisho Mpoto ameipokea kwa furaha kauli ya Nchi ya China kutaka kukomesha biashara haramu...

READ MORE

Magazeti ya Leo Jumapili, Januari 15, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumapili, Januari 15, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Ulizeni Tena Kwanini Nilimkabidhi Bendera Diamond: Waziri Nape

DAR ES SALAAM: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye January 11, 2017 alimkabidhi nyota wa Afro Pop,...

READ MORE

Miriam BSS afanyiwa kitu mbaya usiku!

    RICHARD BUKOS, RISASI DAR ES SALAAM: Mwanamuziki wa Taarab, Mar­iam Mohammed Uwesu ‘Mariam BSS’ Jumapili aliyopita alijikuta akimwagiwa kojo...

READ MORE

Shinikizo la Damu

Shinikizo la juu la damu (presha) hutokea pale moyo unapodunda na kusukuma damu nyingi lakini damu hiyo ikashindwa kusambaa kwa...

READ MORE

Msongo wa mawazo kwa wanawake (Depression)-3

ILIPOISHIA   Hisia tulivu humsaidia mtu kukabiliana na vikwazo maishani mwake ambavyo wengine wasingeweza. Huwa na uwezo mkubwa wa kupitia...

READ MORE

Miss TZ akatwa Mapanga

Na Richard Bukos, Gazeti la Risasi Toleo la Jan 14, 2017 DAR ES SALAAM: INASIKITISHA SANA! Mrembo aliyefahamika kwa jina...

READ MORE

Kadja Nito: Mahaba anayonipa mume wangu sijutii kubadili dini! (+Video)

MAMBO vipi mpenzi msomaji  wa Mpaka Home, kwetu mambo yanaendelea kuwa mazuri kwa sababu tunakupa kitu kilicho bora. Wiki hii...

READ MORE

Warembo Wapanga Foleni Studio kwa Diamond Usiku wa Manane

Wakati mzazi mwenza wa mkali wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss...

READ MORE

Video: Diamond Platnumz Ndani ya Gabon Finali za AFCON Noma

Diamond Platnumz Ndani ya Gabon Finali za AFCON Noma

READ MORE

Huyu Ndiye Mshindi wa Betting Mechi ya Azam na Simba

TOVUTI ya Global Publishers ambayo ni namba moja hapa nchini kwa habari za burudani, michezo, kitaifa, kimataifa, siasa, breaking news...

READ MORE

Mwigulu Nchemba Aongoza ‘Police Family Day’

Timu ya polisi ikikipiga vilivyo katika timu iliyokuwa imeundwa katika kusherehekea siku hiyo. Timu ikiendelea kukipiga vilivyo katika Viwanja vya...

READ MORE

Eti Ray Ashangaa Chuchu Kujifungua

Stori: Imelda Mtema, Gazeti la Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: KITUKO! Wakati pongezi za kufa mtu zikielekezwa kwa muigizaji Vincent...

READ MORE

Alichosema Mwenyekiti wa TEC Juu ya Ukame Nchini

Mwenyekiti wa TEC na Askofu wa Iringa, Tarcisius Ngalalekumtwa.

READ MORE

Mwalimu Ahukumiwa Miaka 10 Gerezani Kwa Kubeba Mimba ya Mwanafunzi wake

Mwalimu mmoja wa Shule ya elimu ya kati ya Houston, Marekani, Alexandria Vera (24). Mwalimu mmoja wa Shule ya elimu...

READ MORE

Lulu Anaweza Kuwa Mkulima – Mama Lulu

Na Mwandishi wetu, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Jan 14, 2017 MAMA wa mwigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila...

READ MORE

Baada ya Simba Kupewa Kichapo na Azam Hizi Ndizo Kejeli za Watani Wao wa Jadi Mitandaoni

  JANA usiku Januari 14, 2017 kulikuwa na mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi uliopigwa kwenye uwanja wa amaan,...

READ MORE

Video: Wiki Moja Baada ya Ndoa, Masele Chapombe Amtongoza Upya Mkewe

IKIWA ni takribani wiki moja tu baada ya msanii maarufu wa vichekesho hapa nchini, Cyprian Masele ‘Masele Chapombe’ kufunga ndoa...

READ MORE

Picha+Video: Diamond Atua Gabon Apokelewa na Rais Bongo, Kutumbuiza AFCON 2017 Leo

MKALI wa Afro Pop, Diamond Platnumz jana alitua nchini Gabon na kupkelewa na rais wa nchi hiyo, Ali Bongo ambapo...

READ MORE

Harusi za Gharama Kubwa, Sherehe Mahotelini Vyapigwa Marufuku

SOMALIA: Mji wa Bula Hawa nchini Somalia umepiga marufuku harusi za gharama ya juu ili kuwashawishi vijana wengi zaidi kuoa....

READ MORE

Ufafanuzi wa Wizara ya Nishati Kuhusu Tuhuma za Profesa Muhongo Kushiriki Kupandisha Bei ya Umeme

Wizara ya Nishati na Madini inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu kikao cha Waziri wa Nishati na Madini na Ujumbe wa Benki...

READ MORE

Maskini… Snura alizwa na mwanaye

IMELDA  MTEMA, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Jan 14, 2017 MWANAMUZIKI wa miondoko ya mduara, Snura Mushi, amefunguka kuwa...

READ MORE

Afande Sele awaomba msamaha mashabiki zake

Stori: Gladness Mallya, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Jan 14, 2017 BAADA ya kutangaza kuachana na siasa, mwanamuziki wa...

READ MORE

Azam FC Yashinda Fainali Kombe la Mapinduzi, Yaichapa Simba SC Bao 1-0

Azam FC wameifunga Simba  SC kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar, na kufanikiwa kutwaa Kombe la Mapinduzi...

READ MORE

Queen Darleen: Sitongozwi, natongoza

Na Imelda Mtema | Gazeti la Risasi Jumamosi Toleo la Jan 14, 2017 MWANAMUZIKI ambaye ni memba wa Kundi la...

READ MORE

Magazeti ya Leo Jumamosi, Januari 14, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumamosi, Januari 14, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Video: Joti Akiimba Wimbo wa Darassa- Muziki

Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania, Joti amerudia wimbo wa mwanamuziki Darassa unaokwenda kwa jina la Muziki. Huu ni wimbo uliofanya vizuri...

READ MORE

Asuswa na Wazazi kwa Kuwa na Mahusiano na Kijana Mweusi

Kijana mweusi Michael Swift na mpenzi wake, Allie Dowdl. Mwanafunzi mmoja Allie Dowdl (18) amechangisha zaidi ya dola 10,000 kupitia mchango...

READ MORE

El Salvador Yafurahia Kupitisha Siku Bila Mauaji

Polisi nchini El Salvador wanasema taifa hilo la Amerika ya Kati limemaliza siku moja bila mauaji yoyote kuripotiwa, jambo ambalo...

READ MORE

Rais Magufuli azindua Fresho Investment Co. Ltd na Jambo Food Products Co. Ltd Mkoani Shinyanga 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Ijumaa Januari 13,2017 amefungua rasmi viwanda viwili mkoani...

READ MORE

Mfanyabiashara Alipa Kodi kwa Kutumia Mtoroli 5 Yaliyojaa Sarafu

MAREKANI: Mfanyibiashara mmoja nchini Marekani ambaye amezozana na idara ya magari nchini humo DMV amelipa kodi yake ya dola 3,000...

READ MORE

Mtego Wamkamatisha Mhadhiri wa Chuo Kikuu kwa Rushwa ya Ngono

DAR ES SALAAM: Mhadhiri Msaidizi wa Chuo cha Taifa cha Usifirishaji (NIT) amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na...

READ MORE

Nec Yavipa Somo Vyama Vya Siasa

Mkurugenzi wa Nec, R.K Kailima akizungumza na waandishi wa habari. Mkutano ukiendelea. TUME ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imevipa somo...

READ MORE

Rais Magufuli Atishia Kuyatumbua Magazeti Mawili Yanayoandika Uchochezi

Rais wa Jamhri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 13 Januari, 2017 ameyaonya magazeti mawili yanayoandika...

READ MORE