×

Kitaifa

Wahitimu Shahada Za Sayansi Kupatiwa Mafunzo Wakafundishe

Naibu Waziri wa TAMISEMI Selemani Jaffo Naibu Waziri wa TAMISEMI Selemani Jaffo asema wahitimu shahada za sayansi ambao si walimu...

READ MORE

Clarence Mulisa Afiwa Na Mama Yake Mzazi

Mfanyakazi wa Global Publishers kitengo cha Habari na Mawasiliano (IT), Clarence Mulisa,  amefiwa na mama yake mzazi, Feliciana Mulisa,  usiku...

READ MORE

Wolper Na Harmonize Wala Bata Serengeti

WASANII wawili ambao ni wapenzi wanaogonga vichwa vya habari Bongo, Jaqueline Wolper na Rajab ‘Harmonize’ wikiendi iliyopita wamekula bata kwenye...

READ MORE

Rais Kenyatta Atoa Msaada kwa Wahanga wa Tetemeko la Ardhi Bukoba na Mwanza

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameto pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na...

READ MORE

Baada ya Kufananisha na ‘Sikio la Kufa’, Barabara ya Mabatini Yawekewa Changarawe

IKIWA ni takribani siku 10 baada ya Mtandao huu kuripoti kupitia Mjumbe wa Mtaa wa Polisi Mabatini, jijini Dar es...

READ MORE

NIDA Kuanza Kutoa Vitambulisho Vyenye Saini, Septemba 12

MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA (NIDA) KUANZA KUTOA VITAMBULISHO VIPYA VYA TAIFA VYENYE SAINI KWA WANANCHI WOTE WALIOKAMILISHA TARATIBU ZA...

READ MORE

Mzee Mwinyi Aongoza Eid El Hajj Kitaifa Kinondoni Dar

RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, leo amewaongoza waumini wa Kiislamu katika kusherehekea sikukuu ya Eid El...

READ MORE

Tamasha la Tigo Fiesta Lafana Mjini Singida

TAMASHA la Tigo Fiesta liliendelea Mkoa wa Singida usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Namfua Stadium. Wasanii waliotoa burudani...

READ MORE

Waziri Majaliwa Aongoza Sala ya Idd El Hajj Mwembe Yanga, Dar

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa hotuba yake katika swala ya Idd El Hajj iliyoswaliwa kwenye Viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke...

READ MORE

Tume Ya Mufti Yawaita Wanaojua Wezi Bakwata

Abubakar Zuberi, Mufti wa Tanzania kupitia Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata). TUME iliyoundwa na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakari...

READ MORE

Wakazi wa Bukoba Walala Nje ya Nyumba Baada ya Tetemeko Kutokea Mara ya Pili

BUKOBA: September 10, 2016 lilitokea tetemeko la ardhi Kagera kanda ya ziwa Tanzania lenye kipimo cha ritcha 5.7 na kusababisha...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Maelfu Kuaga Miili ya Waliofariki kwa Tetemeko Kagera

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa jana ameongoza maelfu ya waombolezaji kuaga miili ya watu waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi...

READ MORE

Wananchi Wa Singida Wapewa Mbinu Za Mafanikio Na Darasa La Fursa

DARASA la Fursa mapema leo limeendelea ndani ya Ukumbi wa Kisamaka uliyopo ndani ya Hoteli ya Aqua Vitae mjini  Singida,...

READ MORE

Kanisa la Victory Christian Centre Lazindua Tamasha la ‘Campus Night’

KANISA la Victory Christian Centre (VCCT) chini ya Mchungaji Kiongozi Dk. Huruma Nkone leo limezindua maandalizi ya kongamano la kihistoria...

READ MORE

Waziri Mkuu Kuongoza Kuagwa Waliokufa kwa Tetemeko Bukoba

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa leo anatarajiwa kuongoza waombolezaji kuaga miili ya watu 16 waliopoteza maisha kwenye tetemeko la ardhi...

READ MORE

DC Same Apiga Marufuku Kufanya Biashara Kwa Kujaza Lumbesa

Mkuu wa Wilaya ya Same, Rosemary Staki Senyamule, akikagua magunia yaliyokutwa yakiwa yamejazwa lumbesa. Mkuu wa Wilaya ya Same, Rosemary...

READ MORE

TID ft Joh Makini – Confidence (Official Video)

https://www.youtube.com/watch?v=aDbAeTMKg-E

READ MORE

Huyu Tambwe hafai, atupi mbili Uhuru leo

  MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga leo wameichapa Majimaji FC ya kutoka Songea kwa mabao 3-0 katika mchezo...

READ MORE

Guardiola amzima Mourinho Old Trafford

TIMU ya Manchester City leo imeshinda mabao 2 – 1 dhidi ya Manchester United  katika mchezo mkali uliopigwa Uwanja wa Old Trafford....

READ MORE

Tekemeko la Ardhi Laikumba Kanda ya Ziwa, Nyumba Zaporomoka

  Leo Septemba 10, 2016, tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa Ritcha 5.7 limeikumbuka mikoa ya Kanda ya Ziwa...

READ MORE

Man United Vs Man City… Yageuka Kuwa Madrid Vs Barcelona

  Mshambuliaji kinda wa Manchester United Marcus Rashford (kulia0 akifanya yake. Saleh Ally, Barcelona MECHI ya watani na wapinzani wakubwa katika...

READ MORE

Fiesta Yafunika Ndani Ya Tabora

TAMASHA la Tigo Fiesta 2016 usiku wa kuamkia leo limeonyesha hali ya kukubalika vilivyo kwa wakazi wa Tabora baada ya kuonyesha...

READ MORE

Gondwe akamata malori saba yakisafirisha madini usiku!

Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Godwin Gondwe amekamata malori saba yakisafirisha madini ya chuma aina  dolomite yanayotumika kutengeneza...

READ MORE

Ummy Mwalimu: Marufuku Kuozesha Waliomaliza La 7

SERIKALI imewaonya wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kutowaozesha watoto wote wa kike waliohitimu darasa la saba mwaka huu wakati...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Makatibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa na Mara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 09 Septemba, 2016 amemteua Bw. Ado Steven...

READ MORE

Mkuu Wa Mkoa Wa Tabora Aishukuru Fiesta 2016 Kwa Kuwapelekea Fursa

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mh. Aggrey D.J Mwanri, akitoa soma la fursa kwa baadhi ya Wananchi wake waliyojitokeza ndani...

READ MORE

Tundu Lissu : Prof. Lipumba Hana Hoja, Anawavuruga CUF

MBUNGE wa Singida Mashariki ambaye pia ni Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni,Tundu Lissu, amesema aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama...

READ MORE

Makamu wa Rais Atembelea Kituo cha Kuchakata Gesi

Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewataka wafanyakazi wa kiwanda cha kuchakata gesi asilia kilichopo Madimba mkoani Mtwara wawe...

READ MORE

Makongo Juu, Goba waligombea Ijumaa likiwa katika muonekano mpya

BAADHI ya wasomaji  magazeti wamelichangamkia gazeti bora la Ijumaa ambalo linaongoza kwa kuandika habari za mastaa wa Kibongo na Mamtoni...

READ MORE

Wachezaji Simba waoga noti

Wachezaji wa Simba wakishangilia baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo uliopigwa juzi kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Msafara wa Makamu wa Rais Wapata Ajali Mtwara

Msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Mama Samia Suluhu Hassan ambao ulikuwa unaelekea Wilayani Tandahimba...

READ MORE

Mchungaji Lwakatare Awatoa Wafungwa 78 Gerezani (Picha + Video)

Mchungaji Kiongozi, Dk. Getrude Lwakatare,  kupitia kanisa lake la Assemblies  of God (Mlima wa Moto) aliwalipia wafungwa 78 katika magereza...

READ MORE

Videos: Bifu la Mama Wema na Man Fongo Lafikia Pabaya!

MAMA wa Miss Tanzania 2016, Wema Sepetu, Bi. Miriam Sepetu ameingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kutofautiana na mkali wa...

READ MORE

Familia ya bilionea Msuya yataka usimamizi wa mirathi

Na JANETH MUSHI, ARUSHA WAKATI mke wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Miriam Msuya akisota rumande kwa tuhuma za mauaji ya...

READ MORE