LIVE: Wabunge Viti Maalum Wacharuka Dhidi ya Wabunge wa Majimbo Kuhusu Pesa za Mfuko wa Bunge
Wabunge wa kuteuliwa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamecharuka Bungeni wakitaka wahusike kwenye mfuko wa Bunge ambao unawahusu wabunge wa majimbo (waliopigiwa kura na wananchi) jambo ambalo wamedai siyo haki kwa kuwa wote wanafanya kazi za kuwatumikia wananchi.
SIKILIZA KILICHOJIRI BUNGENI