VIDEO: Hafla ya Kuapishwa kwa Mawaziri Wapya, Dk Mwakyembe na Kabudi Ikulu
Rais wa Jamhuri ya Muunano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha viongozi mbalimbali wa serikali aliyowateua hivi karibuni wakiwemo Dkt. Harrison Mwakyembe na Prof. Palamagamba Kabudi aliyowateua jana.
Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Prof. Palamagamba Aidan Kabudi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria
Alfayo Kidato kuwa Katibu Mkuu Ikulu
Sylvester Mabumba kuwa Balozi Comoro
Abdallah Possy kuwa Balozi Ujerumani
George Masima kuwa Balozi Israel
Stella Mgasha kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi na Mahakama
Comments are closed.