×

Kitaifa

Luteni Urio Awa Mbogo kwa Kibatala Baada ya Kudai Yuko Kizuizini

SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Luteni Denis...

READ MORE

Rais Samia Uledi Mussa Kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TRA

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Uledi Abbas Mussa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kipindi...

READ MORE

Amuua Mama Yake Mzazi Kisa Anamdai Laki 3

JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma linamshikilia kijana Herman John kwa tuhuma za kumuua mama yake kwa kumpiga na mpini...

READ MORE

Mwanza: Dereva Tax Auawa na Kutobolewa Macho

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za mauaji ya dereva taksi aliyekuwa anajulikana kwa jina la...

READ MORE

Mtia Nia Uspika: Nitawanunulia Wabunge Magari Mazuri, Nitaongeza Posho

Mgombea wa Kiti cha Spika katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kunje Ngombale Mwiru kutoka chama cha Sauti...

READ MORE

Dkt. Tulia: Bunge ‘Halitamezwa’ na Serikali

ALIYEKUWA Naibu Spika Dk Tulia Ackson na mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kiti cha Uspika wa Bunge la...

READ MORE

Hawa ndio Maspika Waliowahi Kuliongoza Bunge la Tanzania

Aloyekuwa Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson ameapa kuwa spika wa nane wa Bunge hilo tangu uhuru...

READ MORE

#UchaguziWaSpika: Mtia Nia Awaacha Hoi Wabunge

WAKATI wabunge wakiendelea kusikiliza hoja za watia nia wanaowania kurithi mikoba ya Job Ndugai, Bungeni jijini Dodoma, Ndonge Said Ndonge,...

READ MORE

ATCL Yapewa Maagizo Bei za Tiketi

NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Atupele Mwakibete ameitaka idara ya Masoko ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) kufanya...

READ MORE

Moto Wateketeza Soko la Mbuyuni Kilimanjaro

MOTO mkubwa ambao chanzo chake bado hakijajulikana, usiku wa kuamkia leo Februari Mosi 2022 umeteketeza sehemu ya soko la Mbuyuni...

READ MORE

Wateja 25 Droo ya Mwezi wa kwanza, NMB MastaBata wazoa Mil 25/=

  WAKATI kampeni ya NMB MastaBata – Kivyako Vyako ikizidi kunufaisha wateja kwa washindi 25 wa mwezi wa kwanza wa...

READ MORE

Absa Yastahimili Dhoruba Ya Janga la COVID- 19

  Benki ya Absa Tanzania imeendelea kuimarika karika shughuli zake za kibiashara licha ya misukosuko kwenye soko iliyotokana na janga...

READ MORE

Auawa kwa Tuhuma za Kutengeneza Radi

MWANANCHI mmoja mkazi wa Halmshauri ya Nsimbo mkoa wa Katavi, Baraka Kabisu, ameuawa na wananchi wenye hasira kali wakimtuhumu kuwa...

READ MORE

Wabunge wa CCM Wampitisha Dkt. Tulia Uspika

KAMATi ya Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia kikao chao (Caucus) wamempitusha Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson...

READ MORE

Waliohusika na Mauaji Tanga Kusakwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Tanga Adam Malima, amesema atahakikisha kila aliyeshiriki kwenye mauaji wa...

READ MORE

Polisi Yafafanua Kifo cha Afande Aliyejinyonga Mahabusu

Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa za upotoshaji zinazoendelea kuhusu tukio la kujinyonga hadi kufa kwa mkaguzi msaidizi wa...

READ MORE

CCM Kubariki Dkt. Tulia Amrithi Job Ndugai

KAMATI ya Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo inakutana jijini Dodoma kuridhia, Dk Tulia Ackson agombee uspika wa Bunge...

READ MORE

Siku 10 za Maumivu, Ratiba Nzima ya Mgao wa Umeme Hii Hapa

WAKATI ratiba ya mgao wa umeme katika baadhi ya maeneo nchini wa siku kumi ikiwa haijatoka, wananchi, wakiwamo wafanyabiashara wadogo...

READ MORE

Familia Yataka Muuaji wa Mtoto Wao Aachiwe

FAMILIA ya marehemu Ally Khalifa Bakari, mtoto mwenye umri wa miaka (9) aliyefariki kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali...

READ MORE

Basi la Kidia One Lapata Ajali

TAARIFA zilizotufikia hivi punde ni kwamba, watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya busi la Kidia One linalofanya safari kati ya Arusha-Dar...

READ MORE

Tanga: Watano Wauawa Mapigano ya Wakulima na Wafugaji

MKULIMA Richard Masaki amesema waliona vijana jamii ya kimasai wakiingia katika eneo lao na kuanza kuwashambulia, kwa kuwapiga na baadae...

READ MORE

Nguzo za Umeme, Transfoma Zaanguka Mwenge Lufungila

Mchana wa leo Januari 30,2022 katika eneo la Lufungila,Mwengei jijini Dar es Salaam nguzo za umeme pamoja na Transfoma zimeanguka...

READ MORE

DC Jokate, Wafanyakazi wa DCB Benki Wafanya Usafi

  Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo  ameungana na kufanya usafi pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya...

READ MORE

DCB Kuwawezesha Wanawake Kiuchumi

 

READ MORE

Mwanafunzi Agongwa na Basi la Al Saedy, Afariki Dunia

MWANAFUNZI Nurdin Ally (6) amefariki dunia baada ya kugongwa na basi kampuni ya Al Saedy lililokuwa likitokea Dodoma kuelekea Morogoro....

READ MORE

Baba wa Askari Aliyejinyonga Mahabusu “Hakuna Picha Inayoonyesha Amejinyonga”

Gaitan Mahembe, ambaye ni baba mzazi wa aliyekuwa Mrakibu Msaidizi wa Polisi anayedaiwa kujinyonga, Greyson Mahembe akiwa mahabusu mkoani Mtwara...

READ MORE

Mauaji Tena Tanga: Mtoto Amuua Mtoto Mwenzake wa Miaka 9

JESHI la polisi mkoani Tanga linamshilikia mtoto wa miaka (9) mkazi wa mji mpya Hale na mwanafunzi wa shule ya...

READ MORE

Mzee Lowassa Alazwa Muhimbili

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa tumbo. Taarifa kutoka...

READ MORE

Mke Acharangwa Mapanga na Mumewe Kisa Simu ya Tsh 24,000

MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Josephine Boniface (30), Mkazi wa Kijiji cha Lyowa Mkoani Mtwara, amejeruhiwa kwa kukatwa na...

READ MORE

Breaking: Ajali Yaua Wawili na Kujeruhi 8 Kimara Suka

WATU wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine wanane kujeruhiwa kufuatia ajali ya lori lililovamia kituo cha daladala cha Kimara...

READ MORE

NMB Yaendelea Kuwa Benki Kinara wa Ufanisi Nchini

BENKI ya NMB jana imetangaza matokeo ya uendeshaji wake ya mwaka 2021 ambapo imeweka rekodi nyingine ya utendaji kwa kupata faida...

READ MORE

Kituo Cha Elimu Ustawi Wa Jamii Chatinga Karume

  Timu ya wataalam wa ustawi wa jamii na saikolojia kutoka kituo cha elimu, ushauri na msaada wa kisaikolojia kilicho...

READ MORE

Majambazi Watatu Wauawa Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limewaua watu watatu wanaodaiwa kuwa majambazi waliokuwa katika mpango wa...

READ MORE

Dada wa Rais Samia Afunguka Usiyoyajua Kuhusu Mhe. Rais

Siku kama ya leo miaka 62 iliyopita katika visiwa vya Zanzibar alizaliwa mwanamke ambaye leo ni Rais wa Awamu ya...

READ MORE

Samia: Nilisaka Ajira Nikiwa Mdogo, Nikatimuliwa

RAIS Samia Suluhu, ambaye leo anatimiza miaka 62 amesema alianza kusaka ajira akiwa na umri mdogo ambapo awali alikataliwa kutokana...

READ MORE

Nyumba 50 Ndani ya Jengo la Uhuru Heights Kuuzwa

Kampuni ya Cosmos Properties ya jijini Dar es Salaam, ambayo ni mmiliki wa nyumba 50 katika jengo la Uhuru Heights...

READ MORE

Dodoma: Kikongwe wa Miaka  80 Ajinyonga

Mkazi wa Njedengwa mkoani Dodoma, Edward Lusito anayekadiriwa kuwa na zaidi ya umri kati ya miaka 80 hadi 90 amekutwa...

READ MORE

Kisa Mke, Mstaafu wa Polisi Ajinyongea Waya wa Pasi

MSTAAFU wa Jeshi la Polisi wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro bwana Omary Msangi amejinyonga hadi kufa bafuni kwake kwa kutumia...

READ MORE

Mauaji Yamchefua Rais Samia, Dkt. Mpango Amtumia Salam IGP Sirro

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema amesikitishwa na kuumizwa kutokana na matukio ya mauaji yanayotokea nchini, na kuliagiza Jeshi la Polisi...

READ MORE

Amuua Mjamzito na Watoto 2 kwa Deni la Gunia 2 za Mahindi

JESHI la Polisi mkoani Rukwa limemkamata Philipo Vincent (22) kwa tuhuma za kumuua kwa kumkata mapanga mjamzito na watoto wake...

READ MORE