The House of Favourite Newspapers

KAJALA: Mambo ya Makonda Hayanihusu

Kajala(kulia) akiwa na Wolper.

Na HAMIDA HASSAN| GAZETI LA IJUMAA| HABARI

MASTAA wengi Bongo wamekuwa wagumu kuzungumza chochote kuhusu yanayomkuta Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, mmoja wao akiwa ni Kajala Masanja ambapo yeye alipoulizwa alisema, aachwe kwani mambo ya kiongozi huyo hayamhusu.

Kajala.

Staa huyo aliyewahi kupata ushirikiano mkubwa katika shughuli zake za kisanii kutoka kwa Makonda alipotakiwa kuzungumzia mapito ya kiongozi huyo na kipi angeweza kumshauri alijibu kwa kifupi:

”Hayanihusu jamani.”

Ijumaa: Hayakuhusu vipi wakati alikuwa swahiba wako na amekupa sana sapoti kisanii?

Kajala: Akuuu!

Comments are closed.