Gwajima Awasha Moto Bungeni – “Tutapata Rais wa Ajabu Tudondokee Pua, Hatutaamini”-Video
“NCHI hii imekosa maono kabisa, kila Rais akiingia anafanya mambo yake anaacha mipango aliyoikuta.Tunahitaji Rais mwenye maono kwa sababu tunahitaji nchi yenye maono- Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima