×

Habari

Ronaldo Anyakuwa Ballon d’Or, Awavurugua Messi, Griezmann na Suarez

    BILA ubishi, unaweza kusema huu ni mwaka wa Cristiano Ronaldo hata kama unakwenda ukingoni. Hii inatokana na mafanikio makubwa...

READ MORE

Maneno Tata ya Mzee wa Upako kwa Wandishi wa Habari, Jeshi la Polisi Kutoa Tamko Leo

DAR ES SALAAM: Siku moja baada ya Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo maarufu Mzee wa Upako kusema...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumanne Desemba 13, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 13, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Semina Ya Fursa Dar: Mbinu Lukuki za Kujikwamua Zatolewa kwa Washiriki

Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba akitoa somo kwa wanasemina waliohudhuria. Umati wa watu waliohudhuria...

READ MORE

Shoo Ya EATV 2016 Wasanii Wafunikana Mlimani City, Dar

Mshindi wa tuzo tatu za EATV 2016 katika vipengele vya Video Bora ya Mwaka, Wimbo Bora wa Mwaka na Mwanamuziki...

READ MORE

Alichokisema Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kwenye Sherehe za Maulid, Singida

Katika kusherekea siku ya Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammed (S.A.W), Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kuwatumikia Watanzania...

READ MORE

Wakati Wizkid Akitajwa Tuzo za Grammy 2017, Davido Atimkia Chuo

NIGERIA: Staa wa ngoma ya Skelew iliyotamba kuanzia mwaka 2013, Mnigeria David Adeleke aka Davido amesema hivi karibuni anataria kurudi...

READ MORE

Darassa, Roma Kuchuana Kwenye Mpambano wa Nichane Nikuchane Mwaka Mpya Dar Live

Darassa akisaini mkataba wa mpambano wa Nichane Nikuchane utakaofanyika Mkesha wa Mwaka Mpya (Desemba 31, mwaka huu) ndani ya Uwanja...

READ MORE

Rwanda Kufanya Uchaguzi wa Urais Agosti 2017, Kampeni Kuanza Julai

RWANDA: Serikali ya Rwanda imetangaza tarehe za kufanya uchaguzi wa rais unaotarajiwa kufanyika mwakani 2017. Kulingana na tangazo lililotolewa baada...

READ MORE

Haya Ndiyo Yaliyojadiliwa na Kamati Kuu ya CCM Jana, Wasaliti Ndani ya Chama Sasa Roho Juu

DAR ES SALAAM: CCM imeanza mchakato wa kuwashughulikia wasaliti ndani ya chama hicho, walioisumbua kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015....

READ MORE

Mzee wa Upako: Wote Walionichafua Watakufa Mwakani, Wasipokufa Nitaanza Kuuza Gongo

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo, maarufu kwa jina la Mzee wa Upako jana amesema waandishi wote wa...

READ MORE

Sheikh Ponda Amtembelea Godbless Lema Gerezani, Lema Aandika Barua Nzito Akiwa Gerezani

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda amemtembelea Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema katika...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatatu Desemba 12, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 12, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

CCM Yakanusha Taarifa Inayosambazwa Kwenye Mitandao Kuhusu Uteuzi wa Wajumbe wa Sekretarieti

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. John Pombe Magufuli. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia page yake ya Twitter ...

READ MORE

Gari la Mbongo Lamvuta Waziri Mpango

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango akiitazama gari iliyobuniwa na Mtanzania, Jacob Luis. Mtanzania aliyetengeneza gari hilo, Jacob...

READ MORE

Kiongozi wa Serikali Anusurika Kifo Baada ya Paa la Kanisa Kuanguka, Waumini 200 Wapoteza Maisha

UYO, NIGERIA: WATU zaidi 200 wamepoteza maisha huku wengine ambao idadi yao haijkafahamika wakijeruhiwa baada ya paa la kanisa walimokuwa...

READ MORE

Nape Nnauye: Tuzo Za EATV Zitafanya Rais Magufuli Aendelee Kuniacha

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (kushoto)  akimsikiliza Bonny Love mshindi wa tuzo ya heshima....

READ MORE

Historia Imeandikwa Kwenye Tuzo za EATV Mlimani City

 Host wa tuzo za EATV 2016, Salama Jabir akifanya yake usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar....

READ MORE

After Skul Bash Ilikuwa ni Full Shangwe (+Video)

  Mshindi wa tuzo tatu za EATV 2016, Mwanamuziki Ali Kiba akiwadatisha mashabiki waliofurika katika ufukwe wa Escape One jana...

READ MORE

Alichokiandika Young D Kuhusu Mtoto Wake Tamar

  Staa wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young D’Mtoto wake Tamar. Staa wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young D’ ameyasema...

READ MORE

Gari la Kubeba Mafuta Lagonga Magari 13 na Kulipuka, Watu 33 Wafariki Dunia, 6 Wajeruhiwa

NAIVASHA: Watu zaidi ya 33 wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine sita wakijeruhiwa vibaya kufuatia ajali ya gari la kubeba mafuta...

READ MORE

Baada ya Waziri Mkuu Majaliwa Kukabidhiwa Pembe, Mapya Tena Yaibuka Kifo cha Faru John

Dar es Salaam. Kifo cha Faru John aliyehamishiwa Hifadhi ya Creta ya Ngorongoro kimeendelea kupunguza idadi ya wanyama hao ambao...

READ MORE

Kamati Kuu ya CCM: Leo ni Kikao cha Kwanza kwa Mwenyekiti JPM, Yatakayojadiliwa Yapo Hapa

Dar es Salaam. Kamati Kuu ya CCM inakutana leo huku kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” ikitarajiwa kutawala kikao hicho cha...

READ MORE

Meli Yenye Malori 600 ya Kiwanda cha Dangote Yawasili Mtwara

MTWARA: Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Dangote Cement Industries ya jijini Mtwara, ambaye pia ni bilionea namba moja Barani Afrika,...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumapili Desemba 12, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 12, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Washindi Wa Tuzo Za EATV 2016 Hawa Hapa, King Kiba Noma, Atwaa Tuzo 3 (Video)

Mshindi wa tuzo tatu za EATV 2016 katika vipengele vya Video Bora ya Mwaka, Wimbo Bora wa Mwaka na Mwanamuziki...

READ MORE

Mchungaji Awanywesha Waumini Dawa ya Kuua Bakteria “Dettol”

MCHUNGAJI maarufu kwa jina la Rufus Phala kutoka kanisa la AK Spiritual Christian lililopo Makgodu, Limpopo, Afrika Kusini amewashangaza watu...

READ MORE

Video: JPM Akutana na Kuzungumza na Bilionea Dangote, Pia Amuapisha Ole Sendeka na Watumishi wa Wizara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 10 Desemba 2016, amekutana na kufanya mazungumzo...

READ MORE

After School Bash: Escape One Kumenoga (Pichaz)

Video: After School Bash 2016 Video: After School Bash 2016, AY Alivyokinukisha

READ MORE

Zimebaki Saa Chache Historia Mpya Kuandikwa Tuzo Za EATV Mlimani City

Ukumbi utakaofanyika hafla ya utoaji tuzo wa Mlimani City kama unavyoonekana. Siti maalum kwa watakaowania tuzo hizo. Host wa tuzo...

READ MORE

Wanafunzi Vinara wa Insha Afrika Mashariki Kutoka Tanzania Hawa Hapa

Kutoka kushoto ni Sospeter Berling, Alex Joseph, Maria Erick na Hans Frank. Mshindi wa shindano hilo Alex Joseph (kulia) akifanya...

READ MORE

Upinzani Washinda Urais Ghana

GHANA: Mwanasiasa mkongwe ameshinda uchaguzi wa urais nchini Ghana kwa kupata asilimia 53 ya kura zote, ushindi ambao umepokelewa kwa...

READ MORE

Obama Aagiza Uchunguzi Ufanyike Kuhusu Tuhuma za Udukuzi Uliofanywa Urusi Kumsaidia Trump

Washington (CNN): Rais Barack Obama ameagiza uchunguzi ufanyike kuhusu tuhuma za udukuzi zilizofanywa na nchi ya Urusi katika kipindi cha...

READ MORE

Video: Alichokizungumza Mzee wa Miaka 76 Aliyeweka Bango Kutafuta Mwanamke wa Kuoa

MZEE WA MIAKA 76 ALEYETANAGAZA KUTAFUTA MKE “FULL EXLUSIVE INTERVIEW”

READ MORE

Msaidizi wa Mbowe, Ben Saanane Adaiwa Kupotea Tangu Nov 18, Hata Simu Zake Hazipatikani

Moja kati ya wasaidizi wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameripotiwa kupotea katika mazingira ya...

READ MORE

Mastaa Wa Bongo Washinda Tuzo Za Abryanz Style & Fashion Awards 2016, Kampala Uganda

Mwanamitindo Hamisa Mobeto akiwa na tuzo ya Fashionista Of The Year East Africa baada ya kushinda.Msanii wa Nigeria, Waje. Akosua...

READ MORE

Urais Gambia: Aliyekubali Kushindwa, Abadili Uamuzi, Apinga, Ataka Uchaguzi Urudiwe!

  MSHINDI wa Kiti cha Urais wa Gambia, Adama Barrow amenyimwa kutumia Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo huku Rais...

READ MORE

Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Nitajirike – 11

ILIPOISHIA SEHEMU YA 10 YULE mzee sikuweza kumfahamu kwa kipindi kile lakini sauti yake, hapo baadaye nilimfahamu kwani nilikutana naye...

READ MORE