×

Kitaifa

Waliomburuza Barabarani Mwanamke Wasimamishwa Kazi

Gavana wa kaunti ya Kisumu amewasimamisha kazi maafisa waliopigwa picha wakimburuza barabarani mwanamke mfanyabiashara wa matunda.     Vyombo vya...

READ MORE

Kauli ya Makonda Baada ya Kumuaga JPM

ALIYEKUWA kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameonyesha kuumizwa zaidi na msiba wa aliyekuwa Rais wa...

READ MORE

Wenye Miaka 58 na Zaidi Kupewa Kipaumbele Chanjo ya Corona Kenya

Serikali sasa imesema itawapa kipaumbele wale walio na umri wa miaka 58 na zaidi katika shughuli inayoendelea ya kutoa chanjo...

READ MORE

Ibada ya Kuaga Wanafamilia 5 Waliofia Uwanjani Wakimuaga JPM – Video

MAJONZI na simanzi vimetawala leo Alhamisi, Machi 25, 2021, kwa waombolezaji, ndugu, jamaa na marafiki wakati wa ibada ya kuaga...

READ MORE

Askofu Niwemugizi: Magufuli Aliagiza Nirejeshewe ‘Passport Yangu’

ASKOFU wa Kanisa Katoliki jimbo la Rulenge Ngara, Severine Niwemugizi amesema aliyekuwa Rais wa Tanzania marehemu, John Magufuli aliagiza arejeshewe...

READ MORE

Live: Miili ya Wanafamilia Watano Waliiofariki Pamoja Yaagwa Kimara Dar

    MAJONZI na simanzi vimetawala leo Alhamisi, Machi 25, 2021, kwa waombolezaji wakati wakitoa heshima za mwisho kwa miili...

READ MORE

Ufafanuzi Kuhusu Rais Samia Kuitwa Amiri Jeshi au Amirat

SIKU chache baada ya kuibuka utata wa matumizi ya maneno ‘amiri’ na ‘amirat’ kutokana na Tanzania kupata Rais mwanamke kwa...

READ MORE

Kauli ya Kocha wa Stars Kuelekea Game ya Equatorial Guinea – Video

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kucheza mchezo dhidi ya Equatorial Guinea, Machi 25, 2021, ambao...

READ MORE

Waziri Mkuu kuongoza Wakazi wa Chato Kuaga Mwili wa JPM – Video

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo Alhamisi, Machi 25, 2021, ataongoza wakazi wa Chato na...

READ MORE

Mfahamu Anna Mwakasege, Rubani Aliyesafirisha Mwili wa JPM Dodoma

Baada ya kukamilika kwa shughuli za kumuaga Hayati Dk. John Pombe Magufuli jijini Dar es Salaam, mwili wake ulisafirishwa kwa...

READ MORE

Maelfu Wajitokeza Kuaga Mwili wa Magufuli Chato – Video

MWILI wa Hayati Magufuli, tayari umewasili salama nyumbani kwake Chato mkoani Geita, ambapo leo Machi 25, wakazi wa mkoa huo...

READ MORE

Mama Azimia Mwili wa Magufuli Ukiingia Chato – Video

MWILI wa Hayati Magufuli, umewasili nyumbani kwake wilayani Chato mkoani Geita, ambapo unatarajiwa kuagwa na maelfu ya wananchi wa wilaya...

READ MORE

Mo Salah Awasili Kenya Kukipiga na Harambee Stars

KIKOSI cha Misri wakiwa na staa wao Mo Salah wamewasili jijini Nairobi Jumanne kwa ajili ya mchezo kati ya Mafarao...

READ MORE

Hatimaye Mwili wa Hayati Magufuli Wawasili Kwao Chato – Video

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli umewasili nyumbani kwake Chato...

READ MORE

Kifo cha Magufuli na Zawadi Aliyowaachia Watanzania

  IJUMAA Machi 26, 2021 wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watampumzisha aliyekuwa rais wa nchi hiyo Dkt John...

READ MORE

Mwanza Yazizima Kuagwa Mwili wa Hayati Magufuli – Video

WAKAZI wa Jiji la Mwanza na mikoa jirani,wamejitokeza kuuaga mwili wa Hayati Magufuli katika uwanja wa CCM Kirumba na katika...

READ MORE

Tumesikitishwa na Tuhuma za Mkuu wa Mkoa Geita

KAMPUNI ya Global Publishers imesikitishwa na taarifa iliyotolewa jana Jumatatu Machi 23, 2021 na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi...

READ MORE

Makonda Amuaga Hayati Magufuli – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameungana na wakazi wa jiji la Mwanza na mikoa ya...

READ MORE

Majaliwa Aongoza Maelfu Kuaga Mwili wa Magufuli Mwanza

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumatano Machi 24, 2021 anawaongoza wakazi wa Mwanza na mikoa jirani kumuaga aliyekuwa Rais...

READ MORE

Mwanza: Makonda Afika CCM Kirumba Kumuaga Magufuli – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameungana na wakazi wa jiji la Mwanza na mikoa ya...

READ MORE

Raila Odinga, Swahiba wa Magufuli Tangu Kitambo

Kiongozi wa chama cha ODM nchini Kenya Raila Odinga ameandika ujumbe mrefu wa salamu za rambirambi akimbukumba rafiki yake Hayati...

READ MORE

Yericko Nyerere Akwepa Jela Miaka Mitatu

Mfanyabiashara na mwanaharakati maarufu wa masuala ya kisiasa, Yericko Nyerere amelipa faini ya Sh5 milioni na kukwepa kifungo cha miaka...

READ MORE

Rais Xi Jinping wa China Amlilia Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping amlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati...

READ MORE

Maisha Aliyopitia Mama Samia Kabla ya Kuwa Rais wa Tanzania

Samia Suluhu Hassan ameandika historia ya kuwa Rais wa sita wa Tanzania akiwa ni mwanamke wa kwanza Tanzania kushika nafasi...

READ MORE

Kumuaga JPM! RC Asema Watoto na Wazee Wabaki Nyumbani

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella ametoa rai kwa Watoto na Wazee kufuatilia shughuli za kumuaga aliyekuwa Rais wa...

READ MORE

Wanafunzi Wajifungua Saa Chache Kabla ya Kuanza Mitihani

Wanafunzi watano katika kaunti za #Nakuru, Samburu na Nyandarua wamelazimika kufanyia mitihani yao ya Darasa la Nane (KCPE), Hospitalini baada...

READ MORE

Askofu Bendera Asimulia Ndoto Aliyoota Kabla ya Kifo cha Magufuli – Video

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Ufunuo, Mchungaji Paul Bendera alipata ndoto ya kiroho kabla ya Rais wa sasa wa Jamhuri...

READ MORE

Watu Bilioni 3.9 Duniani Wafuatilia Shughuli ya Kumuaga Magufuli

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema zaidi ya watu bilioni 3.9 duniani kote walifuatilia matangazo ya moja kwa moja...

READ MORE

Breaking: Yericko Nyerere Ahukumiwa Jela Miaka 3

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu mfanyabiashara, Yericko Nyerere kulipa faini ya Sh5 milioni au kwenda jela miaka mitatu baada...

READ MORE

Rais Mwinyi Aanika Mazito ya Magufuli – Video

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein amesema kuwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli alikuwa mstari wa mbele kuimarisha maisha ya Watanzania...

READ MORE

Majaliwa: Mwili wa Magufuli Utalala Ikulu Zanzibar – Video

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kwa kuwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli alikuwa Rais...

READ MORE

Wananchi Buchosa Wafanya Ibada Kumuombea Magufuli

WAKATI taifa likiwa katika kipindi Cha maombolezo ya Hayati Dkt. John Magufuli, wananchi wa Jimbo la Buchosa wamekusanyika na kufanya...

READ MORE

Mwili wa Hayati Magufuli Wawasili Zanzibar Kuagwa – Video

Mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli umewasili visiwani Zanzibar kwa...

READ MORE

Zanzibar: Maelfu Wajitokeza, Kuagwa Kwa Hayati Rais Magufuli -Video

 Mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli umewasili katika visiwa vya Zanzibar ambapo hii leo mwili huo...

READ MORE

Waziri Mkuu Awasili Zanzibar Kuagwa Mwili wa Magufuli – Video

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, tayari amewasili visiwani Zanzibar kwa ajili ya kushiriki kwenye zoezi la kuuaga mwili wa...

READ MORE

Rais Assoumani: Kifo cha Magufuli ni Pigo Kubwa kwa Comoro

Rais Azali Assoumani wa Comoro amesema kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli ni pigo kubwa kwa nchi...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Viongozi Kumuaga Rais Magufuli – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akitoa Heshima za Mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa...

READ MORE

Kauli ya Mwisho ya Magufuli kwa Rais Samia- Video

  “Samia usiwe na wasiwasi kuhusu afya yangu, nenda kaangalie miradi tuliyoahidi kuwahudumia wananchi peleka salamu zangu waambie ninawapenda,” amesema...

READ MORE

Mangula: Rais Samia Atakamilisha Kazi Zote Alizoanzisha JPM – Video

Makamu mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula amesema aliyekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alitembea pamoja nchi nzima...

READ MORE