×

Michezo

SIMBA YAPANGWA KUANZA NA TIMU YA DJIBOUTI KOMBE LA SHIRIKISHO

Simba imepangwa kuanza katika raundi ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wawakilishi wa Djibouti, Gendarmerie Tnale.  ...

READ MORE

Yanga, Simba Wapangiwa Vigogo Hawa Michuano ya CAF

Wapinzani wa Simba na Yanga katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika na Kombe la Shirikisho inayoandaliwa na Shirikisho la Soka...

READ MORE

Mo Ibrahim wa Simba Afiwa na Mtoto Wake

  Kiungo wa klabu ya Simba, Mohammed Ibrahim amepata pigo jana baada ya kumpoteza mtoto wake wa kiume aliyefariki dunia...

READ MORE

RATIBA YA SIMBA NA YANGA RAUNDI YA PILI KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM HII HAPA

 Baada ya droo ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (Azam Sports Federation Cup – ASFC), kukamilika Jumatano Desemba...

READ MORE

Tambwe arejea, Tshishimbi atoweka

    MSHAMBULIAJI wa Yanga, Amissi Tambwe amerejea rasmi ndani ya kikosi hicho na kuanza mazoezi huku straika mwenzake Mzambia...

READ MORE

16 BORA YA LIGI YA MABINGWA, CHELSEA KUIVAA BARCELONA, NEYMAR KUIVAA REAL MADRID

Droo ya Hatua ya 16 Bora ya Champions League imepangwa mchana wa leo ambapo kuan mechi tatu zinazotajwa kuwa zitakuwa...

READ MORE

Straika mpya Yanga afunguka atakavyomweka benchi Chirwa

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Yohana Nko­mola, amefunguka kuwa atahakikisha anapambana na washambuliaji wa timu hiyo ak­iwemo, Mzambia Obrey Chirwa ili...

READ MORE

Ajibu Apangua Programu za Lwandamina Yanga

KUKOSEKANA kwa nyota kadhaa kwenye kikosi cha Yanga hivi sasa akiwemo Ibrahim Ajibu, imesab­abisha programu za kocha wa timu hiyo,...

READ MORE

Manchester Derby Ni Leo, Kuna Vita Kubwa Kwenye Uwanja Wa Old Trafford

Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho amesema mchezo mkubwa baina yao na Manchester City chini ya Kocha Pep Guardiola hautabiriki....

READ MORE

BARA WAKIENDELEA HIVI, WATAENDELEA KUWASHANGAA ZANZIBAR

SI vibaya kusema kuwa tuna hadithi nyingi sana na kitu kibaya zimekuwa hazina mwisho. Mwendelezo wake pia haueleweki na si...

READ MORE

Mchezo Umeisha, Ngoma Anarudi Yanga

YANGA inasita kuwapa mikataba washambuliaji wawili wa kigeni walio katika rada zake, lakini kwa hali ilivyo kuna uwezekano straika Donald...

READ MORE

Mudathir Yahaya Mchezaji Bora Novemba

  KIUNGO wa Singida United, Mudathir Yahaya amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Novemba, 2017 wa Ligi Kuu Bara akiwapiku Asante...

READ MORE

Pialali Kuzichapa na Muhindi Bagamoyo

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Idd Pialali anatarajia kupanda ulingoni dhidi ya Shiva Gurgaon raia wa India katika pambano...

READ MORE

Bosi wa Ndemla Akwama Kutua Bongo

BOSI wa Klabu ya AFC Eskelistuna ameshindwa kuwasili nchini wiki hii kumalizana na Simba kuhusu usajili wa timu hiyo, Said...

READ MORE

Tshishimbi Aamsha Molari Mazoezi Yanga

KIUNGO makabaji wa Yanga raia wa Congo Pap Tshishimbi Kabamba, kwa mara nyingine leo ameamsha molari ya wachezaji na mashabiki...

READ MORE

Buku ya Sokabet Yampa Denti wa Mzumbe Milioni 1

  MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Mzumbe kilichopo mkoani Morogoro, Mlack Ibrahim amefanikiwa kushinda shilingi milioni moja baada ya kubashiri...

READ MORE

Ronaldo Atwaa Ballon d’Or kwa Mara ya 5, Awabwaga Messi, Neymar

MSHAMBULIAJI wa klabu ya Real Madrid, na Timu ya Taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya Ballon d’Or kwa...

READ MORE

MAN UNITED VS MAN CITY…NI VITA YA MANCHESTER

  TIMU za Jiji la Manchester, keshokutwa Jumapili zitapambana katika mchezo wa Ligi Kuu England, Premier kwenye Uwanja wa Old Trafford....

READ MORE

Pluijm Kula Sahani Moja na Simba, Yanga

KOCHA Mkuu wa Singida United, Hans van Der Pluijm raia wa Uholanzi, ametamba kuendelea kuzifukuzia kwa ukaribu timu kongwe za...

READ MORE

Bunge Tanzania Haikamatiki, Uganda Wasusa

  TIMU ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana Desemba 6, 2017, asubuhi...

READ MORE

Timu Zilizoingia 16 Bora ya UEFA

Usiku wa December 6 2017  michuano ya UEFA Champions League msimu wa 2017/2018 ilimalizika rasmi kwa michezo nane kuchezwa barani...

READ MORE

Lwandamina Amfungulia Milango Straika Yanga SC

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mzambia, George Lwandamina amemruhusu straika wake, Matheo Anthony kuondoka klabuni hapo ili akatazame maisha sehemu nyingine...

READ MORE

Kikosi Cha Bilioni Moja Cha Mo Simba

BAADA ya Jumapili iliyopita mfanyabiashara bilionea na mwanachama wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ kushinda tenda ya kuwa mwekezaji mkubwa ndani...

READ MORE

Yanga Waingia Mzigoni, Wapania Kuiangamiza Mbao FC

KIKOSI cha Yanga chini ya Kocha Mkuu wa timu hiyo Mzambia, George Lwandamina leo kimeendelea kujifua kwenye mazoezi ya uwanjani....

READ MORE

Omog Apewa Siku 10 Mapumziko

UONGOZI wa Klabu ya Simba, umempa kocha mkuu wa timu hiyo, Joseph Omog siku zaidi ya siku kumi za mapumziko...

READ MORE

Yanga Yasubiri Kumtambulisha Sraika Mghana, Mbadala wa Ngoma

WAKATI zikiwa zimebaki siku tisa pekee kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa, Kamati ya Usajili ya Yanga chini ya...

READ MORE

Zanzibar Yamuadhibu Niyonzima

TIMU ya taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rwanda kwenye mchezo wake...

READ MORE

Wabunge wa Tanzania Wawachapa Wenzao wa Burundi

KATIKA Michuano ya East Africa Parliamentary Games inayoshirikisha Vilabu vya Mabunge ya nchi za Afrika Mashariki, mechi iliyopigwa katika Uwanja...

READ MORE

Straika Aomba Barua Aondoke Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Jamal Mnyate, ameomba barua kwa uongozi wa timu hiyo itakayomruhusu kuondoka na kwenda kwenye klabu nyingine kucheza...

READ MORE

Emmanuel Okwi Aileta Familia Yake Bongo

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, hivi sasa yupo Uganda na atakaporejea tu kuungana na wenzake, basi atatua na familia...

READ MORE

Ugumu Wa Liver Atletico Kufuzu UEFA Uko Hapa

BARCELONA, Bayern, Chelsea, Beşiktaş, Man­chester City, PSG, Real Madrid na Tottenham tayari zilishafuzu hatua ya 16 bora lakini kuna timu...

READ MORE

Ggm Wanga’ra Mashindano Ya Shirikisho La Michezo La Mashirika Ya Umma Na Binafsi (Shimmuta)

Mgodi wa Dhahabu Geita (GGM) umeibuka kidedea kwenye Mashindano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma na Makampuni binafsi...

READ MORE

Straika Simba Aomba Barua Asepe

MSHAMBULIAJI wa Simba, Jamal Mnyate, ameomba barua kwa uongozi wa timu hiyo itakayomruhusu kuondoka na kwenda kwenye klabu nyingine kucheza...

READ MORE

Tshishimbi Fiti, Kuanza Kazi na Mbao FC

KIUNGO wa Yanga, raia wa Dr Congo, Kabamba Tshishimbi, yupo fiti na huenda akaanza mazoezi mepesi ya gym leo asubuhi....

READ MORE

Ajibu Azua Hofu Yanga, Lwandamina Apagawa

WAKATI uongozi wa Yanga hivi sasa ukiwa katika harakati zake za kuhakikisha unakiimarisha kikosi chake ili kiweze kufanya vizuri katika...

READ MORE

Omog Ampa Mkataba Mpya Juuko

KOCHA Mkuu wa Simba, Joseph Omog, raia wa Cameroon, ameuelekeza uongozi wa timu hiyo umpe mkataba mpya wa kumbakisha klabuni hapo,...

READ MORE

Daktari Wa India Amtibu Kapombe, Kurejea Wiki Hii

BEKI wa kulia wa Simba, Shomary Kapombe, wiki hii anatarajiwa kurejea nchini baada ya kwenda India kutibiwa majeraha yanayomsumbua tangu...

READ MORE

Mo Dewji Ashinda Zabuni ya Kuinunua Klabu ya Simba

Mfanyabiashara bilionea kijana zaidi Afrika, Mohammed Dewjiameshinda zabuni ya kuinunua na kuiongoza klabu ya soka nchini, Simba Sc ambapo sasa...

READ MORE