The House of Favourite Newspapers

Hamisa Mobeto Alivyotinga nyumbani Kwao Zari

Mwanamitindo maarufu nchini Tanzania, Hamisa Mobeto ametinga nchini Uganda kwa mbwembwe za aina yake huku akipokelewa kwa shangwe na ndugu jamaa na marafiki waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege alipowasili.

Wakati hasimu wake, Zari akitarajia kufanya event yake ya Zari All White Party nchini Uganda nyumbani kwao kesho December 21 mwaka huu, siku hiyohiyo Hamisa naye amealikwa kwenye Tamasha la Girls Power ambalo litafanyika siku moja na party ta Zari, jambo ambalo linavuta hisia za wadau na wapenzi wengi wa burudani.

Shuhudia Mobeto alivyotinga Uganda.

Mobeto katishaaaaaa, katika Uganda kama Màlkia? Shuhudia mwenyewe.

A post shared by Global Publishers (@globalpublishers) on

Comments are closed.