×

Kitaifa

VIDEO: Je CCM Wanaruhusiwa Kufanya Vurugu na Kuachiwa? – Peter Lijualikali

LEO Aprili 27, 2017 Mbunge wa Ulanga, Peter Lijualikali (CHADEMA) amemtwanga swali Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni kuhusu...

READ MORE

VIDEO: CUF ya Maalim Seif Yaamua Kumvagaa Lipumba Buguruni

DODOMA: Leo APRILI 27, 2017, wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaomuunga mkono Katibu Mkuu wa Chama hicho  Maalim Seif...

READ MORE

Kamati ya Forodha ya EAC Yatoa Ripoti ya Maendeleo Utekelezwaji wa Malengo ya Umoja

Kamishna wa Forodha Nchini Uganda, Dickson Kateshumbwa akizungumza jambo katika mkutano huo. KAMATI ya forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki...

READ MORE

Video: Droo Ndogo ya Tatu ya Shinda Nyumba Yatikisa

 Mkazi wa Tanga Bi. Agness Lymo (54) ameibuka mshindi wa pikipiki katika droo ndogo ya tatu ya Shinda Nyumba iliyochezeshwa...

READ MORE

Rais Magufuli Mgeni Rasmi Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari

Afisa Mawasiliano kutoka UN, Stella Vuzo akifafanua jambo. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK.John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa...

READ MORE

Airtel Yatumia Teknolojia ya Mawasiliano Kuboresha Elimu ya Sekondari

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Lolangulu iliyopo kijiji cha Mbola mkoani Tabora wakisoma kwa kupitia njia ya mtandao baada...

READ MORE

Q-Chillah Anahitaji Msaada wa Kisaikolojia

NA: Boniphace Ngumije | Amani | MAKALA Listi ndefu ya wanamuziki waliolifikisha gemu la Muziki wa Bongo Fleva hapa lilipo...

READ MORE

Hukumu ya Babu Seya, Papii, Mapya Tena

STORI: MWANDISHI WETU | GAZETI LA AMANI | DAR ES SALAAM Tumaini jipya! Mtoto wa kiume wa mfungwa anayetumikia kifungo...

READ MORE

Fuatilia Yanayojiri Bungeni, Bajeti ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Aprili 27)

LEO Alhamisi, Aprili 27, 2017 Mkutano wa Bunge Mjini Dodoma ni kujadili Bajeti ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi....

READ MORE

Mali za Lugumi Mikononi mwa TRA

Kampuni  ya udalali ya Yono, imefanikiwa kukamata mali za wafanyabiashara wanaodaiwa kodi ya serikali inayofikia zaidi ya Sh bilioni 68.1....

READ MORE

Bibi Ajinyakulia Pikipiki Droo Ndogo Ya Tatu ya Shinda Nyumba

Mkazi wa Tanga Bi. Agness Lymo (54) ameibuka mshindi wa pikipiki katika droo ndogo iliyochezeshwa leo Jumatano kwenye Viwanja vya...

READ MORE

Maajabu ya Dunia… Binti Darasa la 7 Aota Matiti Manne

STORI: MWANDISHI WETU | RISASI JUMATANO | DAR ES SALAAM Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema...

READ MORE

Mjema Azindua Ujenzi Barabara ya Pugu-Majohe Dar

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, leo amezindua ujenzi wa barabara ya kutoka Pugu mpaka Majohe kwa kiwango cha...

READ MORE

Mtitu: Sinema za Nje Ziingie Nchini Tupate Changamoto

PRODYUZA na muigizaji  wa filamu za Kibongo, William Mtitu,  amefunguka kuwa filamu za nje ziendelee kuingia nchini ila kwa utaratibu...

READ MORE

Eric Shigongo: Thank You CRDB Bank!

Thank You CRDB Bank! THOUGH there are still some few challenges as many organizations are, all I can say is;...

READ MORE

Rais Magufuli Asamehe Wafungwa 2,219

Katika kuadhimisha Miaka 53 ya Muungano wa Tanzania tarehe 26 Aprili, 2017 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

VIDEO: Sakata la Kutoa Lugha Chafu kwa Spika, Halima Mdee Aliangukia Bunge

KUFUATIA tuhuma za kudaiwa kutoa lugha chafu Bungeni mjini Dodoma hivi karibuni, Mbunge wa Kawe, Halima James Mdee (CHADEMA) jana...

READ MORE

Mshindi wa Droo ya Tatu ya Shinda Nyumba Kuondoka na Tecno Phantom 6 Leo

Droo ndogo ya Shinda Nyumba awamu ya tatu itatolewa leo katika Viwanja vya Bakhresa, Manzese jijini Dar es Salaam ambapo...

READ MORE

Rais Magufuli: Yeyote Atakayethubutu Kuuvunja Muungano wa Tanzania, Atavunjika Yeye (VIDEO)

DODOMA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli ametoa onyo kuwa, yeyote...

READ MORE

Shuhudia LIVE Makomando Wakikinukisha Kwenye Sherehe za Miaka 53 ya Muungano

Makomando wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakifanya maonyesho wakati wa sherehe za kutimiza miaka 53 ya muungano wa...

READ MORE

Prof. Palamagamba Kabudi Amwaga Madini Bungeni

DODOMA: Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi jana alitoa somo kali (madini) kwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

Droo Ndogo ya Tatu Pikipiki, TV, Smartphone Kutolewa Leo

PIKIPIKI ya tatu kutolewa tangu kuanza kwa droo ndogo za Shinda Nyumba awamu ya pili itatolewa leo katika Viwanja vya...

READ MORE

Ustawi wa Jamii Wamuonya Nay Kutelekeza Watoto

STORI: GLADNESS MALLYA NA SIFAEL PAUL | RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Kutokana na wanawake kadhaa kuwahi kujitokeza na kudai...

READ MORE

Yaliyojiri Dodoma Kwenye Sherehe za Miaka 53 ya Muungano wa Tanzania

LEO Aprili 26, 2017 ikiwa ni siku ambayo Tanzania inasherehekea miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Sherehe hizo...

READ MORE

Mgongano wa Kifikra Bongo Muvi ni Kaburi Jipya la Tasnia Hiyo

Na Ally Katalambula|IJUMAA WIKIENDA Aprili 20, mwaka huu wasanii wa filamu za Kibongo nchini walifanya maandamo ya amani sambamba na...

READ MORE

Banda Arejesha Matumaini Simba

Wilbert Molandi, Championi Jumatao, Habari KUREJEA kwa beki kiraka, Abdi Banda kumempa matumaini Kocha Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya April 26

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, April 26, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Droo Ndogo ya Tatu Pikipiki ya Tatu Kubebwa Kesho

PIKIPIKI ya tatu kutolewa kesho katika Viwanja vya Bakhresa, Manzese jijini Dar es Salaam tangu kuanza kwa droo ndogo za...

READ MORE

Wizara ya Mambo ya Nje Yafunguka Kumuondoa Mkurugenzi UNDP

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Serikali yamuondoa Mkurugenzi wa UNDP nchini    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeliagiza...

READ MORE

Sekta Binafsi Yaipongeza Serikali kwa Mazingira Rafiki ya Biashara

TAASISI ya sekta binafsi nchini (Tanzania Private Sector Foundation – TPSF) imeipongeza serikali kwa kuendelea kuweka mazingira ya kuboresha biashara...

READ MORE

NMB Yakabidhi Jengo la Kupumzikia Wagonjwa JKCI

BENKI ya NMB jana ilikabidhi Jengo maalumu la kupumzikia wagonjwa wa nje na wasaidizi wao wanaowaleta wagonjwa kupata huduma katika...

READ MORE

Mtatiro: CUF Haina Walinzi wa Chama Wenye Bastola (Video)

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi, The Civic United Front (CUF) Julius Mtatiro amefunguka na kusema chama cha CUF hakina walinzi...

READ MORE

Ngoma Bado Mbichi Mkuranga, Kibiti Polisi Watanda Kila Kona

NA MWANDISHI WETU | UWAZI | HABARI PWANI: Ngoma ni mbichi mkoani Pwani hususan katika Wilaya za Mkuranga, Kibiti na...

READ MORE

Umoja wa Walima Mboga Wazungumzia Kampeni ya ‘Kijana Inuka’

NA DENIS MTIMA/GPL UMOJA wa Kilimo cha Mbogamboga,  Matunda na Nafaka wa jijini Dar es Salaam, umezungumzia kampeni yao ya...

READ MORE

Meya wa jiji la Dar es Salaam Ziarani Nchini Iran

NA DENIS MTIMA Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, ameondoka nchini kuelekea Iran kwa mwaliko wa ziara...

READ MORE

Mbunge Hamoud Jumaa: Kipaumbele Changu ni Afya, Huduma za Jamii

NA DENIS MTIMA | UWAZI| HABARI Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini, Hamoud Jumaa amekuwa akifanya kazi  za kuwaletea maendeleo...

READ MORE

Nikki Wa Pili Alizwa na Uchumi

Stori: Ally Katalambula | Uwazi | Habari RAPA anayefanya poa kwenye Muziki wa Hip Hop Bongo, ambaye pia ni ‘memba’...

READ MORE