INAELEZWA uongozi wa Klabu ya Simba kupitia Mtendaji Mkuu, Senzo Mazingiza raia wa Afrika Kusini umemtimua kazi aliyekuwa meneja wa...
READ MOREMECKY Maxime tayari ni kocha msaidizi wa Yanga na kilichobaki mpaka sasa ni kutangazwa tu rasmi na uongozi wa timu...
READ MOREKAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Boniface Mkwasa, amewapa masharti mazito nyota wapya wa Yanga waliotua kufanya majaribio kikosini hapo ambao...
READ MORE Mshambuliaji wa zamani wa Biashara United, Tariq Seif Kiakala amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga. Usajili huo...
READ MOREBAADA ya uongozi wa Simba kumtambulisha Mbelgiji, Sven Vandenbroeck kuchukua nafasi ya Patrick Aussems, aliyekuwa kocha wa Nkana, Beston...
READ MOREUONGOZI wa Klabu ya Yanga umesitisha mipango ya kuachana na beki wa kati wa kimataifa wa timu hiyo Mrundi Moustafa...
READ MOREJANA Desemba 11 Mabingwa wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara Simba Sports Club wamemtangaza Kocha Mkuu wao mpya Mbelgiji...
READ MOREKlabu ya Simba SC imemtambulisha kocha wake mpya Mbelgiji Sven Ludwig Vandenbroeck jana Jumatano Desemba 11, 2019 akiwa na rekodi...
READ MORETIMU ya Simba na Yanga watacheza mechi zao la Ligi Kuu Tanzania Bara katika siku kuu Krismasi kwa mujibu wa...
READ MOREKLABU ya soka ya Napoli ya Italia imemfukuza kazi kocha wao Carlo Ancelotti ikiwa ni chini ya masaa matatu baada...
READ MOREWAKATI Simba ikitarajiwa kumtambulisha kocha wake mkuu leo, taarifa zinasema kuwa kumekuwa na vita kubwa kati ya Beston Chambeshi...
READ MOREUONGOZI wa Yanga upo kwenye mchakato wa mwisho wa kumalizana na Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime kwa ajili...
READ MORETIMU ya Taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars leo Desemba 10, 2019 imeshida mchezo wake wa kwanza mbele ya Zanzibar...
READ MORESELEMAN Matola, ametangazwa kuwa Kocha Msaidizi wa Simba leo akipokea mikoba ya aliyekuwa kocha msaidizi wa timu hiyo. Matola...
READ MOREMWENYEKI wa Klabu ya Yanga, Mshindo Msolla, leo Desemba 10, 2019 amezungumzia tetesi za klabu hiyo kutowalipa mishahara wachezaji kwa...
READ MOREALIYEKUWA kocha mkuu wa timu ya soka ya Nkana ya nchini Zambia, Beston Chambeshi, amevunja mkataba na klabu hiyo...
READ MOREMWEKEZAJI wa klabu ya Simba, Mohamed Dewji ‘MO’, amewaahidi wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) kitita...
READ MOREZIKIWA zimebaki siku saba kabla ya dirisha dogo kufunguliwa, uongozi wa Yanga umeamua kufanya kweli kwa muuaji wa Simba, Gerald...
READ MOREMABOSI wa Polisi Tanzania, wamefungua njia kwa timu ya Yanga ambayo inaelezwa kuwa inahitaji saini ya nyota wao Ditram Nchimbi...
READ MOREKOCHA mtarajiwa wa Simba, Mzambia Beston Chambeshi ameliambia Spoti Xtra kwamba ndani ya siku mbili zijazo atakuwa Dar es Salaam...
READ MOREYANGA imefanya maamuzi magumu kwa kuwapukutisha mastaa watano wa kigeni akiwemo Sadney Urikhob ambae amewawahi kwa kuandika barua ya kuvunja...
READ MOREMAMBO ni moto Simba, hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya uongozi wa Simba kutenga mamilioni ya usajili ambayo atakabidhiwa kocha...
READ MOREKOCHA mpya wa Simba, Mzambia, Beston Chambeshi ‘Quick Silver’, anatarajia kuingia kati ya leo Jumatatu au kesho Jumanne kwa...
READ MOREBILIONEA na mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ ameweka hadharani kwamba wanamshusha kocha matata zaidi katika klabu hiyo ambaye ataziba...
READ MOREKAMATI ya Ufundi na Mashindano ya Yanga imesema kuwa wapo tayari wawaachie wachezaji wao wote wa kimataifa waondoke lakini siyo...
READ MOREKWA mara ya kwanza straika na nahodha wa Simba, John Bocco anarudi uwanjani Januari 4, mwakani dhidi ya Yanga...
READ MOREUONGOZI wa Simba umefunguka kuwa tayari watu maalum wanaohusika na masuala ya usajili ndani ya klabu hiyo wameanza kufanyia...
READ MOREWanachama klabu ya Simba wamepitisha rasmi uamuzi wa kuuita uwanja wao Simba Mo Arena badala ya Simba Complex uliopo Bunju....
READ MOREKlabu ya Simba, leo Desemba 8, 2019 wanafanya Mkutano Mkuu wa mwaka 2019 kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa...
READ MOREBONDIA wa ngumi za kulipwa za uzito wa juu, Anthony Joshua amefanikiwa kumtwanga mpinzani wake wa karibu Andy Ruiz Jr...
READ MOREMAMIA ya mashabiki wa timu ya Simba leo Decemba 7, 2019 wamejitokeza kwenye uzinduzi wa viwanja vya Simba uliopo Bunju...
READ MORETIMU ya soka ya viongozi wa serikali ya mkoa wa Mwanza wakiongozwa na Katibu Tawala wa mkoa huo, Christopher Derek...
READ MOREYANGA tayari ina orodha kamili ya majina ya wachezaji wanaowahitaji lakini kanuni za usajili za Shirikisho la Soka Afrika (Caf)...
READ MOREWACHEZAJI wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars wameapa kuwa iwe isiwe lazima wapambane ili waweze kupata ushindi...
READ MORERASMI sasa Klabu ya Simba imeandika historia yake mpya ambapo, Jumatatu hii timu yake ya soka itaanza kutumia viwanja vyake...
READ MOREBAADA ya aliyekuwa kocha wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems kubeba mabegi yake na kusepa kwao, uongozi wa timu hiyo...
READ MORENAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na mshambuliaji wa KR Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta, ameamua kumbeba...
READ MOREMWILI wa nyota wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Ally Yusuf ‘Tigana’ aliyefariki dunia jana mchana, unatarajiwa kuzikwa saa 10...
READ MOREMABOSI wa Yanga wamekiangalia kikosi chao kilichocheza michezo nane ya Ligi Kuu Bara, fasta wakakubaliana kushusha kiungo fundi mchezeshaji mwenye...
READ MOREAMA kweli Yanga imepania kuwachakaza wapinzani wapo wa jadi, Simba katika mechi ya watani wa jadi inayotarajiwa kuchezwa Januari 4,...
READ MORE