×

Kitaifa

JPM: Mumeo Aliyefukuzwa Akatafute Kazi Nyingine – Video

RAIS John Magufuli, amemshauri mwanamke aliyedai kuwa mume wake alikuwa ni askari magereza na alifukuzwa kazi baada ya kusingiziwa kwamba...

READ MORE

Mbunge Amkomalia Magufuli Aongezewe Muda Madarakani

MBUNGE wa Makambako (CCM), Deo Sanga, jana Jumatano Februari 3, 2021, amerudia kauli yake ya kutaka Rais John Magufuli aongezewe...

READ MORE

JPM: Mkuu Wenu Alimtumia Mkewe Kutengeneza Sare za Askari

Rais Dkt. John Pombe amesema amefurahishwa na Jeshi la Magereza ambalo alikuwa amezoea kila siku kukuta mambo ya kukuudhi lakini...

READ MORE

Majaliwa Atoa Maagizo kwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya – Video

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ametoa agizo kwa wakuu wa mikoa na makatibu tawala wa mikoa kuhakikisha watumishi waliopaswa kuhamia katika...

READ MORE

Mbunge CHADEMA Amuomba JPM Kufuta Kesi Zote za Uchaguzi 2020

Mbunge wa viti maalum wa kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Nusrat Hanje amemuomba Rais Dkt. John Magufuli kuzifuta...

READ MORE

EWURA Yatangaza Kupanda kwa Bei ya Mafuta

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza ongezeko la bei ya mafuta ya Petroli na Dizeli...

READ MORE

Mwalimu Afukuzwa Kazi kwa Wizi wa Mitihani

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU, imemfikisha Mahakamani mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Orkitikiti, Kijiji cha Engong’ongare...

READ MORE

Kortini Kukutwa na Meno ya Simba, Tembo

WATU wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa mashtaka mawili likiwemo la kukutwa...

READ MORE

Waliocharazwa Bakora na Naibu Waziri ‘Kushtaki’ Mahakamani

Wakili Mwandamizi Anthony Nasimire katika hotuba yake ndani ya wiki ya Sheria amesema vitendo vya hivi karibuni vya Viongozi kuwatandika...

READ MORE

Wanaume Kusikiliza Malalamiko ya Wanaume Kupigwa

Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, imetakiwa kuweka utaratibu Wataalam Wanaume ili kupokea na kusikiliza malalamiko ya Wanaume wanaopigwa na...

READ MORE

Wakulima Kupiga Simu Bure

Akiwa Bungeni Dodoma, Naibu Waziri wa #Kilimo, Hussein Bashe amesema wapo kwenye hatua za mwisho za kuanzisha Kituo cha Huduma...

READ MORE

Spika Azitaka Kamati za Bunge Kutofanya Kazi kwa Mazoea

Spika Job Ndugai amezitaka Kamati za Kudumu za Bunge kuacha kufanya kazi kwa mazoea na kubweteka huku zikiamini muda bado...

READ MORE

Anaswa Akimiliki Kiwanda cha Kutegenezea Silaha za Moto

  Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia, Shabani Athumani (61) mkazi wa Kwamakocho, Chalinze akituhumiwa kumiliki kiwanda cha kutengenezea...

READ MORE

Mbunge CCM Adai Shule Imegeuka Makazi ya Ngedere, Nyani

MBUNGE wa Ulyankulu (CCM), Rehema Migila amesema Shule ya Sekondari ya Isike iliyopo kata ya Igombe mkoani Tabora nchini Tanzania...

READ MORE

Tume Yabaini Chanzo cha Kifo cha Dereva wa Lori Mbeya

  Tume ya watu saba iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila kuchunguza kifo cha dereva wa lori...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Wagonjwa wa Corona Dar

  KATIBU MKUU Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Mabula Mchembe amewataka Wananchi kupuuza taarifa...

READ MORE

Lina wa Dar Ahukumiwa Miaka 30 Jela Kwa kusafirisha Dawa Za Kulevya, Wawili Miaka 20

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu mkazi wa Tabata, Lina Muro kwenda jela miaka 30 baada ya kutiwa hatiani kwa...

READ MORE

Kigogo Chama cha Wafanyakazi Kortini kwa Tuhuma za Utakatishaji Fedha

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imemfikisha mahakamani aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Uhasibu katika Chama cha Wafanyakakazi...

READ MORE

Tanzia: Mzee Yusuf Afiwa na Baba Yake Mzazi

MSANII mkongwe wa muziki wa taarab nchini, amepata pigo la kuondokewa na baba yake mzazi, Yusuf Mzee,  kilichotokea leo, Jumanne...

READ MORE

Polisi Yawasaka Waliohamasisha Mgomo wa Madereva

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawatafuta kwa mahojiano viongozi wa chama cha madereva wa mabasi...

READ MORE

JPM Ampa Maagizo Mazito Mwigulu – Video

  RAIS  John Magufuli ameitaka Wizara ya Katiba na Sheria kuhakikisha Kiswahili kinatumika katika kesi na hukumu za mashauri mbalimbali...

READ MORE

Wabunge 19 Waliotimuliwa Chadema Watua Bungeni – Video

WABUNGE 19 wa viti maalumu wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la...

READ MORE

Serikali Yapeleka Kivuko cha Bilioni 5.3 Mafia Nyamisati

Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), leo imerejesha furaha na matumaini kwa wakazi wa Mkoa wa Pwani...

READ MORE

Ahukumiwa Kutokunywa Pombe kwa Miezi 12

  Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imemuachia huru Boniphace Kachila, mkazi wa Kijiji cha Kiyungwe, Kasulu mkoani humo kwa sharti...

READ MORE

Treni ya Mwendokasi Dar – Moro Kuanza Mwaka Huuu

  UJENZI wa Reli ya Kisasa ya Umeme (SGR) kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, kinatarajiwa kukamilika na...

READ MORE

Prof. Lipumba: JPM Tuachie Katiba Mpya – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amemweleza Rais John Magufuli kuwa vipo viporo vyote alivyoahidi mwaka 2015...

READ MORE

Gwajima Afungukia Kupokea Kinga ya Corona, Ataja Dawa Zilizothibitishwa – Video

WIZARA ya Afya nchini imesema kufuatia kuwepo taarifa za mlipuko wa pili wa corona katika nchi jirani, imekuwa ikipokea maswali...

READ MORE

JPM Ampandisha Cheo Jaji Aliyeandika Hukumu Kiswahili – Video

RAIS  John Magufuli amepandisha cheo Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, Zephrine Galeba, aliyeandika hukumu kwa lugha ya Kiswahili...

READ MORE

Majaliwa Aipa CEOrt Mbinu Kuvuna Watendaji Wakuu Wazawa

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Jukwaa la Taasisi ya Wakurugenzi na wamiliki wa makampuni binafsi nchini (CEOrt)...

READ MORE

Binti Akiri Kudanganya Kubakwa, Mtuhumiwa Afungwa Jela Miaka 60

BINTI Maria Sanga (20), mkazi wa kijiji cha Kilingi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, ameamua kuiangukia Serikali kutengua hukumu kwa...

READ MORE

Bibi Auawa na Mchunga Ng’ombe Wake Ili Arithi Mali

  ANTONIA JITINDE (62) aliyeishi katika kijiji cha Zawa, Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, hakuwahi kuhisi kuwa ngo’mbe 25 na...

READ MORE

Baba, Mtoto Wanaswa Wakituhumiwa Kuuza Dawa za Serikali

MTEGO uliowekwa na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMD) Kanda ya Kusini umefanikiwa kumnasa Jamaly Sad na mtoto...

READ MORE

Breaking: Lori Lagonga Treni Vingunguti Dar

  Shirika la Reli Tanzania (TRC) limethibitisha kutokea kwa ajali ya treni leo alfajiri eneo la Vingunguti, Dar es Salaam...

READ MORE

Rais JPM Awapa Mwezi Mmoja Wakuu wa Mikoa, Wilaya – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amewataka wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kote nchini...

READ MORE

Wanawake Arusha Waandamana Kisa Mauaji ya Mwenzao

JESHI la Polisi mkoani Arusha jana jioni lilitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanawake waliokuwa wakiandamana na kufunga barabara wakizuia kuzikwa...

READ MORE

Mico Halal Kusimamia Vitoweo Vya Nyama Kuwa Sehemu Salama

TAASISI ya Mico Halal International Bureau imeleta neema mpya kwa walaji wa nyama ambapo sasa itasimamia machinjio yote nchini kuhakikisha...

READ MORE

Mashabiki Wa Simba, Mazembe Wapewa Tiketi Bure Na Spoti Xtra

TIMU ya Masoko kutoka Kampuni ya Global Group kambao ni wachapishaji wa magazeti namba moja kwa habari za michezo kupitia...

READ MORE

Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Elimu Kufanyika Aprili

  MKUTANO wa Kimataifa wa elimu bora unatarajia kufanyika Tanzania jijini Dar es salaam kuanzia Aprili 20 hadi 22, 2021 huku...

READ MORE

Mwalimu Atuhumiwa Kumtwanga Bakora Mtoto Mpaka Kuzirai

Mwalimu wa shule ya Sekondari Bupandwa iliyoko Halmashauri ya Buchosa Wilaya Sengerema Mkoa wa Mwanza Sara obby anatuhumiwa kumcharaza viboko...

READ MORE

Meridian Bet Yamshika Mkono Mama Anayeteseka na Mtoto

    IKIWA ni siku chache baada ya kipindi cha GLOBALJAMII kinachoruka kupitia GLOBAL TV ONLINE kufanya kipindi na mama...

READ MORE