×

Michezo

Man Utd Yawashangaza Arsenal Nyumbani, Yawapiga Bao 3-1

Arsenal (4-3-3): Cech 5.5; Koscielny 4, Mustafi 4.5 (Iwobi 15 6), Monreal 6; Bellerin 6.5, Xhaka 5.5 (Welbeck 70 6),...

READ MORE

Wenger: Nadhani Man United Hawatapaki Basi Leo

KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amesema hategemei kuona mwenzake Jose Mourinho wa Manchester United ‘akipaki basi’ katika mchezo wao wa...

READ MORE

SportPesa Yawakabidhi Vifaa Wabunge wa Tanzania

  KAMPUNI ya kubashiri Tanzania SportPesa imewakabidi vifaa vya michezo wabunge wa Bunge la Tanzania kwa ajili ya michuano ya...

READ MORE

Yanga SC Yamuwekea Ngumu Ngoma

  YANGA imemuwekea ngumu straika wake Donald Ngoma kwanza kuendelea na kazi yake ya kuitumikia timu hiyo, pia mpango wa...

READ MORE

Mavugo Apata Zali Simba Kutoka Kwa Kocha Wake

WAKATI habari zikizagaa kwamba Simba ipo mbioni kuachana na straika wake, Laudit Mavugo, Kocha Joseph Omog wa timu hiyo ameenda...

READ MORE

MAKUNDI YOTE WORLD CUP 2018 HAYA HAPA, RONALDO APANGWA NA RAFIKI ZAKE

Upangwaji wa makundi wa michuano ya Kombe la Dunia ambayo itafanyika mwakani nchini Urusi umefanyika leo nchini humo. Michuano hiyo...

READ MORE

Sokabet Beach Soccer Sasa Kufanyika Coco

MICHUANO ya Beach Soccer inayodhaminiwa na gazeti namba moja la michezo Tanzania la Championi na Kampuni ya Michezo ya Kubahatisha...

READ MORE

Kamusoko Azua Sekeseke Yanga

SIKU chache baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Madaktari wa Tiba za Michezo Tanzania (Tasma), Nasoro Matuyza kutangaza kuomba...

READ MORE

STRAIKA MPYA WA SIMBA HUYU HAPA, NI HATARI TUPU!

HARAKATI za usajili wa wachezaji katika vilabu vya soka la Tanzania, zinaendelea kwa nguvu huku Klabu ya Simba ikikaribia kumsajili...

READ MORE

HATIMAYE SERIKALI YAKUBALI MO DEWJI, MANJI WAWE MABOSI SIMBA NA YANGA

WAKATI sakata la uwekezaji likiendelea kuteka hisia za wadau wengi wa soka la nchini Tanzania, hatimaye serikali imetoa tamko juu...

READ MORE

Mwakyembe: Tunahitaji Ushindi Katika Soka Dhidi ya Yeyote

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Harison Mwakyembe, usiku wa kuamkia leo alipata fursa ya kula chakula cha pamoja...

READ MORE

Majembe Manne Yabadili Vikosi Simba, Yanga

USAJILI wa dirisha dogo kwa timu za Ligi Kuu Bara, Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Daraja la Pili, unaendelea...

READ MORE

Kiboko ya Okwi Apelekwa Yanga

MABOSI wa Yanga wanaweza kucheka baada ya uongozi wa Prisons kusema upo tayari kuwauzia mshambuliaji wao Rashid Mohammed mwenye mabao...

READ MORE

Simba Yamteka Asante Kwasi Kwa Saa Nne

  BEKI wa kati wa Lipuli FC, Asante Kwasi raia wa Ghana, muda wowote anaweza kuwa mali ya Simba baada...

READ MORE

Bunge SC Watamba Kunyakua Ubingwa wa Afrika Mashariki

UONGOZI wa Timu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bunge Sports Club umetamba kuwa umejiandaa vyema kunyakua Ubingwa...

READ MORE

Lwandamina Asepa Yanga SC, Aacha Majina Ya Usajili

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mzambia, George Lwandamina, juzi Jumatatu aliondoka kwenda kwao Zambia kwa ajili ya mapumziko baada ya Ligi...

READ MORE

Simba SC Yawapa Mapumziko Wachezaji Wake

UONGOZI wa Klabu ya Simba umewapa wachezaji wake siku saba za kupumzika baada ya hapo wachezaji hao watarejea kwa ajili...

READ MORE

Yanga SC Yakwea Pipa Kufuata Straika Uarabuni

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wamejitoa kwenye vita ya kumsajili mshambuliaji, Elias Maguli, huku bosi wake akikwea pipa...

READ MORE

FERDINAND: UWEPO WA ZLATAN IBRAHIMOVIC NI SABABU YA LUKAKU KUTOFUNGA

Beki wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand amesema anaamini uwepo wa straika mkongwe Zlatan Ibrahimovic ndani ya kikosi cha...

READ MORE

Halotel,Sport Pesa kunogesha michezo

Dar Es Salaam, 28 November, 2017. Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Halotel, imeingia katika makubaliano rasmi na...

READ MORE

GATTUSO KOCHA MKUU AC MILAN, HOFU YATANDA

Kocha mpya wa AC Milan, Gennaro Gatuso amezua gumzo kubwa huku mambo mengi yakizungumzwa. Baada ya Milan kumtimua kocha wake...

READ MORE

Waziri mkuu akabidhiwa vifaa vya michezo Ikulu (Video)

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Majaliwa Kasim Majaliwa leo amekabidhiwa vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi...

READ MORE

Majimaji Watembelea Ofisi za SOKABET Sinza – Mori

BAADHI ya wachezaji na viongozi wa timu ya Majimaji FC ya Songea Ruvuma, mapema leo walipata fursa ya kutembelea ofisi...

READ MORE

Niyonzima: Mavugo Hakosi Timu

WAKATI tetesi za kutemwa kwa mshambuliaji Mrundi, Laudit Mavugo, kiungo mchezeshaji wa Simba, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, amesema kuwa mchezaji huyo...

READ MORE

Majimaji Yaanika Kilichowaponza Kwa Ruvu

BAADA ya juzi Jumamosi Majimaji FC kupoteza mechi yake dhidi ya Ruvu Shooting, kocha mkuu wa timu hiyo, Peter Mhina,...

READ MORE

Straika Yanga Amuomba Lwandamina Asepe

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Matheo Anthony, hivi karibuni aliamua kumfuata kocha wa timu hiyo, George Lwandamina, akitaka kumpa ruhusa ya kuondoka...

READ MORE

FT: Simba 1-1 Lipuli FC, Uwanja Wa Uhuru, Dar

Dk ya 95: Muda wowote mchezo utamalizika. Dk ya 93: Simba wanapambana kutafuta bao la ushindi lakini mambo ni magumu....

READ MORE

Live: Ibrahim Class VS Koos Sibiya Wa S. Afrika Uwanja wa Uhuru, Dar

Shushudia ngumi za uhakika kati ya mtanzania Ibrahim Class anayetetea mkanda wake wa Lightweight Champion dhidi ya bingwa wa kimataifa...

READ MORE

FT: YANGA 1-1 PRISONS, UWANJA WA AZAM COMPLEX

Dakika ya 85: Yanga wanafanya mabadiliko, anatoka Ajibu anaingia Yusuph. Dakika ya 79: Ibrahim Ajibu anapata kadi ya njano kutokana...

READ MORE

Majimaji Leo Ushindi Lazima

  MAJIMAJI ya Songea mkoani Ruvuma, imesema kuwa, kutokana na wachezaji wake kuwa na afya njema, leo lazima iibuke na...

READ MORE

Yanga Yamfuata Kiboko Ya Okwi

YANGA wapo kwenye majadiliano ya mwisho kumfuata beki Mrundi, Yusuph Ndikumana anayeichezea Mbao FC ya Mwanza ili imsajili kukiongezea nguvu...

READ MORE

Tambwe Aondoka na Mtu Yanga

KUREJEA kwa mshambuliaji wa Yanga Mrundi, Amissi Tambwe kumekifumua kikosi cha Mzambia, George Lwandamina ambaye atalazimika kumuondoa mchezaji mmoja katika...

READ MORE

Okwi Awekwa Chini Ya Uangalizi Simba

KUFUATIA kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Emmanuel Okwi kuwa majeruhi wa enka, uongozi wa klabu hiyo, umetoa rai kuhakikisha...

READ MORE

BONDIA MTANZANIA KUTETEA UBINGWA WA GBC DHIDI YA BONDIA WA AFRIKA KUSINI JUMAMOSI HII

  Dar es Salaam November 23, Bondia Mtanzania Ibrahim Class Mgendera, anatarajia kutetea ubingwa anaoushikilia wa mkanda wa dunia wa...

READ MORE

Spoti Hausi: Usikose Kutazama Mahojiano na Mussa Hassan Mgosi Saa 10.00 leo Jioni

GLOBAL TV Online, Kupitia kipindi chake cha Michezo, SPOTI HAUSI, leo watafanya EXCLUSIVELY na Aliyekuwa mchezaji wa timu ya Simba, Mussa...

READ MORE

USAJILI WA YANGA BADO SIKU TATU TU

IKIWA Dirisha Dogo la Usajili limefunguliwa Novemba 15 mwaka huu na litafungwa Disemba 15, klabu hutumia kipindi hiki kidogo cha...

READ MORE

AZAM FC YAPATA STRAIKA MPYA KUTOKA GHANA

UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, umefanikiwa kunasa saini ya mshambuliaji Bernard Arthur, akitokea Liberty...

READ MORE

TAMBWE AJIFUA KUWAKABILI PRISONS

STRAIKA wa Yanga Mrundi Amissi Tambwe, ameanza rasmi kujifua na kikosi chake cha Yanga tayari kwa mchezo wao wa Ligi...

READ MORE