×

Kitaifa

Dk. Gwajima: Baaada ya Chanjo Mume Wangu Ametesti Akakuta Niko Fiti

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, nchini Tanzania Dk. Dorothy Gwajima amewaacha na hamaki wakazi wa...

READ MORE

Waziri wa Ndugulile Azindua Huduma ya NMB Mkononi Plus

  Benki ya NMB imezindua huduma mpya ya NMB Mkononi Plus, ambayo Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Faustine...

READ MORE

Gari la JWTZ Lagongana na Lori, Watu 10 Wafariki

AJALI mbaya imetokea na kuua watu 10 huku wengine 8 wakijeruhiwa baada ya gari la Jeshi la Wananchi wa Tanzania...

READ MORE

RC Makalla Apokea Mwenge Wa Uhuru, Miradi Zaidi Ya 46 Kukaguliwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo amepokea mbio maalum za Mwenge wa Uhuru katika uwanja...

READ MORE

Agizo la Waziri Gwajima Dhidi ya Wanaoendekeza Ukeketaji wa Watoto

  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema wakati umefika kwa jamii...

READ MORE

Balozi wa Marekani: Tanzania Imebarikiwa

BALOZI wa Marekani nchini Tanzania, Donald J. Wright ameeleza kufurahiswa na mandhari pamoja na ari ya biashara nchini Tanzania. “Nimefurahishwa...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Tano (2021)

WANAFUNZI 4,105 wamechaguliwa kujiunga kidato cha tano kwa mwaka huu katika uchaguzi wa awamu ya pili kutokana na waliochaguliwa awamu...

READ MORE

IGP Sirro: Hatujapa Taarifa Rasmi Ili Kumkamata Gwajima

  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi linaendeshwa kwa maandishi hivyo wanasubiri barua...

READ MORE

Trump Amkomalia Rais Biden “Jiuzulu”

Rais mataafu wa Marekani, Donald Trump amemtaka Rais wa nchi hiyo, Joe Biden ajiuzulu akimtuhumu kusababisha Wanamgambo wa Kundi la...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia SADC “Hatupaswi Kuridhika” – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amehutubiwa Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali...

READ MORE

Historia ya Basil Mramba, Uwaziri Mpaka Kufungwa Gerezani

MWANASIASA mkongwe aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi ikiwemo kuwa Waziri wa Fedha katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Basil...

READ MORE

Hichilema: King’ang’anizi Aliyeshindwa Mara Tano Urais Zambia

Hakainde Hichilema mwenye umri wa miaka 59 sasa, ndiye rais mpya wa Zambia aliyetangazwa na tume ya uchaguzi nchini humo,...

READ MORE

Breaking: RC Msataafu Mwakipesile Afariki Dunia

Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwenye serikali ya awamu ya nne, John Mwakipesile amefariki dunia usiku wa kuamkia...

READ MORE

Breaking: Waziri wa Zamani, Basil Mramba Afariki Dunia

    ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Fedha wa Tanzania na Mbunge wa Rombo, Basil Pesambili Mramba amefariki dunia leo Jumanne,...

READ MORE

Rais Samia Ampongeza Hichilema kwa Kushinda Urais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempongeza Rais mteule wa Zambia, Hakainde Hichilema akisema; “Kwa niaba...

READ MORE

Dk. Mollel: Tutamshugulikia Mch. Gwajima – Video

  Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Siha, Mhe. Dkt. Godwin Mollel amemtaka Mbunge wa Kawe na Askofu wa...

READ MORE

Rais Samia Atua Malawi – Video

  Rais Samia Suluhu Hassan amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, Lilongwe nchini Malawi kushiriki Mkutano wa...

READ MORE

Rais Samia Aelekea Malawi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan hii leo Agosti 16, 2021 ameondoka Nchini kuelekea Nchini...

READ MORE

Mwili wa Dk Massawe Waagwa Muhimbili – (Pichaz+Video)

MWILI wa aliyekuwa daktari bingwa wa magonjwa ya watoto, Dk. Augustine Massawe umewasili katika viunga vya Chuo Kikuu cha Afya...

READ MORE

Rais Samia Kuelekea Malawi

Rais Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 16, 2021 anatarajiwa kuondoka jijini Dodoma kuelekea Malawi kwa ajili ya kushiriki mkutano wa...

READ MORE

Gwajima: Nipo Tayari Kuachia Ubunge, Sio Kuchanja

ASKOFU Mkuu wa kanisa la Ufufuo na Uzima lenye Mako Makuu yake, Ubungo Maji jijini dar es Salaam ambaye pia...

READ MORE

Mtendaji wa Kijiji Asimamishwa kwa Kukusanya Michango ya Zahanati Kinguvu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi Mtendaji wa...

READ MORE

Rais wa Afghanistan Akimbia Nchi, Wanamgambo wa Taliban Waingia Ikulu

RAIS wa Afghanistan, Ashraf Ghani ameikimbia nchi yake jana Jumapili, Agosti 15, 2021 jioni baada ya wanamgambo wa Taliban kuuzingira...

READ MORE

Radi Yajeruhi Wanafunzi 16 Geita – Video

Wanafunzi 16 wa shule ya Sekondari Rwezela iliyopo Kata ya Nzera mkoani Geita, wamenusurika kifo baada ya kujeruhiwa kwa kupigwa...

READ MORE

SADC Yaamua Rasmi Matumizi ya Lugha ya Kiswahili

Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC limepitisha rasmi bajeti kwa ajili ya kuhakikisha Kiswahili kinatumika...

READ MORE

Ajali: DC Msando Ahamishiwa Muhimbili

Watu watano wamejeruhiwa katika akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Albert Msando na Mkuu wa Wailaya ya Ulanga, Ngollo Malenya...

READ MORE

Mrembo Akutana na Babake kwa Mara ya Kwanza Kupitia Facebook

MREMBO Mkenya ameibua hisia mseto mitandaoni baada ya kusimulia namna alikutana na baba yake kwa mara ya kwanza kupitia Facebook....

READ MORE

Breaking: DC Msando Apata Ajali

MKUU wa wilaya ya Morogoro, Albert Msando amepata ajali maeneo ya Dakawa mkoani Morogoro baada ya gari aliyokuwa amepanda kugongana...

READ MORE

Ndugai Afafanua Kuhusu Lazima ya Wabunge Kuchanjwa

Ofisi ya Bunge, imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa za upotoshaji zinazosambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii zinazodai wabunge ambao hawatachanja...

READ MORE

Sabaya Aanza Kujitetea Mahakamani

Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya unyang’anyi kwa kutumia silaha aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Maagizo Mazito Zao la Zabibu Dodoma, “Tulidanganyika”

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekagua shamba la zabibu la Chinangali II wilayani Chamwino Dodoma, Agosti 13, 2021 akiambatana na Waziri...

READ MORE

Waziri Aweso Ateua Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amemteua CPA Joyce Msiru kuwa Mkurugenzi wa mamlaka za maji nchini. Bi. Joyce Msiru alikuwa...

READ MORE

Kesi Ya Mbowe, Wenzake Watatu Utetezi Waomba Kupelekwa ‘HighCort’

  Wakili wa Utetezi, Peter Kibatala akizungumza na wanahabari baada ya kuahirishwa kwa kesi hiyo. UPANDE wa utetezi katika kesi...

READ MORE

Polisi Wapya 3,000 Kuajiriwa

JESHI la Polisi nchini Tanzania, limeajiri askari polisi wapya zaidi ya 3,000. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar. Taarifa hiyo imetolewa jana...

READ MORE

Kesi ya Ugaidi! Mbowe Aigeuzia Kibao Serikali

KIONGOZI wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar...

READ MORE

Daktari Aliyeishiwa Nguvu Kwenye Mdahalo Afunguka Kilichotokea

DAKTARI aliyeishiwa nguvu wakati akitoa mada kwenye mdahalo Dk Sospeter Bulugu amefunguka na kusema alipatwa na tatizo la kushuka kwa...

READ MORE

Tanzia: Dk. Massawe Afariki Dunia

Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk. Augustine Massawe amefariki dunia leo Agosti 13,...

READ MORE

Sabaya, Wenzake Kuanza Kujitetea Leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, imesema aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya (34) na wenzake...

READ MORE

Kesi ya Mbowe Kusikilizwa Kwa njia ya ‘Video Conference’-Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameshindwa kufika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,...

READ MORE

Benki ya NMB Kuwezesha Wananchi Kupata kwa Haraka Hati za umiliki Ardhi

    Benki ya NMB imezindua huduma mpya ya mkopo wenye riba nafuu kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wenye kipato...

READ MORE