The House of Favourite Newspapers

DORAH: Nampenda Sana Harmonize, Anafaa kwa Matumizi – Video

0

MSANII maarufu wa Bongo Movies, Wanswekula Zacharia Lotti ‘DORAH’ (24), anayetamba katika tamthilia ya KAPUNI inayooneshwa DSTV, amevunja ukimya na kuanika hisia zake kwa mwanamuziki maarufu Bongo Fleva, Harmonize. Unataka kujua alichokisema?

MSIKIE DORAH AKIELEZA

Leave A Reply