×

Kitaifa

Auawa Baada ya Kufumaniwa Akichepuka na Mke wa Mtu

KIJANA aliyejulikana kwa jina la Michael Jackson (25) mkazi wa Kijiji cha Magara wilayani Babati mkoani Manyara ameuawa kwa kukatwa...

READ MORE

Theresa Ntare, Huyu Ndo Chifu wa Kwanza Mwanamke Tanzania

HAPO zamani za kale jamii nyingi za Kiafrika zilitajwa kuwaweka nyuma wanawake, ni wanawake wachache tu wanapatikana katika kurasa muhimu...

READ MORE

Spika Ndugai Ashangazwa na Tozo Mpya

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameeleza kushtushwa kupitishwa kwa sheria inayomtaka mkulipa kulima ushuru wa bidhaa wa asilimia mbili kwa...

READ MORE

NMB Yanogesha Mashindano ya Gofu  ya Lugalo

  Benki ya NMB imetoa Sh. 60 Milioni kwa ajili ya kudhamini Mashindano Maalumu ya mchezo wa Gofu ya Mkuu...

READ MORE

Serikali Kununua Ndege 5 za Mafunzo ya Urubani

SERIKALI imesema Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kitanunuliwa ndege tano za mafunzo ya urubani kuanzia mwaka huu wa fedha....

READ MORE

Shigongo Ambana Waitara “Kuna Tatizo la Kivuko” – Video

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo akiuliza swali bungeni jijini Dodoma leo Septemba 8, 2021 kuhusu adha ya...

READ MORE

Afanya Mauaji Akidai Amerogwa Nyumba Yake Isimalizike

Samason Daudi (26) Mkazi wa Kijiji cha Mutuka Wilayani Babati anatuhumiwa kumuua Peter Buu(48) ambaye alimtuhumu kumroga ili nyumba yake...

READ MORE

Vanessa Aaanika Jinsia ya Mtoto Wake

Baada ya Vanessa Mdee (Vee Money) na na mpenzi wake Rotimi kuthibitisha kuwa wanatarajia kupata mtoto siku za hivi karibuni,...

READ MORE

Rais Mwinyi Afanya Uteuzi Wizara ya Afya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi, leo Septemba 8, 2021 amefanya uteuzi wa wakurugenzi...

READ MORE

Mbaroni kwa Kuuza Watoto kwa Tsh 25,000

Jeshi la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuwatorosha watoto 11 wenye umri wa kati ya miaka...

READ MORE

Ufafanuzi wa Somo Jipya Liliongezeka Darasa la 7

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Dkt. Charles Msonde, amesema kuwa idadi ya masomo katika mtihani wa...

READ MORE

Ibada Maalum ya Kuwaombea Magufuli na Mkapa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Ajira na wenye Ulemavu Jenista Mhagama, ameeleza uwepo wa ibada ya kuwaombea Hayati...

READ MORE

GGML Mkombozi wa Wahandisi Wanawake Sekta ya Madini

NA MWANDISHI WETU Si jambo rahisi kwa vijana wa kike kupenya na kufaulu vizuri katika taaluma mbalimbali ambazo zinashikwa na...

READ MORE

DC Fatuma Nyangasa Apokea Misaada Vifaa Vya Shule, Hospitali

Benki ya NMB, imekabidhi misaada yenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 25 kwa Shule tatu za Msingi, moja ya...

READ MORE

Rais Samia Atua Jijini Mwanza – (Picha + Video)

Rais Samia Suluhu Hassan amewasili jijini Mwanza kwa helkopta maalum kwa ajili ya kufunga tamasha la utamaduni wa Mtanzania linalofanyika...

READ MORE

Wanaume Milioni 1.5 Kutahiriwa Kampeni ya HIV

MRADI wa kuwatahiri wanaume milioni 1.5 wenye umri wa kuanzia miaka 15 hadi 49 uimeanzishwa nchini Sudan Kusini ili kupunguza...

READ MORE

CCM Yatoa Maagizo kwa Serikali Sakata la Bei ya Mahindi – Video

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeiagiza Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), kununua tani 100,000 za mahindi...

READ MORE

Majaliwa: Anzeni Kutoa Huduma Kupitia Vituo vya Huduma Pamoja

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za Serikali ambazo haziajaanza kutoa huduma kupitia vituo vya huduma pamoja vya Shirika la...

READ MORE

Rais Samia Mgeni Rasmi Tamasha la Utamaduni

RAIS Samia Suluhu Hassan, kesho Septemba 7, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la siku mbili la utamaduni wa Mtanzania...

READ MORE

Mfahamu Kanali Doumbouya Aliyeongoza Mapinduzi ya Guinea

RAIS wa guinea, Alfa Conde, mwenye umri wa miaka 83, alizuiliwa na wanajeshi wa kikosi maalum (GFS) jana Septemba 5,...

READ MORE

Dar: Mahabusu 20 Wampiga Polisi, Watoroka

MAHABUSU zaidi ya 20 waliokuwa wakishikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Maturubai, kilichopo Mbagala wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam...

READ MORE

Jela Miaka 30 Kubaka Mhudumu wa Baa

MAHAKAMA ya Wilaya ya Geita imemhukumu mkazi wa Katoro, Justini Silivini (24), kutumikia kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa...

READ MORE

Achinjwa Kisa Deni la Tsh 400,000

MKAZI wa Majengo Sokola, katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Gongo Charles (30), ameuawa kwa kuchinjwa na watu wanaodaiwa kumdai...

READ MORE

SGR Makutupora – Tabora – Isaka Kuanza Soon

Shirika la Reli Tanzania linategemea kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Reli ya kisasa – SGR kipande cha Makutupora...

READ MORE

DED Malinyi Apata Ajali

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi (DED), Mkoa wa Morogoro, Joanfaith Kataraiya na dereva wake wamejeruhiwa katika ajali...

READ MORE

Jaji Ajitoa Kesi ya Mbowe

Jaji kutoka Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Makosa ya Rushwa, maarufu kama Mahakama ya Mafisadi,Jaji Elinaza Luvanda amejitoa...

READ MORE

Msajili wa Vyama Awaita IGP Sirro, Viongozi wa Siasa – Video

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amevitaka vyama vya siasa nchini kusimamisha makongamano na mikutano ya kisiasa...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wafikishwa Mahakamani – Video

MWENYEKITI wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake, leo Jumatatu, Septemba 6, 2021 wamefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es...

READ MORE

Tanzia: Mwandishi wa Azam Media Afariki Dunia

Mwandishi wa habari wa Azam Media mkoa wa Kagera, Nicolaus Ngaiza amefariki dunia saa nne usiku jana Jumapili badaa ya...

READ MORE

Mayai ya Uzazi Kuhifadhiwa Kwenye Barafu Hadi Miaka 55

TEKNOLOJIA ya kuhifadhi mayai ya uzazi ya mwanamke na manii ya mwanaume imeboreshwa na sasa utunzaji wa mayai hayo utaongezwa...

READ MORE

Mnyukano NMB, Bunge Sports Club Usipime, Penalti Zatumika Kupata Bingwa

Tamasha la Michezo baina ya timu za Wafanyakazi wa Benki ya NMB na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Azindua NMB Foundation

  BENKI ya NMB imezindua asasi iitwayo NMB Foundation, inayolenga kujikita katika kuimarisha uwekezaji wake kwa jamii katika sekta tano...

READ MORE

Malengo Tamasha la NMB na Wabunge Lamvutia Makamu wa Rais

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Phillip Isdor Mpango, amesifu malengo chanya ya Tamasha la NMB...

READ MORE

Wanne Wafariki kwa Ajali Kagera

WATU wanne ambao majina yao hayakupatikana haraka wamefariki dunia na wengine 33 kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Fikosh...

READ MORE

Tanzania Itapata Faida Nyingi za Kiuchumi Ikiridhia Mkataba wa AfCFTA

  Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo  Tanzania itapata faida nyingi za kiuchumi endapo itaridhia Mkataba wa...

READ MORE

Wizara Ya Elimu Zanzibar, Tanzania Bara Kuendeleza Ushirikiano

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako (Mb) Septemba 3, 2021 Jijini Dar es Salaam amekutana...

READ MORE

Aliyemfumua Mshono Mgonjwa Kisa Elfu 10 Yamkuta

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imesema video inayosambaa mitandaoni ikimuonyesha daktari aliyemshona jeraha mgonjwa...

READ MORE

Maajabu: Azaliwa na Sehemu za Kike Kisha Kuota za Kiume

Kijana wa miaka 19 mkazi wa Bukoba, aliyezaliwa na jinsi ya kike na baadaye kuota sehemu za siri za kiume...

READ MORE

Salama Jabir Aacha Kazi EATV, Simba Yatajwa

Mtangazaji nguli nchini na kipenzi cha wengi, Salama Jabir jana alitangaza kuachana na kituo cha EATV ambacho amefanya kazi hapo...

READ MORE