×

Magazeti

Nuh amuumbua upya Shilole

Nuh Mziwanda akiwa na mrembo anayedaiwa kufanana na Shilole. Stori: BONIPHACE NGUMIJE, WIKIENDA Dar es Salaam: Msanii anayefanya poa kwenye...

READ MORE

Vigogo Wizara ya Kilimo Wadaiwa Kutafuna Mamilioni!

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba Issa Mnally na Richard Bukos, UWAZI DAR ES SALAAM: Kimbembe Wizara...

READ MORE

Mastaa Waanika Bei Zao za Kupiga Picha za X

Stori: Mayasa Mariwata, Ijumaa DAR ES SALAAM: Dunia imekwisha!  Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mastaa wa kike Bongo ambao wamekuwa vinara...

READ MORE

Wolper: Lazima nimzalie Harmonize

Jacqueline Wolper na Harmonize. Stori:Imelda Mtema, RISASI JUMAMOSI MTOTO wa Kichaga anayetikisa anga la Bongo Muvi, Jacqueline Wolper amenyanyua kinywa...

READ MORE

Agizo la Magufuli Lamtumbua Muonyesha Filamu

Rais John Magufuli Stori: Mwandishi Wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Kimenuka! Agizo la Rais John Magufuli la kuwataka watu...

READ MORE

Lulu awapa makavu mastaa wapenda kiki

Elizabeth Michael ‘Lulu’. Stori:Imelda Mtema, RISASI JUMAMOSI STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa mastaa wengi wanapenda...

READ MORE

Baba Haji akomalia sinema za kidini

Mkongwe wa Bongo, Haji Adam ‘Baba Haji’ Stori:Mwandishi Wetu, RISASI JUMAMOSI MUIGIZAJI mkongwe Bongo, Haji Adam ‘Baba Haji’, amesema baada...

READ MORE

Jumuia ya Afrika Mashariki yavunjika baada ya miaka 10

JUMUIA ya Afrika ya Mashariki ya sasa ni marudio ya Jumuia ya Afrika Mashariki iliyoanzishwa kwa furaha mwaka 1967 na...

READ MORE

Mshindi pikipiki; tuchezeni Bahati Nasibu ushindi njenje!

        Evans William aliyeshinda pikipiki. Shinda Nyumba Droo Ndogo… Mshindi pikipiki; tuchezeni Bahati Nasibu ushindi njenje! MSHINDI wa zawadi ya...

READ MORE

Wema, Petit ndani ya bifu

Wema Sepetu. DAR ES SALAAM: Imevuja! Urafiki wa muda mrefu wa muigizaji nyota, Wema Sepetu na mshika kamera wake, Petit...

READ MORE

Kigogo amjengea mjengo Vai wa Ukweli!

Muigizaji Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ NA MWANDISHI WETU, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Licha ya madai kuwa soko la...

READ MORE

Ishu ya Udhalilishaji…Makosa 3 ya Gardner kwa Jide!

Mtangazaji Gardner G. Habash. NA OJUKU ABRAHAM GARDNER G. Habash na Judith Wambura Mbibo bado ni stori kubwa mjini, licha...

READ MORE

Magazeti ya leo kutoka Global Publishers

KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP ********* JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU: KWA HABARI...

READ MORE

Afisa tarafa matatani kwa ubakaji

Binti anayedaiwa kubakwa. Gladness Mallya, RISASI MCHANGANYKO PWANI: Afisa Tarafa mmoja mkoani hapa, ameingia matatani akituhumiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa...

READ MORE

Aunt Ezekiel adaiwa kumchepuka Iyobo

Na MUSA MATEJA, Risasi MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amekwaa skendo ya kudaiwa kumsaliti mpenzi...

READ MORE

Walokole Wazichapa Laivu, Kisa Penzi

Timbwili likazua balaa. Stori: Francis Godwin, UWAZI IRINGA: ‘Jaribu la mtu si kwamba kaomba, bali ni kikombe tu lazima akinywe’,...

READ MORE

Mch Afunguka Kuhubiri Juu ya Migongo ya Waumini

Mchungaji Berthania Simon akihubiri huku akiwa amepanda juu ya migongo ya waumini. Stori:  Gabriel Ng’osha, UWAZI DAR ES SALAAM: Yule...

READ MORE

Mbongo Anaswa na Unga wa Bil. 10

Herry Mussa Yangealiyenaswa na ‘unga’. Stori:  Makongoro Oging’, UWAZI DAR ES SALAAM: Hii ni funga kazi sasa! Kuna habari kwamba,...

READ MORE

Maajabu Mazishi ya Liyumba

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Joachim Liyumba enzi za uhai wake. Stori:...

READ MORE

Zari Afanyiwa Mchezo Mchafu

Mpenzi wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘The Boss Lady’. Stori: Waandishi Wetu, Wikienda DAR ES SALAAM:...

READ MORE

Liyumba Azikwa na Siri ya Balali

Baadhi ya waombolezaji wakipita pembeni ya jeneza kutoa heshma za mwisho. Stori: Waandishi wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM, MOROGORO: Aliyekuwa...

READ MORE

Makonda amtumbua Asha Baraka

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda Stori: Richard Bukos, Risasi Jumamosi Dar es Salaam: Ile amri ya Mkuu...

READ MORE

Kisa Penzi la Kiba… Jokate, Diva Watifuana!

Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ na mpenzi wake, mwanamitindo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Stori: Waandishi wetu, Risasi Jumamosi...

READ MORE

Sheikh Mkuu Akerwa Tabia za Akina Wema

Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salim. Stori: Gladness Mallya, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM:  Shehe Mkuu...

READ MORE

Msanii Bongo Muvi Afariki Akijifungua

   Stori: Imelda Mtema DAR ES SALAAM: Ni simanzi! Nyota ya msanii Leila Gabriel ‘Lissa’ ambayo ndiyo kwanza ilikuwa imeanza...

READ MORE

‘Maajabu’ daraja la Kigamboni

Daraja la Kigamboni. Sifael paul, Risasi mchanganyiko Dar es Salaam: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe...

READ MORE

Liyumba Aungama Dakika 30 Kabla ya Kifo

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Amatus Liyumba enzi za uhai wake. Mwandishi wetu,...

READ MORE

Ray C Anusurika Kupigwa Risasi Saa 8 Usiku!

Mkongwe kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’. Imelda Mtema, Risasi mchanganyko DAR ES SALAAM: Rehema Chalamila ‘Ray C’...

READ MORE

Binti miaka 19 awa gumzo kazi ya mochwari (Stori+Video)

Sabrina Gharib  binti anayefanya kazi kwa vitendo kimasomo  kwenye Mochwari  ya Hospitali ya Rufaa ya Tumbi Kibaha mkoani Pwani. Stori: Elvan...

READ MORE

Hofu yatandaa Shkuba kutoroka gerezani

Ali Khatib Haji ‘Shkuba’. Stori: Hashim Aziz na Makongoro Oging’, UWAZI DAR ES SALAAM: Kufuatia kuendelea kushikiliwa kwa kigogo anayedaiwa...

READ MORE

Kova aibuka sakata la Lugumi

Kamanda Mstaafu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova. Stori: Ojuku Abraham, UWAZI DAR ES SALAAM: Kamanda...

READ MORE

Akiona ukweni akigombea maiti ya mkewe!

Kisika Wambura akiwa na simanzi baada ya kufiwa na mkewe. Stori:  Gregory Nyankaira, UWAZI MARA: Mkazi wa Kijiji cha Mwikoro,...

READ MORE

Msanii amgonga trafiki, akiona!

Msanii wa Bongo Fleva, Cyril Kamikaze aliyedaiwa kumgonga trafiki. STORI:  Mayasa Mariwata, Wikienda Dar es Salaam: Kibano! Msanii wa Bongo...

READ MORE

Jide ampeleka Ray C kwenye maombi

Jide (kushoto) akiwa na Ray c (katikati) pamoja na shoga yao. STORI:  Musa Mateja na Sifael Paul, Wikienda Dar es...

READ MORE

Magufuli awalaza njaa wapiga dili mjini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli ‘JPM’. STORI: Sifael Paul, Wikienda Dar es Salaam: Hali...

READ MORE

Ukweli wa kaka’ke Diamond kubaka Sweden

Kaka wa staa wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Rommy Jones. STORI: Musa Mateja, Wikienda Dar es Salaam: Mwisho...

READ MORE

Lulu Ampa Vitisho Mama Kanumba

Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. NA Mayasa Mariwata, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: STAA wa filamu Bongo, Elizabeth...

READ MORE