×

Habari

MJ Records Yatambulisha Kundi Jipya la Bongo Fleva

Lebo maarufu ya muziki hapa Bongo, MJ Records imetambulisha kundi lake jipya la muziki wa Bongo Fleva ambalo ni Hanike...

READ MORE

Nogesha Upendo Ya Vodacom Yaja Na Tsh Bilioni 32 Za M-pesa

Wakati wateja na wananchi mbalimbali wakiendelea kunufaika na promosheni ya Nogesha Upendo ya Vodacom katika kujishindia mamilioni ya fedha kila...

READ MORE

Mo Dewji Asinda Tuzo ya ALM 2016

Jarida la African Leadership limefunga zoezi la kupiga kura kuchagua mshindi wa tuzo ya African Leadership Magazine Person Of The...

READ MORE

Aliyeuwa Watu 39 Mkesha wa Mwaka Mpya Istanbul Akamatwa

Picha za muuaji huyo zilisambazwa na polisi baada ya kufanya shambulizi hilo. Istanbul: Vyombo vya habari nchini Uturuki vimesema mshukiwa...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo Jumanne, Januari 17, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumanne, Januari 17, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Hawa Ndiyo Walibebwa na Kolabo Wakatusua Bongo

KILA msanii huwa na njia zake za kupita kabla ya kuja kutusua na kuteka mashabiki. Kuna wale ambao wametoka wakiwa...

READ MORE

Matokeo Kidato Cha Pili 2016 Yametoka, Boya Hapa Kuyatazama

Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dk Charles Msonde amesema jumla ya wanafunzi 435,075 walioandikishwa kufanya mtihani huo kati yao wasichana...

READ MORE

Mtoto wa Rais Afariki Baada ya Kung’atwa na Mbwa

Bwana Barrow yuko nchini Senegal kabla ya kuapishwa siku ya Alhamisi. Mtoto wa kiume wa rais mteule wa Gambia, Adama...

READ MORE

Costa: Nachukia Soka la Uingereza

LONDON, England MSHAMBULIAJI wa Chel­sea, Diego Costa, ame­onyesha kuwa anaweza kuondoka kwenye timu hiyo wakati wowote, aliposema kuwa analichukia soka...

READ MORE

Wenger: Sina Shida na Sanchez

LONDON, England KOCHA wa Arse­nal, Arsene Wenger amesema hakuna tatizo lolote kati yake na mshambuliaji wa timu hiyo, Alexis Sanchez....

READ MORE

Mkurugenzi Barca atimuliwa kisa kumkosoa Messi

Barcelona, Hispania KLABU ya Barcelona imeonyesha kuwa hakuna mtu muhimu kwenye timu hiyo zaidi ya mshambuliaji wake Lionel Messi baada...

READ MORE

Pogba: Liver Game Ngumu Kuliko Man City

KIUNGO wa Manchester United, Paul Pogba, amesema kuivaa Liverpool ni mchezo mkubwa zaidi kwa klabu yake kuliko hata ule dhidi...

READ MORE

JPM Awateua Kabudi, Bulembo Kuwa Wabunge, Mashiba Kuwa Balozi

Alhaji Abdallah Bulembo akisalimiana na Rais John Magufuli.Picha ya Maktaba  DAR ES SALAAM: Rais John Pombe Magufuli, leo Januari 16,...

READ MORE

Updates: Hatimaye Polisi Geita Wamuachia Edward Lowassa, Wataja Sababu za Kumkamata

GEITA: Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA,...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akanusha Taarifa za Kuwapo Baa la Njaa Nchini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema nchi haijakumbwa na baa la njaa na amewataka Watanzania kutosikiliza kampeni za upotoshwaji zinazofanywa na...

READ MORE

Mmoja wa Wenye Hisa Jamii Media, Mike Mushi Naye Ahojiwa na Polisi

DAR ESA SALAA: JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemhoji mmoja wa wenye hisa katika Kampuni ya...

READ MORE

Harmorapa Afungukia Uhusiano Wake na ‘Wolper Feki’

Msanii chipukizi wa Bongo Fleva anayefanana sana kwa sura na msanii kutoka WCB, Harmonize kiasi cha kubatizwa jina la ‘Pacha...

READ MORE

Nauli ya Ndege ya Bombardier kwa Dar – Dodoma Hii Hapa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (PICHANI) amezindua safari za ndege za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kutoka jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Yaliyojiri Kesi ya Bosi wa Jamii Media Mahakamani Kisutu Leo

Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media (wa pili kulia), akiwa na watu wake wa karibu aliyoambatana nao mahakamani hapo....

READ MORE

Watu 32 Wafariki Dunia Baada ya Ndege Kuangukia Nyumba Zao

KYRGYZSTAN: Watu zaidi ya 32 wamefariki baada ya ndege ya kubeba mizigo ya Uturuki, iliyokuwa safarini kutoka Hong Kong kuangukia...

READ MORE

Fanya Hivi Kuepuka Kuolewa/ Kuoa Usiyempenda!

  Mada ya leo kwenye kilinge chetu cha XXLove inazungumzia kuepuka kuolewa au kuoa mwanamke ambaye humpendi kwani ukifanya makosa...

READ MORE

Mabilionea 8 Wanamiliki Mali Sawa na Nusu ya Watu Duniani

Utafiti uliofanywa na shirika la Oxfam la Uingereza unaonesha mabilionea wanane wanamiliki mali sawa na mali ya watu 3.6 bilioni...

READ MORE

Kupata Marafiki au Wachumba Mtandaoni

   Unatafuta marafiki au wachumba? Andika neno marafiki acha nafasi andika ujumbe wako na jina lako kisha tuma kwenda namba...

READ MORE

Mgeni Rasmi Shinda Nyumba Awamu ya Pili ni Abbas Tarimba

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Sigongo (mwenye miwani) akizindua nyumba na kumkabishi mshindi, Nelly Mwangosi. DAR ES SALAAM: Mkurugenzi...

READ MORE

Dubai yamnyoosha Vera

Vera Sidika katika Pozi Vera Sidika na vazi la Baibui Dubai Over Ze Weekend: Gazeti la Ijumaa Wikienda, Toleo la...

READ MORE

Simbu Ailetea Heshima Tanzania, Ashinda Marathon India

MWANARIADHA Alphonce Simba ameipa Tanzania heshima kubwa baada ya kushinda mbio ndefu kwa wanaume (marathon) za msimu wa 14 huko...

READ MORE

Wachina Wamchizisha Costa

Makala: Gazeti la Championi, Toleo la Jumatatu, Januari 16, 2017 LONDON, England DIEGO Costa kazingua tena. Kibaya zaidi katibua wakati...

READ MORE

Flora Mbasha Achumbiwa

Flora Mbasha na Emmanuel Mbasha. STORI: MWANDISHI WETU, IJUMAA WIKIENDA DAR ES SALAAM: Siku chache baada ya kutinga mahakamani kudai...

READ MORE

Kwa Hizi Tabia, Huwezi Kujiita Mwanamme

Huwezi kujiita mwanamme kama hujui wanao wanakula nini? Huwezi kujiita mwanamme kama hujui kama nguo walizovaa wanao pesa imetoka wapi?...

READ MORE

John Kerry Atembelea Eneo Ambapo Alimuua Hasimu Vitani

   John Kerry akindamana na mwanahistoria Edward Miller Vietnam: Waziri wa Mashauri ya Nchi za Kigeni wa Marekani anayemaliza muda...

READ MORE

Mkurugenzi wa CIA Amtaka Trump Achunge Mdomo Wake

  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA), John Brennan amemuonya Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump kuwa...

READ MORE

EPL: Man U Watoa Sare ya 1-1 na Liverpool, Old Trafford

Paul Pogba akiomba msamaha baada ya kuunawa mpira ndani ya 18 na kusababisha penati iliyochezwa na James Milner aliyeifungia Liverpool...

READ MORE

Wafungwa 30 Wauawa Gerezani, Wengine Wakatwa Shingo

BRAZIL: Wafungwa zaidi ya 30 wameripotiwa kufariki dunia huku wengine wakiwa wamekatwa shingo zao kufuuatia kuzuka kwa mapigano baina ya...

READ MORE

Demu wa Kalala Junior Akumbwa na Sekeseke la Fumanizi Live

DAR ES SALAAM: Mwigizaji wa Bongo Movies, Mumy Mushi ambaye miezi kadhaa iliyopita aliripotiwa kuwa kwenye uhusiano matata wa kimapenzi...

READ MORE

Kisa John Lewis, Wabunge Democratic Wagoma Kuhudhuria Kuapishwa kwa Trump

MAREKANI: Wabunge kadhaa wa Chama cha Democratic nchini Marekani wamesema kuwa hawataudhuria sherehe za kuapishwa kwa Donald Trump kuwa rais...

READ MORE

Matokeo ya Mitihani wa Taifa Darasa la Nne 2016 Yametoka, Boya Hapa Kuyatazama

BOFYA HAPA KUTAZAMA ==>MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2016

READ MORE

Top 10 Ya Nyimbo Zinazokimbiza Maisha Basement, Kuchezwa Live leo Maisha Zote

1. Lameck Ditto – Moyo Sukuma damu 2. Darassa ft Ben Pol – Muziki 3. Mwana Fa Ft Vanessa Mdee...

READ MORE

Multichoice Yatoa Shukrani kwa Vyombo vya Habari Nchini

KAMPUNI ya Multichoice Tanzania inayouza Ving’amuzi vya DSTV, imevishukuru vyombo vyote vya habari vya hapa nchini kwa ushirikiano wao kwa...

READ MORE