Ilikuwa ni siku ya huzuni sana juzi Jumatano ambapo wafanyakazi wa Makampuni ya Global Group waliungana na na familia na waombolezaji katika ibada ya kuuaaga mwili wa mama mzazi wa mfanyakazi mwenzao, Mhariri wa Magazeti ya Global Publishers, Elvan Stambuli, Bi. Mary Stambuli.
Mazishi hayo yalifanyika Kisemvule mkoani Pwani na mwili wa marehemu ulisafirishwa kwenda nyumbani kwao, Masasi mkoani Mtwara kwa ajili ya mazishi ambayo yalifanyika jana Alhamisi.
HABARI/PICHA: RICHARD BUKOS /GPL