×

Kitaifa

Zitto Ajilipua: “Nimesaini Kufa, Siogopi – Video

Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Jana Jumatatu...

READ MORE

Zitto Kabwe Achukua Fomu

Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe leo Februari 18, jijini Dar es Salaam amechukua fomu ya kuomba kugombea...

READ MORE

Watoto Wafariki kwa Kujipikia Chakula Chenye Sumu

WATOTO wawili wamefariki dunia huku wengine 11 wakipelekwa hospitali baada kula vitafunwa mfano wa hamri vinavyosadikiwa kuwa na sumu nchini...

READ MORE

Mama Amchoma Moto Mwanae wa Kumzaa, Kisa Kitakushangaza – Video

MWANAMKE mmoja aliefahamika kwa jina la Agatha Julius (21), anatuhumiwa kumfanyia ukatili wa kutisha kwa kumchoma moto mwanae wa kumzaa...

READ MORE

Katibu Mkuu Chadema, Dkt. Mashinji Atimkia CCM – Video

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chadema, Dkt. Vicent Mashinji,  amekihama chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Jumatatu, Februari...

READ MORE

Kitoto Kichanga Chatupwa Kichakani

MTOTO wa siku moja mwenye jinsia ya kike, amekutwa ametupwa kwenye kichaka [akiwa amefariki ]katika kata ya mlimba, tarafa ya...

READ MORE

Amber Rutty Yamkuta Tena, Aburuzwa na Polisi Akiwa Mtupu – Video

AKIWA bado anakabiliwa na kesi mahakamani, msanii Amber rutty, amekutwa na mazito baada ya aliekuwa mpenzi wake, Said Mtopali akiwa na...

READ MORE

Lema Awatibua Polisi, Wampa Onyo ‘Kaa Mbali Kabisa’ – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha, ACP Jonathan Shana,  amemkanya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, kuacha tabia ya kupenda...

READ MORE

Breaking News: Moto Wateketeza Maduka Tegeta-Nyuki Dar

MADUKA saba katika soko la Tegeta-Nyuki Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam yameteketea kwa moto leo asubuhi Februari 18,...

READ MORE

Balaa la Lukuvi Lamkumba Ofisa Aliyetajwa na JPM

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Lukuvi, amemsimamisha kazi ofisa ardhi wa Wilaya ya Kigamboni ambaye...

READ MORE

Wananchi Chumbuni Zanzibar Wanufaika na Gari La Kubeba Wagonjwa

  Mbunge wa jimbo la Chumbuni Ussi,  Salum Pondeza amesema wakati wanaingia madarakani miaka mnne liyopita katika jimbo hilo kulikuwa...

READ MORE

NMB Kuhakikisha Mkoa wa Songwe Unakuwa Kiuchumi Kupitia Uwekezaji

      WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Angela Kairuki amewata wawekezaji wa ndani na nje ya...

READ MORE

Mageuzi Makubwa Yaliyofanywa na DCB

  KATIKA kuhakikisha wazazi na walezi wanakuwa na uhakika wa elimu ya watoto wao, Benki ya Biashara ya DCB imeongeza...

READ MORE

Wasomaji wa Gazeti la Championi, Mbezi Mwisho, Goba Wajinyakulia Mtonyo wa Mr. Championi

  IKIWA ni mwezi mmoja sasa umetimia tangu Gazeti namba moja la Michezo na Burudani Tanzania la Championi kuingia mtaani...

READ MORE

GSM  Wazindua Shoexpress Dodoma

KAMPUNI ya GSM Group jana  Februari 14, mwaka 2020, ilizindua duka kubwa la kuuza viatu vya kisasa na vyenye ubora...

READ MORE

Serikali Yamsaka Nabii Anayejitangaza Kugundua Tiba ya Corona

SERIKALI  imemuonya vikali mtu anayejiita Nabii Namba Saba ambaye jina lake halisi ni Mosses Mollel kuwa itamchukulia hatua kali iwapo...

READ MORE

Kijiji Chawatimua Watatu kwa Uchawi

WANANCHI wa kijiji cha Mahulu wilayani Makete mkoani Njombe, wamewatimua kijijini hapo wananchi watatu waliopigiwa kura nyingi wakiwatuhumu kuwa ni...

READ MORE

Mgambo Atokomea na Milioni 17 za Ushuru

Mgambo mmoja aliyekuwa akikusanya fedha za ushuru wa maegesho ya malori Igunga Mjini mkoani Tabora, Peter Areray amekimbia na fedha...

READ MORE

Dada wa Marehemu Balali Azidi Kusota Rumande

DADA wa aliyekuwa Gavana wa Banki Kuu, marehemu Daudi Balali, Elizabeth Balali (54) anayekabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi, anaendelea...

READ MORE

Ruvuma: Wanafunzi Watano Waliogongwa na Gari Wazikwa

WANAFUNZI watano wa shule ya msingi Ndelenyuma, Ruvuma, waliofariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya kugongwa na Land Cruiser juzi...

READ MORE

Amchinja Mkewe Mjamzito Siku ya Kupatana

ANTHONY ASENGA (33) mkazi wa Kijiji cha Mrere wilayani Rombo, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya mkewe, Happiness...

READ MORE

Prof. Ndalichako Atoa Rai Kwa Watendaji Wa Wizara Yake Kusimamia Vizuri Fedha za Miradi

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ametoa rai kwa watendaji wa Taasisi zilizo chini ya Wizara...

READ MORE

Rugemalira Acharuka Kortini, Atoa Notisi kwa Taasisi Tisa – Video

  Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira amewasilisha notisi kwa taasisi tisa...

READ MORE

Exim Bank Yachangia Mil. 25 Vitanda vya Wanafunzi Arusha

  Benki ya Exim Tanzania imechangia kiasi cha Sh milioni 25 kwa ajili ya ununuzi wa vitanda pacha (double deckers)...

READ MORE

Maendeleo Bank Plc, Airtel Money na FSDT Waungana kuzindua Timiza Biashara

  Maendeleo Bank Plc leoimetangazakuunganana Airtel Money pamojana FSDT kwakuzinduakampeniya Timiza Biashara ambayoinalengakusaidiavikundividogovidogovyawajasiriamalimaarufukama Vicoba ilikuwezakuwekaakibapamojanakukopakwanjiayakidigitali (Kimtandao) zaidi.   MkurugenziMtendajiwa Maendeleo...

READ MORE

44 Waambukizwa Corona Meli, Abiria Wazuiwa Kutoka

WIZARA ya Afya ya Japan imethibitisha kuongezeka kwa watu wengine 44 wenye virusi vya Corona ndani ya meli ya Diamond...

READ MORE

KOIKA, Exim Bank Waipiga Jeki  Shule Ya Mrisho Gambo

Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo Korea (KOICA )limetoa msaada wa wataalamu 10 waliobobea katika masomo ya Sayansi na TEHAMA, kwa...

READ MORE

Madiwani Watano wa Zitto Watimkia CCM – Video

Madiwani watano wa Chama cha ACT Wazalendo kinachoongozwa na Zitto Kabwe, wamejiuzulu nyadhifa zao zote katika chama hicho na kuomba...

READ MORE

Moto Wateketeza Vibanda 65 vya Machinga Mwanza

VIBANDA zaidi ya 60 vya Wamachinga vimeteketea kwa moto mkubwa uliozuka majira ya saa 9 alfajiri leo Jumatano, Februari 12,...

READ MORE

NMB Yakabidhi Vifaa Tiba, Madawati ya Sh. Milioni 35 Kanda ya Magharibi

    KATIKA kuhakikisha inasaidia na kutatua baadhi ya changamoto zinazoikumba Sekta ya Afya na Elimu Mkoani Shinyanga, Benki ya...

READ MORE

Serikali Yamuomba Kabendera

KESI ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwanadishi wa Habari za Uchunguzi, Erick Kabendera, jana Februari 11, 2020 iliendelea kusikilizwa katika Mahakama...

READ MORE

Jaji Warioba Azungumzia Kinachoendelea CCM, Ataja Katiba Mpya

Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema yanayotokea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa sasa si kitu kipya, na...

READ MORE

Mkapa na Kikwete Wawasili Kenya Kumzika Rais Moi

  MARAIS wastaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete ni miongoni mwa wageni mashuhuri, watakaoshiriki mazishi ya kitaifa ya...

READ MORE

JPM Amfuta Kazi Aliyechana Quran – Video

RAIS  John  Magufuli amemfukuza kazi kijana aliyechana kitabu kitakatifu cha Quran mkoani Morogoro, Daniel Maleki,  na amemuagiza Waziri was Tamisemi,...

READ MORE

Makonda: Mkajiandikishe Siku ya Wapendanao – Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza kuanzia Februari 14 hadi 20, 2020, uhuishwaji wa Daftari la kudumu la Wapiga...

READ MORE

RC Mghwira Athibitisha Nzige Kuonekana Kilimanjaro – Video

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira, amesema kundi la nzige limeonekana jana Jumapili Februari 09, 2020 Wilaya ya Moshi...

READ MORE

Moi Alivyoitawala Kenya Miaka 24 kwa Mkono wa Chuma

MAPEMA wiki iliyopita rais wa pili wa Kenya, Daniel Arap Moi, ameaga dunia. Kifo chake kilitangazwa na Rais Uhuru Kenyatta,...

READ MORE

Rais Magufuli Kuzindua Wilaya ya Kigamboni Kesho – Video

Rais Dkt. John Pombe Magufuli kesho February 11 kuanzia Saa Mbili Asubuhi anatarajiwa Kuzindua Rasmi Wilaya Mpya ya Kigamboni ambapo...

READ MORE