Diamond na Ali Kiba Walivyokutana Kumuaga Masogange
Mkali wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ni miongoni mwa wasanii waliofika viwanja vya Leaders, Kinondoni, kwa ajili ya kuuaga mwili wa msanii Agnes Masogange ambapo walisalimiana.
Wengine ni Jacqueline Wolper, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Anti Ezekiel, na wengine.
Marehemu Masogange amesafirishwa leo kuelekea Mbeya ambako anatazamiwa kuzikwa kesho (Jumatatu).
PICHA: RICHARD BUKOS | GPL
Comments are closed.