Makamu wa Rais mteule Dkt. Philip Isdor Mpango kuapishwa kesho March 31, 2021 kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hafla ya uapisho itafanyika Ikulu ya #Chamwino jijini #Dodoma.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.