×

Habari

Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Nitajirike – 6

 ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO Mwanaume yule akachukua kibegi changu na kuanza kuelekea ndani ya basi moja, sikumbuki liliitwaje. Nikaingia ndani,...

READ MORE

Serikali Yatenga Bil 7 Kukabili Saratani ya Kizazi, Matiti

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu akiongea na wakazi wa Mwanza. Rais wa Chama...

READ MORE

Meya wa West Virginia Ajiuzulu Baada ya Kufurahia Andiko Lililomfananisha Mke wa Obama na Nyani

Meya wa mji wa Clay nchini Marekani, Beverly Whaling amejiuzulu wadhifa huo  baada ya kuunga mkono maandishi yenye ubaguzi wa...

READ MORE

Jumia Market Launches Black Friday 2016 This November

  Harrieth Mgongolwa, The Marketing Manager Jumia Market Tanzania addressing the media during the launch of Black Friday. Right is Lauritz Elmshause...

READ MORE

Video: Aeleza Alivyofungwa Miaka 26 Gerezani kwa Wizi wa Saa ya Sh 200 (Part 01 & 02)

HUNA sababu ya kujilaumu na kukata tamaa kwa sababu tu, unaamini unapitia kipindi kigumu sana katika maisha yako, kuna wengi...

READ MORE

Upelelezi wa Kesi ya Scorpion Wakamilika, Kuanza Kusikilizwa Novemba 30

DAR ES SALAAM: Upelelezi wa kesi ya kudaiwa kumtoboa macho, kumjeruhi tumboni na kumpora fedha na mkufu Said Mrisho inayomkabili...

READ MORE

Baada ya Miaka 56 Akiwa Amecheza Filamu 200, Jackie Chan Anyakuwa Tuzo ya Oscar

MWIGIZAJI maarufu duniani wa michezo ya Kung-Fu, Karete na vichekesho, Jackie Chan ameshinda Tuzo ya Oscar ikiwa ni miaka 56...

READ MORE

Kigwangalla Anasa Kiwanda cha Viroba Feki, Dar

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla, akiwa ameongzana...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumanne Novemba 16, 2016 Yako Hapa

  Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumanne 16, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Rais Kabila Atangaza Kutowania Urais wa Congo DR, Aprili 2018

Rais wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Joseph Kabila, amewahakikishia raia wake kwamba ataheshimu katiba ya nchi na kwamba hatawania...

READ MORE

Lowassa Aeleza Kwanini Hakuhudhuria Misiba ya Sitta na Mungai

Dar es Salaam: Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ametoa ufafanuzi kuhusu mjadala ulioibuka kwenye mitandao ya kijamii baada ya...

READ MORE

Mbunge John Heche Anusurika Kifo Katika Ajali Morogoro

 Mbunge wa Tarime Vijijini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche leo amenusurika kifo baada ya...

READ MORE

Etihad Yatunukiwa Tuzo ya Wasafirashaji Bora Afrika

Shirika la Ndege la Etihad limeshinda tuzo ya ubora ya usafirishaji kwa daraja la kwanza na wasafirishaji bora wa mizigo...

READ MORE

Yaliyojiri Kwenye Kesi ya Lema na Mkewe Kwa Kumtukana RC Gambo

Kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema na...

READ MORE

Kituo cha Uwekezaji Kuwa Kivutio kwa Wawekezaji

KITUO cha  Uwekezaji nchini (TIC) kimetakiwa kuwa kivutio kikubwa kwa wawekezaji kwa kufanya kazi  kwa weledi  na bidii kwa kuwa...

READ MORE

Dkt. Shein Asaini Mswaada wa Sheria ya Uchimbaji Mafuta na Gesi Asilia

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein amesaini Mswada wa Sheria ya Utafutaji na Uchimbaji...

READ MORE

Serikali Yatoa Mchanganuo Fedha za Maafa Kagera, Hadi Sasa Ahadi na Fedha Taslimu ni Bilioni 12.1

SERIKALI kupitia ofisi ya Waziri Mkuu leo imetoa mchanganuo kuhusu maafa ya tetemeko la ardhi lililotokea maeneo ya kanda ya...

READ MORE

Mastaa Walivyofunika Usiku Wa Mastaa Maisha Basement

Staa wa Bongo Fleva, Pam D (wa pili kutoka kulia) akiwa na Meneja wa masoko wa Maisha Basement, Geoffrey Jilla...

READ MORE

Rais Magufuli; ‘Katiba ya Warioba’ Ndiyo Jibu!

KWA Mtanzania yeyote — hususan kiongozi wa umma — mwenye nia ya kuona furaha, uadilifu na amani vikisambaa katika nchi...

READ MORE

NACTE Yafuta Leseni ya Vyuo vya Ufundi 26

  Nacte  yafuta leseni ya vyuo vya ufundi 26 20 vyasimamishiwa programu zisizosajiliwa na baraza hilo 2 vyasimamishwa kwa kutokuwa na...

READ MORE

Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Nitajirike – 5

 ILIPOISHIA SEHEMU YA NNE “Kwa hiyo hauna ndugu?” aliniuliza. “Ndiyo! Ila nakwenda kutafuta maisha…” nilimjibu. Akanionea huruma, kiukweli macho yake...

READ MORE

Wadaiwa Sugu Bodi ya Mikopo Waanikwa… Majina Yao Bofya Hapa

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inatangaza orodha ya majina ya Wadaiwa Sugu ambao wamehitimu katika Vyuo...

READ MORE

Mfanyakazi wa Ndani ‘Amliza’ Mbunge Vitu vya Milioni 85 Ikiwemo Bastola, Risasi 23

Dar es Salaam: Mfanyakazi wa ndani wa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Angella Kizigha, Miraji Mkanga (41) amepandishwa kizimbani...

READ MORE

Red Carpet ya Usiku wa Mastaa Maisha Basement

Gigy Money katika pozi.  Lulu Diva.   Wasanii wa Kundi la Solid Ground Family.   Duma katika pozi na mrembo....

READ MORE

Trump na Putin Zimeiva, Sasa Kupiga Kazi kwa Ushirikiano

Ikulu ya Urusi imesema kwamba rais Vladimir Putin amezungumza kwa njia ya simu na rais mteule wa Marekani Donald Trump,...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumanne Novemba 15, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumanne 15, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

D’Banj Apewa Tuzo Bungeni Uingereza

MWANAMUZIKI Mnigeria ambaye amekuwa kinara wa kunyakuwa tuzo katika tasnia ya sanaa, D’Banj amepata tuzo ya Entertainment Icon Award 2016...

READ MORE

Mwijage Akaribisha Miradi Kutoka Nje

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, akizungumza na wafanyabiashara kutoka Ubelgiji. Meza kuu ilivyoonekana. Mwakilishi wa kundi la...

READ MORE

Wadaiwa Sugu Mikopo Elimu ya Juu Kuchukuliwa Hatua Kali, Wapewa Mwezi 1

Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Abdul Razaq, akizungumza na wanahabari. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Congo DR Ajiuzulu na Balaza Lake

DRC: Waziri Wkuu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Augustin Matata Ponyo, amejiuzulu na kutoa fursa ya kuteuliwa mrithi wake...

READ MORE

Kidato cha Pili Wameanza Kufanya Mitihani ya Taifa Leo

Wanafunzi wa kidato cha pili nchini wameanza kufanya mitihani yao ya upimaji leo katika shule za sekondari 4,669 zilizopo Tanzania...

READ MORE

Wazazi Wamcharanga Vibaya Mtoto Wao Mchanga Usoni!

NIGERIA: KATIKA hali isiyo ya kawaida, wazazi wa mtoto mmoja mchanga wamecharanga usoni mtoto huyo kwa kutumia kitu chenye ncha...

READ MORE

Walichokiandika Mastaa wa Bongo Katika Kurasa Zao za Instagram

Kupitia kurasa zao za Instagram mastaa mbalimbali wa hapa Bongo wakiwemo Diamond Platnumz, Wema Sepetu, Ali Kiba, Jaqueline Wolper, Shilole,...

READ MORE