×

Kimataifa

Miaka 22 Shambulio Ubalozi wa Marekani Dar, Nairobi

MWAKA 1998, Agosti 7, majira ya saa 4 asubuhi, siku ya Ijumaa katika mitaa ya Dar es Salaam na viunga...

READ MORE

Msumbiji Yadaiwa Kituo cha Wapiganaji wa Islamic State

  MAREKANI imetahadharisha kuwa makundi ya wanamgambo yameendelea na operesheni zake nchini Msumbiji katika eneo la Kaskazini la Cabo Delgado...

READ MORE

Trump: Biden Atamkasirisha Mungu

RAIS  wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa “Joe Biden anakwenda kinyume na Mungu”. Trump ameyasema hayo kufuatia kauli ya Biden ...

READ MORE

Meli ya Msumbiji Yadaiwa Kuhusika Mlipuko wa Beirut

MAMLAKA ya bandari nchini Msumbiji imekanusha madai kwamba meli yake ilikuwa imebeba mzigo uliosababisha mlipuko wa Beirut, kwa mujibu wa...

READ MORE

Mlipuko Beirut: Maandamano Yaitikisa Serikali

WAANDAMANAJI katika mji wa Beirut nchini Lebanon walikabiliana na vikosi vya usalama vya nchini humo  wakipinga serikali siku ya Alhamisi....

READ MORE

Atuhumiwa kwa Kuua Ndugu Zake Waliomtuhumu Kuiba Kuku na Redio

Mwanaume wa miaka 33, mkazi wa Lira, Uganda anashikiliwa na polisi baada ya kuwaua ndngu zake waliomtuhumu kuiba kuku na...

READ MORE

TB Joshua: Nasubiri Sauti Kutoka kwa Mungu

MCHUNGAJI maarufu wa Nigeria, Temitope Balogun Joshua maarufu kama TB Joshua,  anasema anasubiri kusikia ‘sauti ya Mungu’ kabla hajafungua huduma...

READ MORE

Botswana Yapiga Marufuku Pombe Kuuzwa

SERIKALI ya Botswana imepiga marufuku uuzwaji wa pombe na kusimamisha leseni za wauzaji wote wa vinywaji. Marufuku hiyo itaendelea mpaka...

READ MORE

Updates: Mlipuko Lebanon Vifo Vyaongezeka

BAADHI ya maafisa wa mji wa Beirut nchini Lebanon wamewekwa katika kifungo cha nyumbani huku wakisubiri uchunguzi kuhusu mlipuko mkubwa...

READ MORE

Mfahamu Zaidi Sarafina

MUVI ya SARAFINA ni moja ya muvi au sinema maarufu sana Afrika na dunia nzima iliyoigizwa mwaka 1992 kwa ushirikiano...

READ MORE

Kikongwe Miaka 74 Anaswa Akisafirisha Mabaki ya Mumewe

POLISI  katika uwanja wa ndege wa Munich nchini Ujerumani wamepigwa na mshangao mkubwa wakati wakichunguza sanduku la mbao lililokuwa linasafirishwa...

READ MORE

Rais Lebanon Aapa Kumpata Aliyeilipua Beirut

SALAMU  za rambi rambi kwa watu wa Lebanon zimetumwa kutoka sehemu mbalimbali duniani, akiwemo jirani yaake, Israel, ambaye amesema haraka...

READ MORE

Makamu wa Rais awa Waziri wa Afya

MAKAMU wa Rais wa Zimbabwe, Constantino Chiwenga,  amechaguliwa kuwa Waziri wa Afya, mwezi mmoja baada ya kuibuka kwa kashfa dhidi...

READ MORE

Mama Ajifungua Mapacha Watano

Mwanamke mmoja jijini Mogadishu, Somalia amejifungua watoto watano kwa mpigo. Mama na watoto wake wote wanaendelea vizuri japo bado wamelazwa...

READ MORE

Mfalme Atoweka Nchini, Apotelea Kusikojulikana

MFALME wa zamani wa Uhispania, Juan Carlos, ameamuwa kuihama nchi yake katika uamuzi wa aina yake unaolenga kuunusuru ufalme baada...

READ MORE

Ndege ya kwanza ya Rwanda Yatua Tanzania

Ndege ya kwanza ya shirika la ndege la Rwanda imeanza safari zake nchini Tanzania kwa kutua kwenye uwanja wa ndege...

READ MORE

COVID-19: Wagonjwa Corona Sauz Laki 5, Yawa ya 5 Duniani

WAZIRI wa Afya wa Afrika Kusini, Zwelini Mkhize,  amesema maambukizi ya COVID-19 nchini humo yamefikia watu 503,290 baada ya visa...

READ MORE

Papa Benedict wa 16 Aripotiwa Mahututi

KIONGOZIMkuu wa zamani wa Kanisa Katoliki, Papa Benedict XVI, anaripotiwa kuwa mgonjwa mahututi baada ya kumtembelea kaka yake aliyekuwa mgonjwa...

READ MORE

Waziri Atimuliwa Kwa Kufanya Ngono Kwenye Video

RAIS  wa Zambia, Edgar Lungu, amemfukuza kazi Waziri wa Elimu nchini humo, David Mabumba, baada ya kuvuja kwa video ya...

READ MORE

Marekani Yasema Tanzania Ni Salama Kutembelea

IDARA ya Ushauri wa Afya ya Marekani imeitaja nchi ya Tanzania kuwa ni miongoni mwa nchi salama ambazo wananchi wake...

READ MORE

Marekani Yatishia Kuifungia TikTok Kisa Ofa ya Microsoft

RAIS wa Marekani, Donald Trump,  amesema kuwa atazuia mtandao wa TikTok usitumike nchini humo kufuatia kampuni ya China inayomiliki mtandao...

READ MORE

Orodha ya Wachezaji Wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora

Orodha ya wachezaji 30 wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msimu wa 2019/2020 itakayotolewa Agosti 7, 2020.    ...

READ MORE

Marekani: Trump Asema Uchaguzi wa Urais Uahirishwe

DONALD TRUMP  ametoa wito kuwa uchaguzi wa rais utakaofanyika Novemba mwaka huu uahirishwe akidai kuongezeka kwa upigaji kura kwa njia...

READ MORE

Kenya Yaruhusu Ndege Nchi 11, Tanzania Haimo

IKIWA siku kadhaa kabla ya kuanza kwa safari za ndege kimataifa, serikali ya Kenya imetangaza mwongozo mpya kuhusu hatua hiyo....

READ MORE

Marekani: Spika Pelosi Aamuru Wabunge Kuvaa Barakoa

SPIKA wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi, ameamuru kuwa wabunge na wafanyakzi wote wa chombo hicho watapaswa kuvaa barakoa katika...

READ MORE

India Yanunua Ndege 5 za Kivita Ikiihofia China

JESHI la India limepokea ndege tano za kivita aina ya Rafale huku kukiwa na wasiwasi mkubwa kati yake na China....

READ MORE

Daktari Mweusi Mwenye Dawa ya Corona Inayomkuna Trump

STELLA IMMANUEL ni daktari ambaye amekuwa chanzo cha mkanganyiko kuhusu madai ambayo hayajathibitishwa kuhusu dawa ya malaria kuwa na uwezo...

READ MORE

Wakurugenzi Apple, Facebook, Amazon na Google Kuhojiwa

Mark Zuckerberg (Facebook), Jeff Bezos (Amazon), Tim Cook (Apple) na Sundar Pichai (Google) watahojiwa na Bunge kuhusu wanavyokabiliana na taarifa...

READ MORE

Trump Akomalia Hydroxychloroquine Kutibu COVID-19

RAIS wa Marekani, Donald Trump kwa mara nyingine ametetea matumizi ya hydroxychloroquine kupambana na virusi vya corona,  jambo ambalo limewachanganya...

READ MORE

China Yasimamisha Ushirikiano wa Hong Kong na Canada, Australia & Uingereza

CHINA imetangaza kuwa inasimamisha mkataba wa kubadilisha wahalifu kati ya kisiwa chake cha Hong Kong na mataifa ya Canada, Australia...

READ MORE

Serikali Yafafanua Ndege ya Kenya Kushindwa Kutua Tanzania

UBALOZI wa Tanzania nchini Kenya umekanusha taarifa kuwa ujumbe rasmi uliomwakilisha Rais Uhuru Kenyatta katika msiba wa Rais Mstaafu Benjamin...

READ MORE

Corona Kenya: Vifo, Wagonjwa Waongezeka

IDADI ya watu waliofariki kutokana na ugonjwa wa Covid-19 nchini Kenya inakaribia 300 kulingana na takwimu zilizotolewa na serikali Jumanne....

READ MORE

Waziri Mkuu Jela Miaka 12 kwa Ufisadi

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak, amekutwa na hatia katika mashtaka saba ya ufisadi yaliyokuwa yakimkabili na kuhukumiwa...

READ MORE

Mwalimu Aacha Kazi, Awa Hausigeli

MACRINE OTIENO, aliyekuwa mwalimu katika shule ya msingi binafsi ya Chrives Royal jijini Nairobi, sasa amelazimika kufanya kazi ya ujakazi...

READ MORE

Rais Kenyatta: Kenya Tusijilinganishe na Wanayoficha Taarifa za COVID-19

Rais Uhuru Kenyatta amesema Wakenya hawatakiwi kujilinganisha na mataifa yasiyo uhuru wa habari na ambayo yamekuwa hayatangazi taarifa za CoronaVirus....

READ MORE

IMF Yaipa A. Kusini Dola Bil. 4.3 Kupambana na Corona

SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF) limeidhinisha mkopo wa Dola za Marekani Bilioni 4.3 kwa Afrika Kusini ili kuiwezesha nchi hiyo...

READ MORE

Kim: Silaha za Nyuklia Nitazuia Vita Nyingine

KIONGOZI wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un amesema hakutakuwa tena na vita kwa sababu silaha zake za nyuklia zitahakikisha ulinzi...

READ MORE

Bunge la Somalia lamtimua Waziri Mkuu

  BUNGE la Somalia limepiga kura jana Jumamosi ya kumwondoa kwenye wadhifa wake Waziri Mkuu, Hassan Ali Khayre, ambaye ameendelea...

READ MORE

Msemaji wa Serikali Akutwa na Virusi vya Corona

Msemaji wa Serikali ya Kenya, Cyrus Oguna amethibitisha kuwa na virusi vya Corona baada ya kufanya vipimo na kupatikana na...

READ MORE

DRC: Miili 37 ya Watu Waliouawa Yagunduliwa

TAKRIBANI miili 37 ya watu waliokufa imegunduliwa hivi punde huko Pinga na viunga vyake, katika eneo la Walikale, katika mkoa...

READ MORE