×

Kitaifa

Simba Wamlilia Shabiki Wao Aliyejinyonga

Baada ya Taarifa kusambaa kuwa Kijana Khalfan Mwambena (17) mkazi wa Jijini Mbeya na Shabiki kindaki ndaki wa Simba kusambaa...

READ MORE

Bashe Aagiza Aliyekamatwa na Kiwanda Bubu cha Mawese Asaidiwe

BAADA ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kufanya msako mkali na kufanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Halifani Issa (42)...

READ MORE

Wafahamu Wanayama ‘Big Five’ Wanaopatikana Hifadhi ya Serengeti

KWA muda mrefu Tanzania imeendelea kusifi ka duniani kwa kuwa na utajiri mkubwa wa vivutio vya utalii ambavyo hapa nchini...

READ MORE

Sabaya Awakana Mashahidi wa Jamhuri

MSHITAKIWA Lengai ole Sabaya anyekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi amepanda kizimbani kutoa utetezi dhidi ya tuhuma hizo ambapo amewakana...

READ MORE

Amuuwa Mkewe Mjamzito Kisha Kumchoma Moto

MWANAMKE mmoja mkazi wa kijiji cha Ilanga kata ya Mlale wilayani Ileje mkoani Songwe, Subira Kibona(16) amefariki dunia baada ya...

READ MORE

Meseji za Mbowe Akisaka Makomando wa JWTZ Zasomwa Mahakamani

JUMBE fupi za maneno (meseji), zinazodaiwa kuwa za Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na baadhi ya washtakiwa wenzake, katika kesi...

READ MORE

Kijana Ajinyonga Kwenye Goli Akiwa na Nguo ya Ndani za Kike

Tyson Kilasi (32) mkazi wa Kijiji cha Mawindi halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe, amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwenye...

READ MORE

Rais Samia Aweka Historia Maji kufika Kisiwa cha Jibondo – Mafia

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amezindua Mradi wa Maji wa Kisiwa Kidogo Cha Jibondo Wilayani Mafia Mkoa wa...

READ MORE

Dodoma: Mabasi ya Abiria Kusindikizwa na Polisi

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma amesema kuanzia kesho mabasi ya abiria kutoka mkoani humo kwenda mikoa mingine yatakuwa yanasindikizwa...

READ MORE

Mlinzi Mbaroni kwa Kumpiga Risasi Bodaboda

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya Panolama Bw. Elizeus Gabriel kwa tuhuma za kumuua...

READ MORE

Mlinzi Soko la Karume Asimulia Kila Kitu Alichokiona

KUFUATIA tukio la usiku wa kuamkia Jumapili, Januari 16, 2022 la soko la wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga maeneo...

READ MORE

Serikali Imekana Kuchoma Soko Karume

MNAMO usiku wa kuamkia Jumapili ya Januari 16, 2022 soko la wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga maeneo ya Mchikichini...

READ MORE

Tetemeko Lazua Taharuki Dodoma

Taasisi ya Jeolojia na Utafiti wa Madini (GST) imesema tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5.5 katika kipimo cha richter...

READ MORE

Zimamoto: Taarifa za Soko la Karume Zilichelewa

Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto mkoa wa Ilala Elisa Mugisha, amesema kwamba taarifa za kuungua kwa soko la Karume...

READ MORE

Mchumba wa Sabaya Aanika Walivyovamiwa Hotelini

Shahidi wa pili wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na wenzake, Jesca Thomas ameieleza mahakama...

READ MORE

Mvua Kubwa Kunyesha Siku Tatu Mfululizo

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la uwepo wa mvua kubwa itakayonyesha hii leo Januari 17, 2022,...

READ MORE

Breaking: Ajali Yaua watau Dodoma

Watu watatu wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa katika ajali basi iliyotokea katika eneo la panda mbili wilayani Kongwa mkoani...

READ MORE

Mhitimu Kidato cha Nne Ajiua

Mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2021 Shule ya Sekondari Serengeti mkoani Mara Lucas Thomas (17) amekutwa amejinyonga kwa kamba...

READ MORE

Kimenuka! Mabomu ya Machozi Yarindima Dar

Polisi mkoani Dar es Salaam wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanyabiashara wa soko la Karume (Mchikichini) ambao wameandamana na kufunga...

READ MORE

Mwanaume Adaiwa Kumuoa kwa Nguvu Binti wa Miaka 14

Jeshi la Polisi mkoani hapa linamshikilia Mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Loswaki wilaya ya Simanjiro aliyejulikana kwa jina Lalahe...

READ MORE

Wasakwa kwa Kuchana Quran

WATU kadhaa wanaotuhumiwa kuchana kitabu kitukufu cha Dini ya Kiislam, (Quran) hadharani katika maeneo ya Pandani-Mtemani Mkoa wa Kaskazini-Pemba wanasakwa...

READ MORE

Sita Wanusurika Kifo Gesti Ikiteketea Moto Arusha

Watu sita wamenusurika kifo baada ya nyumba ya kulala wageni ‘gesti’ iliyopo Maji ya Chai wilayani Arumeru mkoani Arusha kuteketea...

READ MORE

Shule 10 Bora Matokeo ya Kidato cha Pili

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) leo Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha...

READ MORE

Wanafunzi 10 Bora Kidato cha Pili

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) leo Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha...

READ MORE

Breaking News: NECTA Yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) leo Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha...

READ MORE

Majonzi: Baba Aliyechinjwa na Mwanaye Mwanajeshi Azikwa – Video

MWILI wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM), Edward Ndonde anayedaiwa kuuawa kikatili...

READ MORE

Airtel yaeleza miamala ya Mbowe mahakamani

MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imepokea taarifa za miamala na usajili...

READ MORE

Mbaroni kwa Kuiba Scania

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za wizi wa gari (Scania) , gari hilo limekamatwa...

READ MORE

Zuhura Yunus Aondoka BBC Baada ya Miaka 14

Mtangazaji mashuhuri wa BBC Zuhura Yunus anaondoka katika shirika hilo baada ya kulitumikia kwa takriban miaka 14 .   Zuhura...

READ MORE

Mwijaku Achukua Fomu ya Uspika

Mtangazaji wa CloudsFM kipindi cha LEO TENA na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Burton Mwemba maarufu kwa jina la...

READ MORE

Rasmi! GGML Kuanza Kutumia Umeme wa TANESCO

MKUU wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule amesema mpango wa kuunganisha umeme wa gridi ya taifa kuelekea katika mgodi wa...

READ MORE

Mfahamu Binti Mdogo Aliyechukua Fomu ya Uspika

Mkazi wa Temeke, Ester Makazi amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa...

READ MORE

100 ‘Walamba’ Mil. 10/- za Wiki ya Pili NMB MastaBata

KAMPENI ya ‘NMB MastaBata – Kivyako Vyako’, inayoendeshwa na Benki ya NMB imeezidi kushika kasi ambako wateja 100 wa Benki...

READ MORE

Timu Yapata Ajali Zambia

Timu ya Quattro Kalumbila FC inayoshiriki Ligi daraja la kwanza nchini Zambia imepata ajali asubuhi ya leo January 13, 2022...

READ MORE

Afghan: Mawasiliano ya Simu Kupatikana Saa 7 kwa Siku

Taliban ambao wanaendelea kuiongoza Afghanistan wameweka sheria kali za matumizi ya simu kwa watu wa Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo...

READ MORE

Tanzia: Steve Moyo Mchongi Afariki Dunia

Taarifa za kuaminika zilizotufikia hivi punde zinasema, Mtangazaji nyota wa vipindi vya michezo kutoka kituo cha Redio Free Afrika, Steve...

READ MORE

Samia Ampa Kazi Hii Lukuvi – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan, amempa jukumu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe William Lukuvi la kuunganisha...

READ MORE

Samia: Kama Humpendi Samia Mheshimu Mungu Wako – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka mawaziri na manaibu waziri aliyowateua hivi karibuni kufanya kazi kwa kushirikiana badala ya malumbano na...

READ MORE

Odinga Kuanza ‘Kuiteketeza’ Ngome ya Kenyatta

Kiongozi Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga, Jumamosi, Januari 15, atakuwa katika kaunti ya Kiambiu kuzindua rasmi kampeni za...

READ MORE

Mwanajeshi Adaiwa Kumuua Baba Yake Kikatili

JESHI la Polisi mkoani Mbeya limethibitisha kutokea mauaji ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi...

READ MORE