×

Kitaifa

Ajeruhi Mtoto kwa Kisu Kisha Kujiua

Shija Mwanzalima (30) amemchoma na kisu tumboni mtoto wake wa kambo Rachel Erasto (3), kisha kujichoma na kisu sehemu mbalimbali...

READ MORE

Mahakama Yamwachia Huru Mgombea Ubunge Bukoba Mjini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Bukoba imewaachia huru washtakiwa saba akiwemo Aliyewahi kuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba na aliyekuwa Mgombea...

READ MORE

NMB Yaandaa Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Zanzibar

Waziri wa utalii na mambo ya kale Zanzibar, Leila Muhammed Mussa amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu kisiwani humo kuzitumia fursa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mkurugenzi wa IMF

Rais Samia SuluhuHassan, leo amefanya mazungumzo kwa njia ya mtandao na Mkurugenzi Mtendaji waShirika la Fedha Duniani (IMF), Kristalina Georgieva...

READ MORE

Lowassa Amawaga Mamilioni Monduli

Mbunge wa Monduli, Fredrick Lowassa amechangia Sh11 milioni katika miradi ya maendeleo katika vijiji vya ujenzi wa nyumba ya daktari...

READ MORE

TMA Yatabiri Mvua, Upepo Mkali

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imesema kesho Mei 4 kuna uwezekano wa uwepo wa upepo mkali unaokadiriwa kufikia kilometa...

READ MORE

Takukuru Kuwafikisha Kortini Katibu Mkuu, Mhasibu CWT

Takukuru intafikisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Katibu Mkuu Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Deus Seif na mweka hazina wa...

READ MORE

Rais Samia Atumbua Watatu

Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa viongozi watatu akiwemo Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Wakala wa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Rais Obasanjo wa Nigeria

Rais Samia Suluhu Hassan, leo amekutana na kufanya mazungumzo na rais mstaafu wa Nigeria, Olesegun Obasanjo katika ikulu ya Chamwino...

READ MORE

Waziri Jafo Aagiza Mkurugenzi Akamatwe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo ameagiza kukamatwa kwa Bw. Kaissy Mkurugenzi...

READ MORE

Ndugai: Iweje Wabunge 19 Wafukuzwe, Wote Wanawake?

Spika wa Bunge Job Ndugai leo amesimama bungeni kutoa ufafanuzi wa mambo kadhaa ikiwemo uwepo bungeni wa Wabunge 19 wa...

READ MORE

Ndugai Amuonya Nape “Tuchunge Midomo Yetu” – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai amemuonya Mbunge wa Mtama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Nape Moses Nnauye kuchunga kauli...

READ MORE

Ndugai Atoa Majibu “Mdee na Wenzako Chapeni Kazi” – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge 19 wa viti maalum ambao wamefukuzwa na chama chao cha CHADEMA kuendelea kuchapa...

READ MORE

Ibada Maalum ya Jumapili Kutoka Kanisa la Ufunuo la Nabii Bendera

NI Ibada maalum kutoka Kanisa la Ufunuo lililopo Kimara Bonyokwa jijini Dar es Salaam, Jumapili ya Mei 02, 2020, ikiongozwa...

READ MORE

DC Ahojiwa na Polisi kwa Kutishia Kumuua Mbunge

JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe, limeanza uchunguzi tuhuma za Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Samuel Jeremiah, kuhusu kumtishia kumuua...

READ MORE

Samia: Watumishi Darasa la 7 Waliositishiwa Ajira Walipwe – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kulipa madeni yote inayodaiwa huku akiwaonya watumishi...

READ MORE

Rais Samia Apunguza Kodi ya Mishahara, Makato Bodi ya Mikopo – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameongoza wafanyakazi mbalimbali katika Kilele cha Sherehe za Siku...

READ MORE

Rais Samia: Tutapandisha Mishahara Mwakani – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema jumla ya wafanyakazi zaidi ya 85,000 elfu hadi...

READ MORE

Afisa wa TAKUKURU Akamatwa kwa Kuomba Rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imamkamata mtumishi wa taasisi hiyo aitwaye Zainab Mohamed Jabir, kwa kosa la...

READ MORE

Serikali Yafunga Mtambo wa Bil 4.6 JKCI

Serikali imefunga mtambo wa kisasa wenye thamani ya shilingi bilioni 4.6 wa uchunguzi na matibabu ya moyo (Catheterization Laboratory –...

READ MORE

Waziri wa Maliasili Atengua Uamuzi wa Kigwangala ‘Ulikuwa Kinyume na Sheria’

WIZARA ya Maliasili na Utalii imefunga rasmi mzozo uliodumu kwa miaka miwili juu ya eneo la uwindaji kando ya ziwa...

READ MORE

Lindi: Wairan 7 Waliokamatwa na Tani ya Madawa ya Kulevya Wafikishwa Kortini

Raia saba wa Iran akiwemo nahodha wa boti, Jan Miran (42) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi wakikabiliwa na...

READ MORE

Maandalizi ya Mei Mosi Kitaifa Mwanza Yakamilika – Video

Maandalizi kwa ajili ya sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani zinazotarajiwa kufanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza...

READ MORE

Vijana JKT Waliorejeshwa Nyumbani Watakiwa Kurudi Kambini

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge, amewarejesha katika mafunzo vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa...

READ MORE

Simba SC Kuvaana na Kaizer Chiefs Robo Fainali

Simba SC itacheza na timu ya Kaizer Chiefs kutoka Afrika Kusini katika robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika....

READ MORE

Breaking: Baraza la Madiwani Lamkataa Mkurugenzi Mbozi

BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Mbozi kwa pamoja limeazimia kutokuwa na imani na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Hanji Godigodi...

READ MORE

Chongolo Kumrithi Bashiru Ukatibu Mkuu wa CCM – Video

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amempendekeza Daniel Godfrey Chongolo kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho....

READ MORE

Kauli ya Kwanza ya Rais Samia Baada ya Kuwa Mwenyekiti wa CCM – Video

  MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Breaking: Nyalandu Atangaza Kurejea CCM Mbele ya Rais Samia -Video

ALIYEWAHI kuwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Maliasili na Utalii na kisha baadaye kujiunga na Chama...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Achaguliwa Kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

Rais Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kupata kura zote1,862, sawa na asilimia 100...

READ MORE

KMC Kushuka Dimba la Jamhuri Kesho Dhidi ya Dodoma jiji Michuano ya Kombe la ASFC

Kikosi cha KMC FC kesho kitashuka katika dimbani la Jamuhuri jijini Dodoma kwa ajili ya mchezo wa michuano ya kombe...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Itayafanyia Kazi Malalamiko ya Ukaguzi Mirerani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imepokea na itayafanyia kazi malalamiko ya wabunge juu ya utaratibu wa ukaguzi unaofanywa kwenye...

READ MORE

Polisi Wakamata Kondomu, Mali za Wizi, Silaha na Wahalifu 231

JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga limefanya Operesheni maalumu ya kukabiliana na kuzuia makosa ya uhalifu na kufanikiwa kukamata wahalifu...

READ MORE

Mto Msimbazi Sasa Kuwa Eneo la Uwekezaji

SERIKALI ya Tanzania imepanga kulibadili eneo la bonde la mto Msimbazi kuwa eneo la uwekezaji na fursa mbalimbali ili kuondokana...

READ MORE

Musukuma Adai RC Gabriel na Wenzake Wametafuna Mil 600 – Video

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma amemlipua mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel na timu akidai wamepata zaidi...

READ MORE

Muuguzi Ajinyonga Hadi Kufa Kisa Madeni

MUUGUZI wa Hospitali ya Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, David Mtaita (30) amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kamba ikiwa ni...

READ MORE

Tuhuma za Rushwa! Askari Polisi 4 Wafukuzwa Kazi

ASKARI wanne wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha wamefukuzwa kazi na maofisa wawili wa Jeshi hilo wamesimamishwa kazi kwa tuhuma...

READ MORE

Binti Miaka 17 Akamatwa kwa Kuiba Kichanga

  BINTI mmoja mkazi wa mkoa wa Geita, Anjelina Masumbuko mwenye umri wa miaka 17 anashikiliwa na Jeshi la Polisi...

READ MORE

Mtandao wa Twitter ‘Wafunguliwa’ Tanzania

WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania hii leo wanaweza kuingia katika mtandao wa Twitter bila kutumia mfumo wa usalama...

READ MORE