The House of Favourite Newspapers

EXCLUSIVE: Johari Afunguka ‘kinachoua Bongo Muvi’ – VIDEO

Kiwanda cha Bongo Fleva kinaendelea kukua siku hadi siku na kutoboa anga kimataifa tofauti na kiwanda cha Bongo muvi ambacho kinapanda kwa spidi ndogo sana.

Global TV imepiga stori na Muasisi na mkongwe wa filamu nchini, Blandina Chagula ‘Johari’ na kumuuliza kulikoni Bongo Muvi inaporomoka ambapo sababu kubwa aliyoitaja ni kunyimana sapoti wao kwa wao.

JIUNGE NA FAMILIA YA GLOBAL TV UPANDE MTANDAO WA MAFANIKIO

KARIBU ujiunge na familia ya marafiki wa Global TV Online – Club sasa, uwe wa kwanza kupata video zote za Global TV, video za hamasa kutoka kwa Eric Shigongo, breaking news za matukio yote duniani, michezo na dondoo za afya. Utapata nafasi ya kuingia bure na kutazama shoo, matamasha, semina na burudani zinazoandaliwa na Global TV mikoa yote Tanzania.
Pia, ukiwa na tatizo la kifamilia mfano misiba, kuuguliwa na majanga, marafiki zako wa Global TV Club tutakusaidia.
 
Pia, tutakuunganisha na mtandao wa marafiki zetu waliyofanikiwa ndani na nje ya Tanzania, ili upate mafunzo maalum ya kujikwamua kutoka katika hali duni ya maisha.

Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club ==> Global TV Family Club

Comments are closed.