×

Michezo

Mayanja: Hans Poppe, Aveva msiniharibie timu

KOCHA wa Simba, Mganda, Jackson Mayanja Said Ally na Mohammed Mdose KOCHA wa Simba, Mganda, Jackson Mayanja, ameutaka uongozi wa...

READ MORE

Manchester United watinga fainali FA

Louis van Gaal na Martial wakifurahi baada ya ushindi kwenye kombe la  FA uwanja wa Wembley Wayne Rooney akishangilia baada...

READ MORE

Okwi ataka Sh Mil 215 Simba

Straika wake Emmanuel Okwi kutoka Sonderjyske ya Denmark. Sweetbert Lukonge SIMBA imepanga kumrudisha straika wake Emmanuel Okwi kutoka Sonderjyske ya...

READ MORE

Ugomvi wa Kessy wahamia Yanga SC, Azam FC

Hassan Kessy. Wilbert Molandi,Dar es Salaam SIKU chache baada ya Hassan Kessy kusimamishwa na uongozi wa Simba, meneja wa nyota...

READ MORE

Msikonde! Yanga inasonga

Wachezaji wa timu ya Yanga SC wakishangilia kwa pamoja. Wibert Molandi YANGA imekubali kiroho safi kuondolewa kwenye Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

Pichaz: Azam Warejea Nyumbani Wakitokea Dubai

PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL

READ MORE

Pichaz: Yanga Watua Kutoka Misri

PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL

READ MORE

Niyonzima afanyiwa umafia na Al Ahly

Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima. Wilbert Molandi, Dar es Salaam YANGA imetolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika lakini kocha wa...

READ MORE

Ngoma abeba rekodi bab’kubwa Misri

Wachezaji wa Yanga wakishangilia na straika, Donald Ngoma (wa kwanza kushoto). Abdallah Zalala, Pwani na Nicodemus Jonas LICHA ya Yanga...

READ MORE

Angban: Sikumpiga Kessy, nilimkunja tu!

Beki wa timu yake, Hassan Kessy. Omary Mdose na Said Ally KIPA wa Simba, Vincent Angban, raia wa Ivory Coast,...

READ MORE

Mkude: Tusipopanda ndege, nasepa Simba

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam HEH yamekuwa hayo! Kwani kiungo wa Simba, Jonas Mkude, amesema...

READ MORE

Barcelona Hapumui, Atumbuliwa Tena La-Liga!

Goli la kwanza la Valencia baada ya krosi ya Siqueira na Rakitic kumfungisha kipa wake Uwanja wa Nou Camp jana...

READ MORE

Yanga yaenda Misri kuwavaa Al-ahly

Yanga wakiwa Uwanja wa ndege leo kujiandaa na safari yao ya Misri kuwavaa waarabu wabishi wa el Alhy. mchezo wa...

READ MORE

Mabeki wakiri Ngoma ni balaa

  Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma (kulia) akimtoka beko. MARA nyingi Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, amekuwa akilalamika kuwa...

READ MORE

Kocha Julio bhana, hiyo haiwezekani kabisa

Kocha wa Mwadui, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’. JUMATANO wiki hii beki wa Mwadui FC, Iddy Mobby alionyeshwa kadi nyekundu katika mchezo...

READ MORE

Mayanja: Yanga sawa ila Yondani noma sana

Beki wa Yanga Kelvin Yondani. MAPEMA wiki ijayo Yanga itarudiana na Al Ahly nchini Misri katika mechi ya 16 Bora...

READ MORE

Nusu Fainali ya Uefa Europa League

Droo ya Nusu Fainali ya Uefa Europa League imefanyika na tayari timu nne zilizoingia katika hatua hiyo zimepangwa jinsi zitakavyokutana....

READ MORE

UEFA Champions League Nusu Fainali Kila Kitu Hapa

Ratiba ya Nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imepanga na inavyoonekana shughuli itakuwa pevu. Matajiri wa Jiji la Manchester,...

READ MORE

Simba: Tutafia uwanjani kudaadeki!

Jackson Mayanja ‘Mia Mia’ Nicodemus Jonas na Wilbert Molandi KUONDOLEWA kwenye michuano ya Kombe la FA pamoja na ushindi wa...

READ MORE

Simba yanaswa ikijiwinda dhidi ya Toto leo

Walianza hivi. Kocha Mayanja akionesha kwa mifano jinsi anavyotaka. Ibrahim Ajib ‘Kadabra’ akijaribu kufuata maelekezo ya kocha. Said Ndemla (kulia),...

READ MORE

Drogba Kuishtaki Daily Mail

Mwanasoka maarufu duniani, Didier Drogba pamoja na Princess Beatrice wakiwa pamoja siku ya uzinduzi wa Taasisi ya Didier Drogba mwaka...

READ MORE

Atletico Madrid Yaivua Ubingwa wa UEFA Barcelona

Antoine Griezmann wa Atletico akifunga goli la kwanza Mpira uliopigwa na Antoine Griezmann kwa kichwa ukiingia nyavuni. Antoine Griezmann akishangilia...

READ MORE

Yanga yaichapa Mwadui bao 2-1

Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia. TIMU ya Yanga leo imeshinda bao 2 -1 dhidi ya Mwadui katika Uwanja wa...

READ MORE

VPL: Azam FC yaichapa Mtibwa

Kikosi cha Azam FC leo kimeibuka kifua mbele baada ya kuichapa Mtibwa Sugar bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu...

READ MORE

Ronaldo apiga hat trick, Man City yaifumua PSG

Cristiano Ronaldo akishangilia goli aliloipatia timu yake katika mchezo uliopigwa jana, na kufanikiwa kuifungia ‘hat-trick’. ….Akishangilia baada ya kufunga goli...

READ MORE

Kigogo amnunulia Kiiza gari

Mshambuliaji wa Simba, Hamisi Kiiza ‘Diego. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MSHAMBULIAJI wa Simba, Hamisi Kiiza ‘Diego’ anatarajia kupokea gari jipya kutoka...

READ MORE

Ratiba ya Mechi za leo na Kesho UEFA

Wachezaji wa Man City. Mechi za Marudiano za Robo Fainali ya michuano ya Uefa zinaendelea tena leo Jumanne na jumatano...

READ MORE

Simba yatupwa nje Kombe la Shirikisho

TIMU ya Simba SC imetupwa nje katika michuano ya Kombe la Shirikisho baada ya kipigo cha mabao 2-1 kwenye mchezo...

READ MORE

Haji Manara apata ajali mbaya

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Klabu ya Simba, Haji Manara. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MKUU wa Kitengo...

READ MORE

Azam waichapa Esperance 2-1

  Patashika wakati wa mtanange wa Azam dhidi ya Esperance leo. Ramadhan Singano ‘Messi’ akimiliki mpira pembeni ya wachezaji wa...

READ MORE

Kikosi cha Azam kitakachokwaana na Esperance leo

  Kikosi cha Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, kitakachocheza na Esperance ya Tunisia katika mchezo wa...

READ MORE

Pacquiao astaafu baada ya kumtwanga Bradley

 Timothy Bradley akianguka chini baada ya kupigwa ngumi na Mann Pacquiao Manny Pacquiao akishangilia ushindi baada ya kumpiga Timothy Bradley...

READ MORE

Live Updates: Yanga SC 1-1 Al-Ahly SC

Preeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na mpira umekwisha, Yanga SC 1-1 Al Ahly SC Dk 90, Evouma anajirusha na kuanguka ndani ya eneo la hatari lakini...

READ MORE

Gazeti la Championi latoa tiketi kwa mashabiki Yanga, Al Ahly

Mashabiki wa Timu ya Yanga wakisaidiwa kukata kuponi baada ya kununua Gazeti la Championi Jumamosi ili kushiriki Bahati Nasibu ya...

READ MORE

London Derby: West Ham 3-3 Arsenal

Straika wa West Ham, Carroll (kushoto) akinyang’anywa mpira na beki wa Arsenal, Laurent Koscielny. West Ham: Adrian, Tomkins, Reid, Ogbonna, Antonio,...

READ MORE

Yanga leo kuchea na Al Ahly ya Misri Taifa

Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia. YANGA, leo Jumamosi jioni itacheza kwa tahadhari kubwa mechi yake ya Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

Video: Samatta Atupia cha Tatu Ubelgiji

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa KRC Genk inayoshiriki Ligi Kuu Ubelgiji anayetokea hapahapa Tanzania ambaye pia ni nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Ally...

READ MORE

Cannavaro yupo fiti nyie tu

Kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm. KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm amesema nahodha na beki wake wa...

READ MORE

Kapombe atimkia Afrika Kusini

Mchezaji wa Azam, Shomari Kapombe. Hans Mloli, Dar es Salaam AZAM FC imepata pigo la kuuguliwa na beki wake wa kulia,...

READ MORE

Manny Pacquiao Kuvaana na Bradley, Jumamosi

Manny Pacquiao (kushoto) na mpinzani wake Timothy Bradley (kulia) kupigana kwa mara ya tatu Jumamosi hii usiku huko Las Vegas....

READ MORE